M Mwananchi Huru JF-Expert Member Joined Nov 20, 2021 Posts 2,128 Reaction score 1,896 Jan 20, 2022 #101 " Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
fidel castro wapili JF-Expert Member Joined Mar 18, 2017 Posts 3,497 Reaction score 2,911 Jan 20, 2022 #102 Smart911 said: Inapendeza... Asha Rose Migiro atakua kafurahi sana... Click to expand... Kwasababu kapata mbadala wake?
Smart911 said: Inapendeza... Asha Rose Migiro atakua kafurahi sana... Click to expand... Kwasababu kapata mbadala wake?
M Mwananchi Huru JF-Expert Member Joined Nov 20, 2021 Posts 2,128 Reaction score 1,896 Jan 20, 2022 #103 fidel castro wapili said: Kwasababu kapata mbadala wake? Click to expand... Kwani cheo ndio hiko hiko?
fidel castro wapili said: Kwasababu kapata mbadala wake? Click to expand... Kwani cheo ndio hiko hiko?
CM 1774858 JF-Expert Member Joined May 29, 2021 Posts 5,621 Reaction score 5,029 Jan 24, 2022 #104 Hongera zake,
F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 34,181 Reaction score 41,563 Jan 24, 2022 #105 CCM si mlisema watu wa kasikazini ni wezi, sasa pongezi za nini tena !! hamkawii kusema huyo alikuwa katibu mwenezi wenu wakati yupo olevel.
CCM si mlisema watu wa kasikazini ni wezi, sasa pongezi za nini tena !! hamkawii kusema huyo alikuwa katibu mwenezi wenu wakati yupo olevel.