Mtanzania Dkt. Wendeline achaguliwa kuwa Mkurungenzi wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika anayesimamia Nchi 22

Mtanzania Dkt. Wendeline achaguliwa kuwa Mkurungenzi wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika anayesimamia Nchi 22

Mtoa Taarifa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2024
Posts
213
Reaction score
671
Screenshot_2024-10-25-18-05-17-698_com.instagram.android-edit.jpg

Benki ya Dunia, imemchagua Mtanzania, Dkt. Zarau Wendeline Kibwe, kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo atakayesimamia Kanda Namba Moja ya Afrika inayojumuisha nchi 22 ikiwemo Tanzania, nafasi ambayo Tanzania imewahi kuihudumu miaka 54 iliyopita.

Uamuzi wa Dkt. Kibwe kuikwaa nafasi hiyo nyeti katika Taasisi hiyo kubwa ya Fedha Duniani, umetangazwa katika Mkutano wa Mwaka wa Kundi la Kwanza la Nchi za Afrika wa Benki ya Dunia, uliofanyika Jijini Washington D.C, nchini Marekani ambapo Mikutano ya Mwaka ya Shirika la Fedha Duniani IMF na Benki ya Dunia inafanyika.

Kabla ya kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo atakayesimamia Kanda Namba Moja ya Afrika, Dkt. Kibwe alihudumu katika Ofisi hiyo ya Bodi kama Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Mshauri na Mshauri Mwandamizi kwa zaidi ya miaka saba, tangu mwaka 2017.

Akizungumza Jijini Washington D.C, baada ya kutangazwa kuchukua nafasi hiyo, Dkt. Zarau Wendeline Kibwe amesema kuwa ataitumia nafasi hiyo kusimamia uendeshaji wa Benki na Taasisi zake Pamoja na kutetea Maslahi ya nchi katika Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Dunia pamoja na maslahi ya Kanda ya Afrika anayoisimamia ili kukuza maendeleo na uchumi wa nchi hizo.

Akizungumza kwa niaba ya Serikali katika Mkutano huo uliomtangaza Dk. Kibwe kuchukua nafasi hiyo, Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, anayeongoza Ujumbe wa Tanzania katika Mikutano hiyo ya Mwaka ya Shirika la Fedha la Kimataifa – IMF na Benki ya Dunia, amesema kuwa hayo ni matokeo ya juhudi za Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, anavyoifungua nchi na kukuza Diplomasia ya Kimataifa.

Dkt. Nchemba amempongeza Dkt. Kibwe kwa kupata nafasi hiyo na kwamba kutokana na umahili wake katika masuala ya uchumi na fedha, pamoja na uzoefu wake wa muda mrefu katika Ofisi hiyo, anaamini kuwa maslahi ya nchi yataendelea kulindwa ipasavyo kwa manufaa ya watanzania.
 
Hongera zake.

Kuna pongezi cobtroversial za kisiasa za Samia, lakini pia, kidiplomasia, mtu kupewa hizi nafasi ni kura ya imani kwenye uongozi wa serikali yake kutoka nchi nyingine, kwa hivyo serikali ya Tanzania inayoongozwa na rais Samia ina pongezi zake nayo.

Kuna diplomasia fulani ya nchi inahusika kupata hizi nafasi. Nchi ikipwaya kwenye diplomasia hizi, raia wake kupata nafasi hizi inakuwa ngumu.

Jana kuna mtu alikuwa anasema World Bank kuna Watanzania wengi, naona anakuwa vindicated.

Nchi ikipata watu wengi kama hawa kwenye kazi za UN, tukiwa na uongozi mzuri, tunaweza kuongeza ushawishi katika ajenda za muhimu.
 
Hongera zake.

Jana kuna mtu alikuwa anasema World Bank kuna Watanzania wengi, naona anakuwa vindicated.

Nchi ikipata watu wengi kama hawa kwenye kazi za UN, tukiwa na uongozi mzuri, tunaweza kuongeza ushawishi katika ajenda za muhimu.
Huko aliewapeleka wengi ni dkt mpango hasa wale alipokua NAO seminary , kabla hajaja kua katibu wa tume ya mipango
 
View attachment 3134997
Benki ya Dunia, imemchagua Mtanzania, Dkt. Zarau Wendeline Kibwe, kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo atakayesimamia Kanda Namba Moja ya Afrika inayojumuisha nchi 22 ikiwemo Tanzania, nafasi ambayo Tanzania imewahi kuihudumu miaka 54 iliyopita.

Uamuzi wa Dkt. Kibwe kuikwaa nafasi hiyo nyeti katika Taasisi hiyo kubwa ya Fedha Duniani, umetangazwa katika Mkutano wa Mwaka wa Kundi la Kwanza la Nchi za Afrika wa Benki ya Dunia, uliofanyika Jijini Washington D.C, nchini Marekani ambapo Mikutano ya Mwaka ya Shirika la Fedha Duniani IMF na Benki ya Dunia inafanyika.

Kabla ya kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo atakayesimamia Kanda Namba Moja ya Afrika, Dkt. Kibwe alihudumu katika Ofisi hiyo ya Bodi kama Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Mshauri na Mshauri Mwandamizi kwa zaidi ya miaka saba, tangu mwaka 2017.

Akizungumza Jijini Washington D.C, baada ya kutangazwa kuchukua nafasi hiyo, Dkt. Zarau Wendeline Kibwe amesema kuwa ataitumia nafasi hiyo kusimamia uendeshaji wa Benki na Taasisi zake Pamoja na kutetea Maslahi ya nchi katika Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Dunia pamoja na maslahi ya Kanda ya Afrika anayoisimamia ili kukuza maendeleo na uchumi wa nchi hizo.

Akizungumza kwa niaba ya Serikali katika Mkutano huo uliomtangaza Dk. Kibwe kuchukua nafasi hiyo, Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, anayeongoza Ujumbe wa Tanzania katika Mikutano hiyo ya Mwaka ya Shirika la Fedha la Kimataifa – IMF na Benki ya Dunia, amesema kuwa hayo ni matokeo ya juhudi za Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, anavyoifungua nchi na kukuza Diplomasia ya Kimataifa.

Dkt. Nchemba amempongeza Dkt. Kibwe kwa kupata nafasi hiyo na kwamba kutokana na umahili wake katika masuala ya uchumi na fedha, pamoja na uzoefu wake wa muda mrefu katika Ofisi hiyo, anaamini kuwa maslahi ya nchi yataendelea kulindwa ipasavyo kwa manufaa ya watanzania.
well done Tanzanian official abroad 🌹
 
A
Wasomi wa kweli Wana acquire nafasi nyeto takataka kama kina mwigulu ndo tunasakisiwa sisi
Acha kumtukana mwigulu hakuna chochote alichokukosea elimu yake na bahati yake na MUNGU wake na maombi yake ndo yamemfisha hapo

Usipende kutukana watu bila sababu

Matusi is not a deal

Muombe KRISTO aiponye roho yako iliyoelemewa na pepo baya la chuki
 
View attachment 3134997
Benki ya Dunia, imemchagua Mtanzania, Dkt. Zarau Wendeline Kibwe, kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo atakayesimamia Kanda Namba Moja ya Afrika inayojumuisha nchi 22 ikiwemo Tanzania, nafasi ambayo Tanzania imewahi kuihudumu miaka 54 iliyopita.

Uamuzi wa Dkt. Kibwe kuikwaa nafasi hiyo nyeti katika Taasisi hiyo kubwa ya Fedha Duniani, umetangazwa katika Mkutano wa Mwaka wa Kundi la Kwanza la Nchi za Afrika wa Benki ya Dunia, uliofanyika Jijini Washington D.C, nchini Marekani ambapo Mikutano ya Mwaka ya Shirika la Fedha Duniani IMF na Benki ya Dunia inafanyika.

Kabla ya kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo atakayesimamia Kanda Namba Moja ya Afrika, Dkt. Kibwe alihudumu katika Ofisi hiyo ya Bodi kama Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Mshauri na Mshauri Mwandamizi kwa zaidi ya miaka saba, tangu mwaka 2017.

Akizungumza Jijini Washington D.C, baada ya kutangazwa kuchukua nafasi hiyo, Dkt. Zarau Wendeline Kibwe amesema kuwa ataitumia nafasi hiyo kusimamia uendeshaji wa Benki na Taasisi zake Pamoja na kutetea Maslahi ya nchi katika Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Dunia pamoja na maslahi ya Kanda ya Afrika anayoisimamia ili kukuza maendeleo na uchumi wa nchi hizo.

Akizungumza kwa niaba ya Serikali katika Mkutano huo uliomtangaza Dk. Kibwe kuchukua nafasi hiyo, Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, anayeongoza Ujumbe wa Tanzania katika Mikutano hiyo ya Mwaka ya Shirika la Fedha la Kimataifa – IMF na Benki ya Dunia, amesema kuwa hayo ni matokeo ya juhudi za Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, anavyoifungua nchi na kukuza Diplomasia ya Kimataifa.

Dkt. Nchemba amempongeza Dkt. Kibwe kwa kupata nafasi hiyo na kwamba kutokana na umahili wake katika masuala ya uchumi na fedha, pamoja na uzoefu wake wa muda mrefu katika Ofisi hiyo, anaamini kuwa maslahi ya nchi yataendelea kulindwa ipasavyo kwa manufaa ya watanzania.
Diplomasia ya Rais Samia imewatoa wafuatao

Dk.Wende ,WB Director Africa
Dk Ndungulile WHO Director Africa
Dk.Tulia President IPU

My Take: Ukiambatana na SSH nyota Yako itawaka.
 
View attachment 3134997
Benki ya Dunia, imemchagua Mtanzania, Dkt. Zarau Wendeline Kibwe, kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo atakayesimamia Kanda Namba Moja ya Afrika inayojumuisha nchi 22 ikiwemo Tanzania, nafasi ambayo Tanzania imewahi kuihudumu miaka 54 iliyopita.

Uamuzi wa Dkt. Kibwe kuikwaa nafasi hiyo nyeti katika Taasisi hiyo kubwa ya Fedha Duniani, umetangazwa katika Mkutano wa Mwaka wa Kundi la Kwanza la Nchi za Afrika wa Benki ya Dunia, uliofanyika Jijini Washington D.C, nchini Marekani ambapo Mikutano ya Mwaka ya Shirika la Fedha Duniani IMF na Benki ya Dunia inafanyika.

Kabla ya kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo atakayesimamia Kanda Namba Moja ya Afrika, Dkt. Kibwe alihudumu katika Ofisi hiyo ya Bodi kama Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Mshauri na Mshauri Mwandamizi kwa zaidi ya miaka saba, tangu mwaka 2017.

Akizungumza Jijini Washington D.C, baada ya kutangazwa kuchukua nafasi hiyo, Dkt. Zarau Wendeline Kibwe amesema kuwa ataitumia nafasi hiyo kusimamia uendeshaji wa Benki na Taasisi zake Pamoja na kutetea Maslahi ya nchi katika Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Dunia pamoja na maslahi ya Kanda ya Afrika anayoisimamia ili kukuza maendeleo na uchumi wa nchi hizo.

Akizungumza kwa niaba ya Serikali katika Mkutano huo uliomtangaza Dk. Kibwe kuchukua nafasi hiyo, Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, anayeongoza Ujumbe wa Tanzania katika Mikutano hiyo ya Mwaka ya Shirika la Fedha la Kimataifa – IMF na Benki ya Dunia, amesema kuwa hayo ni matokeo ya juhudi za Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, anavyoifungua nchi na kukuza Diplomasia ya Kimataifa.

Dkt. Nchemba amempongeza Dkt. Kibwe kwa kupata nafasi hiyo na kwamba kutokana na umahili wake katika masuala ya uchumi na fedha, pamoja na uzoefu wake wa muda mrefu katika Ofisi hiyo, anaamini kuwa maslahi ya nchi yataendelea kulindwa ipasavyo kwa manufaa ya watanzania.
Pongezi nyingi kwake na mama Tanzania.
 
Tanzania inang'ara sasa kimataifa

Dr.Tulia,Dr.Ngulile na Sasa Dr.Kibwe
View attachment 3134997
Benki ya Dunia, imemchagua Mtanzania, Dkt. Zarau Wendeline Kibwe, kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo atakayesimamia Kanda Namba Moja ya Afrika inayojumuisha nchi 22 ikiwemo Tanzania, nafasi ambayo Tanzania imewahi kuihudumu miaka 54 iliyopita.

Uamuzi wa Dkt. Kibwe kuikwaa nafasi hiyo nyeti katika Taasisi hiyo kubwa ya Fedha Duniani, umetangazwa katika Mkutano wa Mwaka wa Kundi la Kwanza la Nchi za Afrika wa Benki ya Dunia, uliofanyika Jijini Washington D.C, nchini Marekani ambapo Mikutano ya Mwaka ya Shirika la Fedha Duniani IMF na Benki ya Dunia inafanyika.

Kabla ya kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo atakayesimamia Kanda Namba Moja ya Afrika, Dkt. Kibwe alihudumu katika Ofisi hiyo ya Bodi kama Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Mshauri na Mshauri Mwandamizi kwa zaidi ya miaka saba, tangu mwaka 2017.

Akizungumza Jijini Washington D.C, baada ya kutangazwa kuchukua nafasi hiyo, Dkt. Zarau Wendeline Kibwe amesema kuwa ataitumia nafasi hiyo kusimamia uendeshaji wa Benki na Taasisi zake Pamoja na kutetea Maslahi ya nchi katika Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Dunia pamoja na maslahi ya Kanda ya Afrika anayoisimamia ili kukuza maendeleo na uchumi wa nchi hizo.

Akizungumza kwa niaba ya Serikali katika Mkutano huo uliomtangaza Dk. Kibwe kuchukua nafasi hiyo, Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, anayeongoza Ujumbe wa Tanzania katika Mikutano hiyo ya Mwaka ya Shirika la Fedha la Kimataifa – IMF na Benki ya Dunia, amesema kuwa hayo ni matokeo ya juhudi za Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, anavyoifungua nchi na kukuza Diplomasia ya Kimataifa.

Dkt. Nchemba amempongeza Dkt. Kibwe kwa kupata nafasi hiyo na kwamba kutokana na umahili wake katika masuala ya uchumi na fedha, pamoja na uzoefu wake wa muda mrefu katika Ofisi hiyo, anaamini kuwa maslahi ya nchi yataendelea kulindwa ipasavyo kwa manufaa ya watanzania.
 
A

Acha kumtukana mwigulu hakuna chochote alichokukosea elimu yake na bahati yake na MUNGU wake na maombi yake ndo yamemfisha hapo

Usipende kutukana watu bila sababu

Matusi is not a deal

Muombe KRISTO aiponye roho yako iliyoelemewa na pepo baya la chuki
Kweli bahati anayo haiwezekani layman kama yeye kuwa kwenye nafasi nyeti kama iliyonayo hayo ya kumuomba mungu Hilo unalijua wewe na yeye pengine ni mtu wako wa karibu.
 
Utasikia kuna nguchiro zitakuja kutoa shukrani kwa mama kwa kuwezesha uteuzi wa jamaa.
 
Watanzania tupende kufanya kazi taasisi na kampuni za kimataifa badala ya kutwa kuwinda vyeo vya kisiasa

Huyo mwanaume kushoto pichani ndie Zarau Kibwe
BENKI YA DUNIA KUENDELEZA USHIRIKIANO NA TANZANIA


Cv yake kabla ya uteuzi iko vizuri

Alternate Executive Director: EDS14​

Executive Directors

Mr. Zarau Wendeline Kibwe, a Tanzanian national, currently serves as the Alternate Executive Director for Africa Group I Constituency (Botswana, Burundi, Eritrea, Eswatini, Ethiopia, The Gambia, Kenya, Lesotho, Liberia, Malawi, Mozambique, Namibia, Rwanda, Seychelles, Sierra Leone, Somalia, South Sudan, Sudan, Tanzania, Uganda, Zambia, Zimbabwe) at the World Bank Group, Washington, D.C. since November 2022. He also served the same Constituency Office as an Advisor and Senior Advisor for over five years since 2017.

Prior to joining the Constituency Office, Mr. Kibwe served as the World Bank Country Economist for Tanzania. Over the last 15 years of his career, Mr. Kibwe has held various positions in the President’s Office—Planning Commission (now part of Tanzania’s Ministry of Finance and Planning), Tanzania Revenue Authority and various Higher Learning Institutions in his country.

Mr. Kibwe holds a Ph.D. in Development Economics, an MA in Development Economics, and a Master of Public Policy, all from the National Graduate Institute for Policy Studies (GRIPS) in Tokyo, Japan, and a BSc in Economics from Mzumbe University in Morogoro, Tanzania. His research interest is mainly in development macroeconomics.
 
Back
Top Bottom