Natanguliza rambirambi kwa familia,ndugu na marafiki wa Ndalima, Mungu ailaze roho ya marehemu peponi. Ameen. Watanzania sote tulio nje tunakuwa wamoja hasa linapotokea jambo la kushikamana kama hili la msiba, kwani kifo hakitabiriki. Ombi kwa mkuu Ab-Titchaz na Mkjj ningeshauri kama inawezekana mkatupatia kiungo kwa mtu aliyeko hapa UK ili sisi tulio hapa tuwasilishe michango yetu? it is more convenient and quicker for those of us who are on this side. Ahsante.
Ab-Titchaz,
Wakati tunaendelea kuombeleza ni vizuri pia mkashauriana na familia ya Marehemu kungalia uwezekano wa kuwachukulia hatua za kisheria Polisi waliohusika na hiyo high speed chase.
Katika hali ya kawaida na kulingana na kosa la huyo 15 years ( tunaambiwa aliwaonyesha ishara ya kidole cha kati polisi) halikuhitaji mafukazano yale hususan ktk dunia ya leo ya teknolojia wangeweza ku mtrack na kumpata kirahisi bila ya kusababisha madhara kwa public.
Hapa UK trafick offense ndogo kama hizo polisi huwa wana abandon chase na hasa mtuhumiwa akiwa anaelekea maeneo ya watu wengi, unless awe jambazi ambalo halitakiwi kuwa on the loose hata dakika moja.
Naamini polisi hapo wame act irresponsible na wana big share of blame. Something should be taken against them.
Naomba kutoa hoja
Kwa ukweli marehemu alikua mshkaji wa kila mtu na hata siku moja
sikumuona akigomba wala nini.He was a very close friend of mine and
we used to discuss everything from politics to religion frequently.I
remember when he used to come to my house for a drink and we would
have a brotherhood like
no other.
Amongs his positive attributes was the fact that he was very down to earth
wala usingejua kama Mamake alikua balozi wala nini.He kept it simple.He was
also a reliable individual na nakumbuka pia alikuwepo kwenye msafara wa
harusi yangu some 7yrs ago.He never failed me when he made a promise and
he always had a smile on his face regardless of the circumstances...that
calming effect we would call it.
I believe kila mtu mitaa ya hapa kwetu anajambo positive la kusema kumhusu
Ndalima and they will share it as time goes by.Salum,Kaiza na Kevin were his
work buddies na najua they have nothing but glowing tribute for the brother.
He lives behind a son and a fiance.
God bless.
PS: I will be posting his picture later nikishatoka kazini maana hapa comp ziko
limited in terms of what I can do.