Uchaguzi 2020 Mtanzania epuka kuchagua kiongozi mwenye sifa hizi ishirini na sita (26) utajutia kipindi chote cha miaka mitano (5)

Uchaguzi 2020 Mtanzania epuka kuchagua kiongozi mwenye sifa hizi ishirini na sita (26) utajutia kipindi chote cha miaka mitano (5)

Mr pianoman

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2019
Posts
2,595
Reaction score
6,264
Mtanzania epuka [emoji116][emoji116]

[emoji117] Kiongozi atakaye kufanya usipate ajira kwa miaka mitano.

[emoji117]Kiongozi atakaye fanya pesa ikosekane mtaani.

[emoji117]Kiongozi atakaye kufanya biashara yako kuwa ngumu mtaani.

[emoji117] Kiongozi atakaye kufanya wewe mtumishi wa umma kukosa masilahi na haki zako za msingi.

[emoji117]Kiongozi atakaye kupa msaada kwa masimango au kwa kutafuta kiki.

[emoji117]Kiongozi atakaye kufanya ushindwe kutazama bunge live.

[emoji117]Kiongozi atakaye kuwa anawabambikizia wananchi wake kesi kwa maslahi yake binafsi.

[emoji117] Kiongozi atakaye kufanya ukose uhuru wako wa kujieleza.

[emoji117]Kiongozi atakaye binya uhuru wa vyombo vya habari nchini.

[emoji117] Kiongozi atakaye kufanya uendelee kuisoma namba.

[emoji117] Kiongozi atakaye fanya kuwe na uhusiano mbaya na nchi marafiki na nchi wahisani.

[emoji117] Kiongozi atakaye kufanya useme bora ya viongozi walio pita.

[emoji117] Kiongozi atakaye kuwekea viongozi wake wasaidizi wahuni (wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi, wakuu wa vyombo vya usalama)

[emoji117] Kiongozi atakaye kuwekea viongozi wake wasaidizi ambao ni waoga wa kutetea haki zako za msingi hata kama umenyanyaswa.

[emoji117] Kiongozi atakaye ingilia uhuru wako wa kuabudu.

[emoji117] Kiongozi atakaye kufanya ukimbie nchi yako na kwenda kuishi ughaibuni (ugenini)

[emoji117] Kiongozi atakaye ruhusa mwananchi wake kumiminiwa risasi magazini nzima.

[emoji117] Kiongozi atakaye fanya mtumishi wa umma na viongozi wa kisiasa na kidini kufanya kazi zao kwa uoga.

[emoji117]Kiongozi atakaye ongoza nchi kwa fikra zake binafsi.

[emoji117]Kiongozi atakaye jali maisha ya vitu kuliko watu.

[emoji117]Kiongozi atakaye ingilia mihimili mingine.

[emoji117]Kiongozi atakaye miliki pesa za serikali kama zake binafsi.

[emoji117]Kiongozi anaye jioni yeye ni bora kuliko watangulizi wake.

[emoji117] Kiongozi asiye itii katiba yetu ya nchi.

[emoji117] Kiongozi atakaye vibania vyama vingine visifanye siasa huku chake kikiwa kinafanya kila kukicha.

[emoji117]Kiongozi atakaye viweka mfukoni vyombo vya ulinzi na usalama kwa faida zake binafsi.

Watanzania wenzangu kazi kwenu msije mkasema sikuwaambia. Niwatakie uchaguzi mwema.

Mungu ibariki Tanzania [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Ni muda sasa wa Mtanzania kusema NO
whatno.gif
 
Mtanzania epuka [emoji116][emoji116]

[emoji117] Kiongozi atakaye kufanya usipate ajira kwa miaka mitano.

[emoji117]Kiongozi atakaye fanya pesa ikosekane mtaani.

[emoji117]Kiongozi atakaye kufanya biashara yako kuwa ngumu mtaani.

[emoji117] Kiongozi atakaye kufanya wewe mtumishi wa umma kukosa masilahi na haki zako za msingi.

[emoji117]Kiongozi atakaye kupa msaada kwa masimango au kwa kutafuta kiki.

[emoji117]Kiongozi atakaye kufanya ushindwe kutazama bunge live.

[emoji117]Kiongozi atakaye kuwa anawabambikizia wananchi wake kesi kwa maslahi yake binafsi.

[emoji117] Kiongozi atakaye kufanya ukose uhuru wako wa kujieleza.

[emoji117]Kiongozi atakaye binya uhuru wa vyombo vya habari nchini.

[emoji117] Kiongozi atakaye kufanya uendelee kuisoma namba.

[emoji117] Kiongozi atakaye fanya kuwe na uhusiano mbaya na nchi marafiki na nchi wahisani.

[emoji117] Kiongozi atakaye kufanya useme bora ya viongozi walio pita.

[emoji117] Kiongozi atakaye kuwekea viongozi wake wasaidizi wahuni (wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi, wakuu wa vyombo vya usalama)

[emoji117] Kiongozi atakaye kuwekea viongozi wake wasaidizi ambao ni waoga wa kutetea haki zako za msingi hata kama umenyanyaswa.

[emoji117] Kiongozi atakaye ingilia uhuru wako wa kuabudu.

[emoji117] Kiongozi atakaye kufanya ukimbie nchi yako na kwenda kuishi ughaibuni (ugenini)

[emoji117] Kiongozi atakaye ruhusa mwananchi wake kumiminiwa risasi magazini nzima.

[emoji117] Kiongozi atakaye fanya mtumishi wa umma na viongozi wa kisiasa na kidini kufanya kazi zao kwa uoga.

[emoji117]Kiongozi atakaye ongoza nchi kwa fikra zake binafsi.

[emoji117]Kiongozi atakaye jali maisha ya vitu kuliko watu.

[emoji117]Kiongozi atakaye ingilia mihimili mingine.

[emoji117]Kiongozi atakaye miliki pesa za serikali kama zake binafsi.

[emoji117]Kiongozi anaye jioni yeye ni bora kuliko watangulizi wake.

[emoji117] Kiongozi asiye itii katiba yetu ya nchi.

[emoji117] Kiongozi atakaye vibania vyama vingine visifanye siasa huku chake kikiwa kinafanya kila kukicha.

[emoji117]Kiongozi atakaye viweka mfukoni vyombo vya ulinzi na usalama kwa faida zake binafsi.

Watanzania wenzangu kazi kwenu msije mkasema sikuwaambia. Niwatakie uchaguzi mwema.

Mungu ibariki Tanzania [emoji120][emoji120][emoji120]
Mr Piano man kunywa Balimi tatu ntalipa. Nisamehe sina pesa ya Heinken ninaisoma namba.
 
Mimi najazia nyama kidogo.
Kingozi wa kumwogopa kama MKOSI ni yule ambaye: -
(1)Anakwenda kuzurura katika Mataifa ya nje kwa lengo la kupiga mnada Nchi yetu, akishafanikiwa kupata wanunuzi(MABEBERU) anarudi kwetu kuomba ridhaa ya kuwa kiongozi wa Nchi.
(2)Sera zake ni MATUSI, KEJELI na UKOSEFU WA ADABU NA STAHA.
 
Mimi najazia nyama kidogo.
Kingozi wa kumwogopa kama MKOSI ni yule ambaye: -
(1)Anakwenda kuzurura katika Mataifa ya nje kwa lengo la kupiga mnada Nchi yetu, akishafanikiwa kupata wanunuzi(MABEBERU) anarudi kwetu kuomba ridhaa ya kuwa kiongozi wa Nchi.
(2)Sera zake ni MATUSI, KEJELI na UKOSEFU WA ADABU NA STAHA.
Ni kweli maneno kama " barakoa ipo kama titi la mwanamke". Huyu hafai kabisa
 
umekosea sio mitano mingine maaana tutamwongezea atake asitake
 
Ndefu sana na inachosha kusoma.
"Hatutakuwa serikali ya kisasi, hatutalipa kisasi. Lakini tunataka tufanye upatanishi na maridhiano ya kitaifa. Tutaunda tume ya upatanishi ili yote yaliyofanyika vibaya yasijirudie tena. Watu tusameheane, tujenge nchi yetu" Mhe. TunduALissu
 
Ahahaaaa mimi nawakumbusha tu watanzania wasifanye makosa Octoba

Ya 'Kutomchagua' Rais Kipenzi, Mchapa Kazi na Muadilifu kabisa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli. Ukiona GENTAMYCINE nampenda Mtu niamini.
 
Duh hivi JOHN kaongoza Tanzania miaka mingapi. Kwani anatisha kuliko IDD AMIN
 
Back
Top Bottom