Mtanzania hajawahi kumpenda Mtanzania mwenzake. Ushahidi huu hapa chini

Mtanzania hajawahi kumpenda Mtanzania mwenzake. Ushahidi huu hapa chini

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
1. Ni nani aliidhinisha kampuni za bahati nasibu nchini zije zikusanye billions of money kwa Watanzania na kuacha pesa ndogo kwa jina la kodi?
Jibu ni Mtanzania.
2. Ni nani ametoa kibali na ni nani anazifanyia matangazo kampuni za mikopo ya kihuni na kitapeli mitandaoni?
Jibu ni Mtanzania.
3. Nani alipitisha kikokotoo bungeni kinachochukiwa na watumishi zaidi ya laki 5?
Jibu ni Mtanzania.
4. Ni nani alipitisha mikataba ya gesi ya Mtwara ambayo hatusomewi mapato yake au kuelezwa mchango wake kwa uchumi wa Tanzania?
Jibu ni Mtanzania.
5. Ni nani muhujumu wa pesa na Mali za umma?
Jibu ni Mtanzania.
Nani atamdhibiti huyu Mtanzania?
Hii mifano michache inakupa alert, kuwa makini na Mtanzania mwenzako, anaweza kukufanya lolote ilimradi tu atimize adhma yake.
 
.
tapatalk_1717408858882.gif
 
Huwa nafikiria wabunge kupitisha hcho kikokotoo kwa watumishi lakin wao wakimaliza muda wao wanapokea hela yao yote ambayo ni zaidi ya mil 200
Binadamu hawana huruma na wenzao
Sio binadamu hawana huruma.
Sema Watanzania hawana huruma.
Ni nani anakupa ARV Bure?
Nani anajazia bajeti yako?
Kuna wanadamu wana huruma sana, kila siku wanatusaidia na hao wanadamu ni wazungu
 
Ili serikali isiyo na uwezo iweze kubakia madarakani ni lazima kwanza iue elimu kwa kutoa elimu isiyomnufaisha huyo mwanafunzi.

Baada ya kuua elimu isiyo na tija wataleta vitu vitakavyowaweka hao waliosoma bila kuelimika vitu vya kuwaweka bize kama KAMARI, kuruhusu vipindi vya vya redio & TV ambavyo haviewezi kumsaidia mwananchi bali kumpotezea muda wake.

Wananchi wakikosa elimu sahihi na kuaminishwa kubeti na kamari ni kujiajiri na serikali ipo kimya unategemea nini?

Huu ni mpango wa serikali na chama kuendelea kubakia madarakani na kwa miaka ya sasa huwezi kuta eti watu wamekaa wanajadili mambo ya kitaifa na badala yake utasikia mambo ya kucheza kindege na blah blah kibao.
 
1. Ni nani aliidhinisha kampuni za bahati nasibu nchini zije zikusanye billions of money kwa Watanzania na kuacha pesa ndogo kwa jina la kodi?
Jibu ni Mtanzania.
2. Ni nani ametoa kibali na ni nani anazifanyia matangazo kampuni za mikopo ya kihuni na kitapeli mitandaoni?
Jibu ni Mtanzania.
3. Nani alipitisha kikokotoo bungeni kinachochukiwa na watumishi zaidi ya laki 5?
Jibu ni Mtanzania.
4. Ni nani alipitisha mikataba ya gesi ya Mtwara ambayo hatusomewi mapato yake au kuelezwa mchango wake kwa uchumi wa Tanzania?
Jibu ni Mtanzania.
5. Ni nani muhujumu wa pesa na Mali za umma?
Jibu ni Mtanzania.
Nani atamdhibiti huyu Mtanzania?
Hii mifano michache inakupa alert, kuwa makini na Mtanzania mwenzako, anaweza kukufanya lolote ilimradi tu atimize adhma yake.
Nani aligawa elimu masikini waende St. Kayumba na matajiri English medium
 
Acha ujinga zombi wewe kubeti ni kazi kama kazi zingine heshimu kazi za watu Kodi tunalipa boya wewe ulitaka isije tanzania tufe njaa au boya wewe
 
1. Ni nani aliidhinisha kampuni za bahati nasibu nchini zije zikusanye billions of money kwa Watanzania na kuacha pesa ndogo kwa jina la kodi?
Jibu ni Mtanzania.
2. Ni nani ametoa kibali na ni nani anazifanyia matangazo kampuni za mikopo ya kihuni na kitapeli mitandaoni?
Jibu ni Mtanzania.
3. Nani alipitisha kikokotoo bungeni kinachochukiwa na watumishi zaidi ya laki 5?
Jibu ni Mtanzania.
4. Ni nani alipitisha mikataba ya gesi ya Mtwara ambayo hatusomewi mapato yake au kuelezwa mchango wake kwa uchumi wa Tanzania?
Jibu ni Mtanzania.
5. Ni nani muhujumu wa pesa na Mali za umma?
Jibu ni Mtanzania.
Nani atamdhibiti huyu Mtanzania?
Hii mifano michache inakupa alert, kuwa makini na Mtanzania mwenzako, anaweza kukufanya lolote ilimradi tu atimize adhma yake.
Mkuu ungesema ni ccm ungepungukiwa Nini?
 
1. Ni nani aliidhinisha kampuni za bahati nasibu nchini zije zikusanye billions of money kwa Watanzania na kuacha pesa ndogo kwa jina la kodi?
Jibu ni Mtanzania.
2. Ni nani ametoa kibali na ni nani anazifanyia matangazo kampuni za mikopo ya kihuni na kitapeli mitandaoni?
Jibu ni Mtanzania.
3. Nani alipitisha kikokotoo bungeni kinachochukiwa na watumishi zaidi ya laki 5?
Jibu ni Mtanzania.
4. Ni nani alipitisha mikataba ya gesi ya Mtwara ambayo hatusomewi mapato yake au kuelezwa mchango wake kwa uchumi wa Tanzania?
Jibu ni Mtanzania.
5. Ni nani muhujumu wa pesa na Mali za umma?
Jibu ni Mtanzania.
Nani atamdhibiti huyu Mtanzania?
Hii mifano michache inakupa alert, kuwa makini na Mtanzania mwenzako, anaweza kukufanya lolote ilimradi tu atimize adhma yake.
Hii ni analysis ya kitoto Sana, watu hawafanyi hivyo kwa sababu ni Wa Tanzania,
Hayo uliyoyataja yanaweza kufanywa na raia yoyote kwenye nchi yoyote, UK, USA, tofsuti ni kuwa hizo, nchi zina mifumo na sheria ambazo ukizivunja, unaadhibiwa, rejea kesi ya Trump inayoendelea,
Vitu vingi ulivyovitaja mfsno kikokotoo, ni matokeo mabovu ya Sera za ccm, sasa ccm sio watanzania milioni 60+! Ni, kikundi cha wa tawala wanaojinufaisha kwa, Mali ya umma, na, wapo tayari kuua ili wabaki madsrakani, msukumo hapa sio, u Tanzania wao, maaana viongozi, wadhalimu sio Tanzania, peke yake, Afghanistan, Uganda, Rwanda, Zambia, DRC, ili yasitokee hayo sheria na katiba Bora ni muhimu, lakini hivyo vyote havitoshi, cheki Kenya pale, wana katiba nzuri, lakini ufissdi upo wa kutosha, lakini kwa vile mifumo wa siasa ni Bora, vijana waliingia mtaaani na kuzuaia mswada wa Kodi, na kuilazimisha serikali kwenda kwenye meza ya majadiliano,
Hapa kwetu, ukichoma picha ya samia, unaenda jera, ukikosoa wana ku sativa, au kuku tundu lisu fasta
 
Ili serikali isiyo na uwezo iweze kubakia madarakani ni lazima kwanza iue elimu kwa kutoa elimu isiyomnufaisha huyo mwanafunzi.

Baada ya kuua elimu isiyo na tija wataleta vitu vitakavyowaweka hao waliosoma bila kuelimika vitu vya kuwaweka bize kama KAMARI, kuruhusu vipindi vya vya redio & TV ambavyo haviewezi kumsaidia mwananchi bali kumpotezea muda wake.

Wananchi wakikosa elimu sahihi na kuaminishwa kubeti na kamari ni kujiajiri na serikali ipo kimya unategemea nini?

Huu ni mpango wa serikali na chama kuendelea kubakia madarakani na kwa miaka ya sasa huwezi kuta eti watu wamekaa wanajadili mambo ya kitaifa na badala yake utasikia mambo ya kucheza kindege na blah blah kibao.
Hii ni shida ya watz wenyewe radio na media zote ufata soko linasemaje soko linataka Habari za zuchu, mpira na singeli.
Ukileta Habari za maendeleo au jinsi ya kutoboa utasikiliza mwenyewe.
 
Hii ni analysis ya kitoto Sana, watu hawafanyi hivyo kwa sababu ni Wa Tanzania,
Hayo uliyoyataja yanaweza kufanywa na raia yoyote kwenye nchi yoyote, UK, USA, tofsuti ni kuwa hizo, nchi zina mifumo na sheria ambazo ukizivunja, unaadhibiwa, rejea kesi ya Trump inayoendelea,
Vitu vingi ulivyovitaja mfsno kikokotoo, ni matokeo mabovu ya Sera za ccm, sasa ccm sio watanzania milioni 60+! Ni, kikundi cha wa tawala wanaojinufaisha kwa, Mali ya umma, na, wapo tayari kuua ili wabaki madsrakani, msukumo hapa sio, u Tanzania wao, maaana viongozi, wadhalimu sio Tanzania, peke yake, Afghanistan, Uganda, Rwanda, Zambia, DRC, ili yasitokee hayo sheria na katiba Bora ni muhimu, lakini hivyo vyote havitoshi, cheki Kenya pale, wana katiba nzuri, lakini ufissdi upo wa kutosha, lakini kwa vile mifumo wa siasa ni Bora, vijana waliingia mtaaani na kuzuaia mswada wa Kodi, na kuilazimisha serikali kwenda kwenye meza ya majadiliano,
Hapa kwetu, ukichoma picha ya samia, unaenda jera, ukikosoa wana ku sativa, au kuku tundu lisu fasta
Generation Z wameamua kuharibu nchi yao
 
Back
Top Bottom