Mtanzania daktari anaye fanya akazi ya udaktari nchi Uturuki

Mbona madaktari kibao wanafanya kazi kama madaktari tena kwenye taasisi kubwa zaidi ya huyo jamaa? Huyu jamaa kafanya nini special? Au ndio promo. Tukileta humu promo za vichwa hata server itazidiwa.
 
Mbona madaktari kibao wanafanya kazi kama madaktari tena kwenye taasisi kubwa zaidi ya huyo jamaa? Huyu jamaa kafanya nini special? Au ndio promo. Tukileta humu promo za vichwa hata server itazidiwa.

Anza kuwaleta, Mzizi kaanzisha ww fuatia 😡😡
 
Last edited by a moderator:
Kitendeeni haki kidhungu, hii habari hata kama imetafsiriwa kwa google, mleta mada najua ni mjuvi wa lugha, basi aangejaribu kukifanya kidhungu, angalau, kieleweke.
 
safi sana ila hii translation ni kwa google translator au ni nn maana mtiririko ni wa shida sana aisee da
 
Naomba description ya hizi picha kaka yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…