Kwakweli anastahiliPongezi kwake.
Rais wa Arusha atakuwa anashona suti kumpokea kijana wakati alipokuwa anafanya mazoezi na kuonekana kama amechanganyikiwa hakukuwa na mtu wa kumnunulia hata Kilimanjaro ndogo kama aliyopewa Shigongo pale Lumumba.Ccm watasema alikuwa kwenye ilani yao. So ushindi wake ni kutimiza ilani ya chama
Ushindi ni ushindi hata kura moja Rejea uchaguzi wa Ubunge 2010 Jimbo la Shinyanga mjini mshindi aliingia mjengoni kwa tofauti ya kura moja...Wakenya wameshika nafasi ya 2 na 3.
..Pia mpambano ulikuwa mkali.
..Tofauti ya Alphonce Simbu na mshindi wa pili ni sekunde 18.
Singida moja hiyo mkuu ila ni Mtanzania tusianze kugombania makabila hatutafika.Mwiraqw wa Arusha huyo jamaa, anakimbia sana sana, nakumbuka Olympic ya Brazil alishika nafasi ya 5 nadhani, na alikuwa aongoze ila sijui kuna nn kilitokea Brazil Olympic marathon akaumia mguu kidogo... Huyu Mwiraqw kwao ni Arusha..
Ushindi ni ushindi hata kura moja Rejea uchaguzi wa Ubunge 2010 Jimbo la Shinyanga mjini mshindi aliingia mjengoni kwa tofauti ya kura moja.
Tuko pamoja ni kweli jibu langu halionyeshi picha nzuri. Ni kweli kijana kapambana ...nia yangu ilikuwa ni kueleza jinsi Alphonce alivyopambana/alivyo-fight mpaka kuupata USHINDI huu.
Tuko pamoja ni kweli jibu langu halionyeshi picha nzuri. Ni kweli kijana kapambana .
Wanasiasa hili liliwapita pembeni.!Mbona tumeshtukizwa jamani haku pewa bendera na waziri mwenye dhamana hongera simbu kwa kuipeperusha tz