Uchaguzi 2020 Mtanzania epuka kuchagua kiongozi mwenye sifa hizi ishirini na sita (26) utajutia kipindi chote cha miaka mitano (5)

Ndefu sana na inachosha kusoma.
Najua kwanini unasema hivyo. Pole nyingi, Najua Ina maana gani kwani hututokea binadamu wengi pale tunapochanwa ukweli!.Hua inauma Sana lakini hua hatuna Budi kupokea hata kwa lazima hivyo hivyoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ya 'Kutomchagua' Rais Kipenzi, Mchapa Kazi na Muadilifu kabisa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli. Ukiona GENTAMYCINE nampenda Mtu niamini.
Hivi ni kwa nini mwaka huu tusijaribu kuwapa nchi wapinzani nao ili tuone na wao watafanya maajabu gani?
 
Hivi ni kwa nini mwaka huu tusijaribu kuwapa nchi wapinzani nao ili tuone na wao watafanya maajabu gani?

Yaani tuwape nchi 'Machizi' kabisa Mkuu au? Hebu tutake Radhi upesi tafadhali. Tanzania kwa Miaka Milioni bado itakuwa chini ya Himaya ya CCM.
 
Ya 'Kutomchagua' Rais Kipenzi, Mchapa Kazi na Muadilifu kabisa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli. Ukiona GENTAMYCINE nampenda Mtu niamini.
Kwa makelele ya maspika yanayowekwa kwenye mikutano ya CCM haikuwa busara kumlazimisha Mama Maria kwenda pale… ujue LAANA zingine maCCM wanajitakia? Ndio maana Polepole anapulizwa na AC lakini ngozi haitakati…
 
Kura kwa TAL this 2020
 
Yaani tuwape nchi 'Machizi' kabisa Mkuu au? Hebu tutake Radhi upesi tafadhali. Tanzania kwa Miaka Milioni bado itakuwa chini ya Himaya ya CCM.
Watanzania wataamua mkuu na round hii ccm kuchomoka sijui maana kote naona wamekabwa koo bara na visiwani.
 
Hakuna maajabu zaidi bali tunataka watawala watuheshimu sisi wananchi na wajue kwamba hii nchi ni mali yetu sio yao.
Na wamesha tuheshimu mpaka hapo maana sio kwa spidi hiyo wanayo pelekwa na upinzani.
 
Hivi ni kwa nini mwaka huu tusijaribu kuwapa nchi wapinzani nao ili tuone na wao watafanya maajabu gani?
Unategemea maajabu gani toka kwa Salum Mwalimu aka makamu wa rais? Ni matusi kwa watanzania kufikiria kumpa uongozi mtu aliyepangishiwa chumba na mchepuko ambaye ni mke wa mtu. Chadema oneni aibu kuhusu hao viongozi wenu.
 
Utamjuaje bila ya kumchagua ?
 
Kwa andiko hili TAL hana sifa,.
Ngoja nimwingize mwingine kwenye mchakato kupitia sifa hizo 20
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…