Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Wapi nimesema udongoni ni kuzuri?Kwenye swali langu,hakuna mahali nimetaja mbinguni,
Pia sio maiti zote huzikwa udongoni wengine huchomwa moto.
Sasa kinachokufanya wewe useme huko udongoni ni kuzuri je wewe ulishawahi kufa?
IKwenye swali langu,hakuna mahali nimetaja mbinguni,
Pia sio maiti zote huzikwa udongoni wengine huchomwa moto.
Sasa kinachokufanya wewe useme huko udongoni ni kuzuri je wewe ulishawahi kufa?
Hii sentence Inamaanisha ardhini ni kuzuri, kwa hiyo Acha ligiHata ardhini ni mahala pema.
Kupona inakuwa ngumu marazoteWrong way crush ni hatari sana coz wote mnakua speed.
Rekebisha hapo kwanza ndio uendelee na malumbano...Maiti hafi!!Maiti zikifa
SawaRekebisha hapo kwanza ndio uendelee na malumbano...Maiti hafi!!
Si unajua wapenda ligi hawakubaligi yaisheAmekujibu? Ni Tag
I
Ina maanisha kivipi?Hii sentence Inamaanisha ardhini ni kuzuri, kwa hiyo Acha ligi
Acha ujuaji wako usiokuwa na maana yoyote.Maneno ya watu tu.
Ujuaji gani?Acha ujuaji wako usiokuwa na maana yoyote.
Ndo ukaulizwa kaburini ni mahali pema?Ina maanisha kivipi?
Nilikwambia kwamba mtu akifa huzikwa ardhini na huko anapokwenda kupumzika watu hupaita pema.
Ndio ni pema.Ndo ukaulizwa kaburini ni mahali pema?
Hapa hatuongelei mbinguni tunakuuliza wewe mahali pema ni wapi kama ulivyo replyUjuaji gani?
Mkiambiwa mthibitishe huko mbinguni mnakodai kupo hamuwezi.
Kama unajua mbinguni kupo, thibitisha uwepo wake.
Watu gani hao waliowahi Kuishi huko wakajua huko ni pema?Ina maanisha kivipi?
Nilikwambia kwamba mtu akifa huzikwa ardhini na huko anapokwenda kupumzika watu hupaita pema.
Nahis jamaa alijichanganya ndo balaa likamkutaUSA hata leseni zake zinachanganya sana kwa wabongo kwasababu automaticaly ni international dah na zile highways ukiingingia wrong way ni deadly .
Leo tuende nae mdogo mdogo,tuone mwisho wakeHapa hatuongelei mbinguni tunakuulzoa wewe mahali pema ni wapi kama ulivyo reply
Ni maneno tu ya watu walio hai wana amini watu wakifa huko walipo regardless ni ardhini au wapi ni pema.Watu gani hao waliowahi Kuishi huko wanakajua huko ni pema?
Maiti inakuja km kifurushi au km kifurushi cha Ali ExpressMchango wa kusafirisha maiti sasa ndo huwa kimbembe. Yule Edm hutamsikia hapo
Mahali pema ni popote pale.Hapa hatuongelei mbinguni tunakuuliza wewe mahali pema ni wapi kama ulivyo reply