Mtanzania Koku Gonza ndani ya Empire TV Series

Mtanzania Koku Gonza ndani ya Empire TV Series

Inatakiwa aweke jitihada aweze mfikia lupita ny'ongo ili nasisi atutangaze Tz
 
Ma series ya kipumbavu yanahamasisha homosexuality. Hakuna cha kujivunia hapo. Kwanza ni mmarekani, hakuna uraia mbili bongo.
 
wamarekani huwa ibilisi/shetani anawatumia sana kupitisha mambo yao,...promotion ya ushoga,ulevi na matumizi mengine ya dawa za kulevya yanapigiwa debe sana na USA,.
hii ni makusudi kabisa hutokea ili adhima yao ya kupitisha mambo maovu kwa jamii itimie........
porns nyingi za homosexual wanazipromote, ili kukuza kwa kas hizo tabia kwa nchi mbali,na kusex kinyume na maumbile kwa dada zetu,wanapromote sana ili kukuza huu uovu.,na impact yake jamii nyingi zimeathiliwa na hizo picha,.na kupelekea dhambi ya kinyume na maumbie kusambaa sana,...USA na wanafanya hayo makusudi wanajua ni taifa lenye ushawishi mkubwa duniani kisiasa,kiuchumi na kwa entertainment pia na kwa kila nyanja mfano.katika sector ya entertainment especially movies,music n.k.
wanafanya na kutangaza mambo maovu ili kuteka akili za vijana kwa kuchochea madhambi ili ibilisi azidi kupata watu wa kwenda nao motoni,.kias kwamba watu wabobee ktk dhambi hizo hadi waone kawaida2,.hii ni hatari ndugu zangu,..
mfano unakuta video wanavuta bangi video ya music,na wasanii karibia wote wa USA video zao ziko hivyo..hiyo inakuza matumizi ya hivo vilevi,.na usa yenyewe ni nchi ambayo kuna matumiz ya drugs kwa wingi sana,kama madawa ya kulevya,bangi,pombe nk,.........
hii ni kutokana na nchi kupromote hivi vitu na kuharibu kizazi hiki na kufanya starehe ni sehemu ya maisha huku wakimwacha MUNGU ,.
katika swala la kupromote ushoga,wanatumia movies sana mfano hio empire,power,prison break nk.
katika music wasanii wengi ni mashoga na waigizaji wengi pia mashoga,.wanafanya hivyo wakijua kuwa wasanii wanAinflunce kubwa kwa vijana na kufanya hilo tendo la homosexual kuwa kama la kawaida,wakati ni machukizo mbele za MUNGU na ni dhambi pia,...so nia kubwa ni kuhakikisha wanawaweka binadamu mbali na kumcha MUNGU kwa kuwabana vijana na movies,music nk....
my take
ushauri wa bure
,kwa vijana wenzangu msipende kuangalia vitu vya hao jamaa ni kuandaa mazingira ya kufanya dhambi na kumchukiza MUNGU,.tukumbe kitu kimoja Kuwa MUNGU alituumba ili tumwabudu pekee,.na tusiishi maisha ya kufanya dhambi Mungu anachukizwa na dhambi,.ndomaana miaka yote tangu kuumbwa kwa ulimwengu MUNGU huwa apendi dhambi,ndomaana akamtoa YESU ili tukombolewa kutoka laana ya shetani..........
mathayo 10;38
 
Kokugonza ni Mtanzania, ni mtoto wa marehemu Longino(Longfellow) Mugarula wa Kiziba, Kashasha karibu kabisa na chuo cha ufundi kashasha.

Baba yake aliishi Marekani, mbali na kuwa msomi mbobezi (PhD holder) alikuwa pia mwanamuziki maarufu. Ameimba nyimbo nyingi sana kwa lugha mbalimbali na ameishi katika nchi mbalimbali km Finland, South Africa, canada n.k. Na kote huko aliiimba kwa lugha zote za wenyeji.

Kokugonza ni mjukuu wa Mzee Martine Mugarula, huyu alikuwa mmoja wa wasomi wa mwanzo kabisa wa sheria mkoani Kagera. Alishika nyadhifa mbalimbali katika serikali ya awamu ya kwanza, alikuwa hakimu, ofisa wa polisi nk. Alifariki ghafla hospitali ya mkoa wa Kagera mwaka 1988.

Kokugonza ana dada zake wengine wawili ambao Longfellow aliwazaa hukohuko Marekani, wanaitwa Ntangilege na Tibeshara Mugarula.

Inapendeza baba yao aliwapa majina ya asili kutoka Bukoba.
wakola waitu, umeelezea vizuri aisee, otaliwaho
 
wamarekani huwa ibilisi/shetani anawatumia sana kupitisha mambo yao,...promotion ya ushoga,ulevi na matumizi mengine ya dawa za kulevya yanapigiwa debe sana na USA,.
hii ni makusudi kabisa hutokea ili adhima yao ya kupitisha mambo maovu kwa jamii itimie........
porns nyingi za homosexual wanazipromote, ili kukuza kwa kas hizo tabia kwa nchi mbali,na kusex kinyume na maumbile kwa dada zetu,wanapromote sana ili kukuza huu uovu.,na impact yake jamii nyingi zimeathiliwa na hizo picha,.na kupelekea dhambi ya kinyume na maumbie kusambaa sana,...USA na wanafanya hayo makusudi wanajua ni taifa lenye ushawishi mkubwa duniani kisiasa,kiuchumi na kwa entertainment pia na kwa kila nyanja mfano.katika sector ya entertainment especially movies,music n.k.
wanafanya na kutangaza mambo maovu ili kuteka akili za vijana kwa kuchochea madhambi ili ibilisi azidi kupata watu wa kwenda nao motoni,.kias kwamba watu wabobee ktk dhambi hizo hadi waone kawaida2,.hii ni hatari ndugu zangu,..
mfano unakuta video wanavuta bangi video ya music,na wasanii karibia wote wa USA video zao ziko hivyo..hiyo inakuza matumizi ya hivo vilevi,.na usa yenyewe ni nchi ambayo kuna matumiz ya drugs kwa wingi sana,kama madawa ya kulevya,bangi,pombe nk,.........
hii ni kutokana na nchi kupromote hivi vitu na kuharibu kizazi hiki na kufanya starehe ni sehemu ya maisha huku wakimwacha MUNGU ,.
katika swala la kupromote ushoga,wanatumia movies sana mfano hio empire,power,prison break nk.
katika music wasanii wengi ni mashoga na waigizaji wengi pia mashoga,.wanafanya hivyo wakijua kuwa wasanii wanAinflunce kubwa kwa vijana na kufanya hilo tendo la homosexual kuwa kama la kawaida,wakati ni machukizo mbele za MUNGU na ni dhambi pia,...so nia kubwa ni kuhakikisha wanawaweka binadamu mbali na kumcha MUNGU kwa kuwabana vijana na movies,music nk....
my take
ushauri wa bure
,kwa vijana wenzangu msipende kuangalia vitu vya hao jamaa ni kuandaa mazingira ya kufanya dhambi na kumchukiza MUNGU,.tukumbe kitu kimoja Kuwa MUNGU alituumba ili tumwabudu pekee,.na tusiishi maisha ya kufanya dhambi Mungu anachukizwa na dhambi,.ndomaana miaka yote tangu kuumbwa kwa ulimwengu MUNGU huwa apendi dhambi,ndomaana akamtoa YESU ili tukombolewa kutoka laana ya shetani..........
mathayo 10;38
Kiukweli umeongea ya kweli kabisa .....empire nilitaka kuiangalia baada ya watu kuisifia sana kuwa ni nzuri ila baadae nikaja kujua kuwa ina hayo mambo sikuiangalia tena......sasa hivi movie zangu ni za animation tu.....tena wakina tom and jerry na madagasca.
 
Ma series ya kipumbavu yanahamasisha homosexuality. Hakuna cha kujivunia hapo. Kwanza ni mmarekani, hakuna uraia mbili bongo.
Na jamaa nasikia katajirika kishenzi kutokana na hiyo movie.
 
Back
Top Bottom