TANZIA Mtanzania Johnson Mdoe auawa kwa risasi Marekani. Polisi watangaza dau kwa yeyote mwenye taarifa

ama kweli najua wazungu wamchukua hatua hizi za kutangaza dau kubwa la pesa kwa ataeweza tambua muuaji wa mtanzania huyu sababu ya ushoga na si vingenevyo. kamwe wazungu hawafurahii kutuonesha madhara ya ushoga sababu wana ajenda zao.
nimepitia kwenye akaunti za marehemu na inasikitisha kuona taswira yake ya kabla na baada ya kuwa na mahusiano ya jinsia moja.
jamaa alikua ana binti mkubwa tu na alikua anampenda sana mwanae.
aidha katika nyakati flani anajarbu kuelezea namna gani maisha yake bado hayajasettle akiwa huko aliko sababu document zake bado hajizakaa sawa; swali fikirishi ni kwamba pengine hakua na namna zaidi ya kuwa unyumba ma mzungu huyo glen ili apate document za kuishi?
RIP
 

Attachments

  • FB_IMG_15981051404574521.jpg
    194.9 KB · Views: 18
  • FB_IMG_15981051515788032.jpg
    230.3 KB · Views: 17
  • FB_IMG_15981051082418439.jpg
    118 KB · Views: 17
Huyu mpuuzi ni mvivu
 
Victoire nakupinga sana kwenye hili timisho ila tumuache mwenzetu apumzike kwa amani badala ya kuendelea kumzodoa kwenye umauti wake. RIP Mdoe.

 
Kama wamarekani wanamjua hata alompiga lisu lisasi kwa nini wasimtafute huyu muuaji
 
Tumeambiwa waziwazi " the victim's husband" yaani "mume wa marehemu" ikionesha kwamba marehemu alikuwa kaolewa na huyo mzungu.
That's formal English...! Kila mmoja anam-refer mwenzake as husband! Anayeliwa atamuita mwenzake husband na mlaji atamwita mwenzake husband!

Kwa maana nyingine, kwenye formal English inayotumika by homos, huwezi kujua nani sasa analiwa au anakula, kama wanavyotumia neno gay! Kwenye kujua nani ni nani, lugha inayotumika ni ya mtaa... top/pitcher vs bottom/catcher!
 
Hapa hutaona Waraka wa Ubalozi wa Marekani
 
Uko sahihi kabisa Mkuu in a spoken sound of "No longer at easy"
 
Nimemuangalia FB sijui nini kilimfanya aenda huko maana hata huku nyumbani hakuonekana na maisha magumu au ya kumfanya akate tamaa, nadhani ni ushawishi wa huyo jamaa yake, maisha haya kweli hujui kesho yako hadi huruma, inawezekana alikuwa member humu.
 
Hata mimi nimeangalia page yake. Tena alikuwa proud kabisa na binti yake. Huyo mzungu ndo aliyamshawishi. Tamaa za maisha ya US zimemponza.
 
Hata mimi nimeangalia page yake. Tena alikuwa proud kabisa na binti yake. Huyo mzungu ndo aliyamshawishi. Tamaa za maisha ya US zimemponza.
Anaonekana amepungua sana baada ya kwenda huko nadhani ni mawazo kwamba Jamii inamuangaliajw huku nyumbani, hasa ukichukulia watoto wake ni wakubwa Kwa sasa, na hii taarifa ndio inachafua kabisa.
 
Anaonekana amepungua sana baada ya kwenda huko nadhani ni mawazo kwamba Jamii inamuangaliajw huku nyumbani, hasa ukichukulia watoto wake ni wakubwa Kwa sasa, na hii taarifa ndio inachafua kabisa.
Pia alikuwa hapost kabisa kuhusu uhusiano na huyo mzungu. Ukiangalia page ya mzungu ndo aliyekuwa ana post sana mahusiano.
Iam sure huyu Mdoe hata familia yake hapa Dar walikuwa hawajui kama kafunga ndoa na mwanaume mwenzake huko US.
 
Victoire nakupinga sana kwenye hili timisho ila tumuache mwenzetu apumzike kwa amani badala ya kuendelea kumzodoa kwenye umauti wake. RIP Mdoe.
Nenda facebook tafuta page inaitwa Johnson mchaina utaona picha za 2012,2014 ana watoto tena nimeona kuna anaitwa Lissa,kuna anaitwa Dorrycus. Huyo tamaa ilimfanya akaoe mwanaume mwenzake. Ila hata hivyo hakustahili kupigwa risasi. Ila pia asingeenda huko US kuowa/kuolewa na mwanaume mwenzake haya yasingemkuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…