Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
1. Ni nani aliidhinisha kampuni za bahati nasibu nchini zije zikusanye billions of money kwa Watanzania na kuacha pesa ndogo kwa jina la kodi?
Jibu ni Mtanzania.
2. Ni nani ametoa kibali na ni nani anazifanyia matangazo kampuni za mikopo ya kihuni na kitapeli mitandaoni?
Jibu ni Mtanzania.
3. Nani alipitisha kikokotoo bungeni kinachochukiwa na watumishi zaidi ya laki 5?
Jibu ni Mtanzania.
4. Ni nani alipitisha mikataba ya gesi ya Mtwara ambayo hatusomewi mapato yake au kuelezwa mchango wake kwa uchumi wa Tanzania?
Jibu ni Mtanzania.
5. Ni nani muhujumu wa pesa na Mali za umma?
Jibu ni Mtanzania.
Nani atamdhibiti huyu Mtanzania?
Hii mifano michache inakupa alert, kuwa makini na Mtanzania mwenzako, anaweza kukufanya lolote ilimradi tu atimize adhma yake.
Jibu ni Mtanzania.
2. Ni nani ametoa kibali na ni nani anazifanyia matangazo kampuni za mikopo ya kihuni na kitapeli mitandaoni?
Jibu ni Mtanzania.
3. Nani alipitisha kikokotoo bungeni kinachochukiwa na watumishi zaidi ya laki 5?
Jibu ni Mtanzania.
4. Ni nani alipitisha mikataba ya gesi ya Mtwara ambayo hatusomewi mapato yake au kuelezwa mchango wake kwa uchumi wa Tanzania?
Jibu ni Mtanzania.
5. Ni nani muhujumu wa pesa na Mali za umma?
Jibu ni Mtanzania.
Nani atamdhibiti huyu Mtanzania?
Hii mifano michache inakupa alert, kuwa makini na Mtanzania mwenzako, anaweza kukufanya lolote ilimradi tu atimize adhma yake.