inawezekana huyu ndiye mzizi mkavu original
hata mimi nimewaza hivyohivyo
Unaonaee?
ndio, maana yeye ni mtanzania alie ughaibuni siku nyingi
Mbona madaktari kibao wanafanya kazi kama madaktari tena kwenye taasisi kubwa zaidi ya huyo jamaa? Huyu jamaa kafanya nini special? Au ndio promo. Tukileta humu promo za vichwa hata server itazidiwa.