Mtanzania, Alphonce Simbu ashika nafasi ya tatu Marathon IAAF LONDON

Breaking news Simbu wa Tanzania ameshinda medali ya Bronze katika mashindano ya dunia huko Uingereza dakika chache zilizopita,wa kwanza ni Mkenya.
Hongera Simbu naona tunaanza kurudi mdogo mdogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Breaking news Simbu wa Tanzania ameshinda medali ya Bronze katika mashindano ya dunia huko Uingereza dakika chache zilizopita,wa kwanza ni Mkenya.
Hongera Simbu naona tunaanza kurudi mdogo mdogo.
 
Breaking news Simbu wa Tanzania ameshinda medali ya Bronze katika mashindano ya dunia huko Uingereza dakika chache zilizopita,wa kwanza ni Mkenya.
Hongera Simbu naona tunaanza kurudi mdogo mdogo.
 
Hongera kwa Bwana Simbu......

Jedwali lake linapanda kila uchao, Iko siku atafanya maajabu......!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…