Mtanzania kufanya kazi za kijasusi kwa masilahi ya nchi nyingine (siyo kwa masilahi ya Tanzania)

Mtanzania kufanya kazi za kijasusi kwa masilahi ya nchi nyingine (siyo kwa masilahi ya Tanzania)

isikusumbue huyo lazima ukubali ni mkali na tanzania itajivunia
 
Hiyo ni kazi tu kama kazi zingine, hakuna sheria inayomzuia mtanzania kufanya kazi nje na ndio maana kuna mawaziri wametoka kufanya kazi nje ndio wakarudi hapa
 
Define "kazi ya kijasusi".

Kuna watu wanafanya kazi openly World Bank hapo na kazi zao kwa definition fulani zinaweza kuitwa "kazi za kijasusi" a la "Confession of An Economic Hitman".

Kuna watu wanafanya kazi mabenki makubwa yanayopanga artificial LIBOR na kuharibu bei za mazao na bidhaa soko la kimataifa, na wao wanafanya a compartmentalized portion of the mission, hawaoni hata the big picture, na hata wasipofanya, wengine bwena tu watafanya, hawa nao wanafanya kazi za kijasusi ama la?

Ujasusi ni nini na kazi ambayo haiwezi kuwa ujasusi ni nini?

Na vipi kama mtu anafanyia ujasusi nchi nyingine dhidi ya nchi nyingine tofauti bila kuhusisha Tanzania.Yeye jasusi, lakini Tanzania haikumtambua kipaji chake, kapata nchi iliyotambua kipaji chake huko anafanya kazi bila kuidhuru Tanzania, anachangia kusomesha ndugu zake na kurudisha remmittances kibao nyumbani. Huyu naye vipi?

Akisema aache ujasusi huko aje nyumbani mtampa kazi?

Kwa hiyo ili suala lako si la kujibiwa bila kuelewa unamaanisha nini unaposema "ujasusi".

Kwa sababu kwa definition nyingine radical kuwa karani wa benki za kimataifa tu zilizo mjini unaweza kutafsiriwa kama unafanya kazi za ujasusi
 
Mtanzania kufanya kazi za kijasusi kwa masilahi ya nchi nyingine (na siyo kwa masilahi ya Tanzania); sheria za Tanzania zinasemaje?

Hapa ninamaanisha Mtanzania anayefanya kazi na taasisi za kiintelijensia za "huko duniani" wakati huo huo yeye ni raia wa Tanzania!
Hivi Thomas Zangira kasheshe lake liishia wapi?.
 
haina tatizo kama huo u-informer hauna madhara kwa tz,mradi tu kile anacho lipwa huko anakirudiasha kuwekeza nyumbani.
 
Define "kazi ya kijasusi".

Kuna watu wanafanya kazi openly World Bank hapo na kazi zao kwa definition fulani zinaweza kuitwa "kazi za kijasusi" a la "Confession of An Economic Hitman".

Kuna watu wanafanya kazi mabenki makubwa yanayopanga artificial LIBOR na kuharibu bei za mazao na bidhaa soko la kimataifa, na wao wanafanya a compartmentalized portion of the mission, hawaoni hata the big picture, na hata wasipofanya, wengine bwena tu watafanya, hawa nao wanafanya kazi za kijasusi ama la?

Ujasusi ni nini na kazi ambayo haiwezi kuwa ujasusi ni nini?

Na vipi kama mtu anafanyia ujasusi nchi nyingine dhidi ya nchi nyingine tofauti bila kuhusisha Tanzania.Yeye jasusi, lakini Tanzania haikumtambua kipaji chake, kapata nchi iliyotambua kipaji chake huko anafanya kazi bila kuidhuru Tanzania, anachangia kusomesha ndugu zake na kurudisha remmittances kibao nyumbani. Huyu naye vipi?

Akisema aache ujasusi huko aje nyumbani mtampa kazi?

Kwa hiyo ili suala lako si la kujibiwa bila kuelewa unamaanisha nini unaposema "ujasusi".

Kwa sababu kwa definition nyingine radical kuwa karani wa benki za kimataifa tu zilizo mjini unaweza kutafsiriwa kama unafanya kazi za ujasusi

kiranga unakuwa na michango mizuri ila sometimes hueleweki.
michango yako huwa na maswali unayojiuliza mwenyewe na kujijibu wewe mwenyewe.be straightforward tujue unasimamia nini.
 
Kama kweli uliifanya kazi hiyo kwa weledi basi hutakiwi kuuliza swali kama hilo...au la chukua ushauri wa Mwafalsafa1 kamaliza kila kitu...watch ur back.
 
kiranga unakuwa na michango mizuri ila sometimes hueleweki.
michango yako huwa na maswali unayojiuliza mwenyewe na kujijibu wewe mwenyewe.be straightforward tujue unasimamia nini.

Maswali yapi nimejiuliza mimi mwenyewe na kujijibu mimi mwenyewe?

Nimeuliza tupate definition ya ujasusi, maana kutegemea na mrengo na falsafa za mtu, neno "jasusi" linaweza kumaanisha vitu vingi sana tofauti. Hata kina Edwin Mtei walivyofanya kazi IMF wangeweza kuitwa majasusi. Sasa basi, ili kuweza kuwa na mjadala murua, ni vizuri tuhakikishe tunakubaliana huyu jasusi tunayemuongelea hapa ni yupi.

Mengine yalikuwa ni extrapolations with scenarios, sasa kama umeona extrapolations with scenario ndiyo kujijibu mwenyewe hujaelewa mawasiliano yanavyohitaji extrapolations, examples and scenarios for the sake of clarity.

Mimi kimsingi nimeuliza jasusi ni nani.

Manake tusije kuzama sana kwenye mjadala wa majasusi wakati hata hatujakubaliana jasusi ni nani.

Tukaandika kuhusu watu tofauti huku tukifikiri kwamba tunaandika kuhusu watu wale wale.

Au tukaandika kuhusu watu wale wale tukifikiri kwamba tunaandika kuhusu watu tofauti.
 
nazungumzia, mfano mtanzania anaifanyia kazi ISI kukusanya intelligence information zinazohisiana na usalama wa Pakistani nchini mfano Afghanistani. Baada ya muda huyu mtu anarudi Tanzania. Ikatokea kwamba serikali ya Tanzania ikapata taarifa kwamba huyu mtu "ni hatari" alikuwa ni kibaraka wa ISI....hapo sasa!!

Kama kakusanya intelligence kuhusu Afghanistan na Pakistani, na hizi habari haziihusu Tanzania, kwa nini huyu mtu awe hatari kwa Tanzania?

Na kama ni raia wa Tanzania, imekuwaje watu wa nje waweze kumjua kwamba huyu ni kifaa na kum recruit wakati Watanzania wameshindwa kufanya hivyo?

Na je, katika nchii hii ya Tanzania ambayo mpaka Ikulu inatumia email za Yahoo ambazo hata hazina semblance of protection kwa kuwa na HTTPS in this age of Edward Snowden ambayo HTTPS si protection kutoka NSA anyway, ni kweli unahitaji kuwa na agent hatari wa nchi za nje ili kuzijua "siri" za Tanzania?

Maana tusije kufanya "majasusi" nonexistent kuwa scapegoat wakati systems zetu hazihitaji hata ujasusi kuzi penetrate, all you need is a script kiddie.
 
Maswali yapi nimejiuliza mimi mwenyewe na kujijibu mimi mwenyewe?

Nimeuliza tupate definition ya ujasusi, maana kutegemea na mrengo na falsafa za mtu, neno "jasusi" linaweza kumaanisha vitu vingi sana tofauti. Hata kina Edwin Mtei walivyofanya kazi IMF wangeweza kuitwa majasusi. Sasa basi, ili kuweza kuwa na mjadala murua, ni vizuri tuhakikishe tunakubaliana huyu jasusi tunayemuongelea hapa ni yupi.

Mengine yalikuwa ni extrapolations with scenarios, sasa kama umeona extrapolations with scenario ndiyo kujijibu mwenyewe hujaelewa mawasiliano yanavyohitaji extrapolations, examples and scenarios for the sake of clarity.

Mimi kimsingi nimeuliza jasusi ni nani.

Manake tusije kuzama sana kwenye mjadala wa majasusi wakati hata hatujakubaliana jasusi ni nani.

Tukaandika kuhusu watu tofauti huku tukifikiri kwamba tunaandika kuhusu watu wale wale.

Au tukaandika kuhusu watu wale wale tukifikiri kwamba tunaandika kuhusu watu tofauti.
ujususi ni dhana pana na hufanyika ktk sector nyingi.mfano ulinzi,uchumi,siasa,dini,sayansi nk.kwa jinsi nilivyo muelewa mleta mda anauliza ujasusi unaofanyika ktk sector ya ulinzi.
 
ujususi ni dhana pana na hufanyika ktk sector nyingi.mfano ulinzi,uchumi,siasa,dini,sayansi nk.kwa jinsi nilivyo muelewa mleta mda anauliza ujasusi unaofanyika ktk sector ya ulinzi.

Kwa sababu ujasusi ni dhana pana, ndiyo maana nikaomba nipate definition specific inayotakiwa kujadiliwa hapa. Ambayo hata wewe hujatupa. Ukisema tu "ujasusi unaofanyika katika sector ya ulinzi" unakuwa hujatusaidia kutueleza ujasusi ni nini.

Kwa mfano, kuna Watanzania wako katika majeshi ya Marekani, wengine wameenda mpaka huko Iraq na Afghanistan. Wapo katika majeshi ya ulinzi ya Marekani.

Hawa nao ni majasusi au si majasusi?

Museveni na Kagame wana watu wao kibao majeshi ya Marekani. Na hawa watu wana maintain contact kichizi na nyumbani kwao. Wanafanya kazi kwa miaka kadhaa kwa mahesabu ya kurudi kwao na ujuzi wa jinsi systems za kimataifa zinavyofanya kazi. Wanakuwa kama majasusi wa Uganda/ Rwanda wanaochukua habari za majeshi ya Marekani. Hawa nao kama tunao vipi?

Unachoraje mstari wa kusema hiki kinakubalika na hiki hakikubaliki?

Utaona kwamba kusema tu "ujasusi unaofanyika katika sector ya ulinzi" hakujibu swali langu, ambalo linataka kujua, hata katika hao watu walio katika sectro ya ulinzi, nani ni jasusi na nai si jasusi.

Hujajibu swali.
 
uhaini ni kosa, lakini kufanya tu kazi sheria haizuii kwa mfano unaweza kuwa analysist wa cable ya CIA hapa Tanzania. kaZi yako ni ku-analyse tu hakuna tatizo lolote na sheria haikubani na wala hujafanya uhaini.. mbona jibu jepesi tu kuliko kuzunguka kuadadavua ujasusi w aina gani nk
 
Kama kakusanya intelligence kuhusu Afghanistan na Pakistani, na hizi habari haziihusu Tanzania, kwa nini huyu mtu awe hatari kwa Tanzania?

Na kama ni raia wa Tanzania, imekuwaje watu wa nje waweze kumjua kwamba huyu ni kifaa na kum recruit wakati Watanzania wameshindwa kufanya hivyo?

Na je, katika nchii hii ya Tanzania ambayo mpaka Ikulu inatumia email za Yahoo ambazo hata hazina semblance of protection kwa kuwa na HTTPS in this age of Edward Snowden ambayo HTTPS si protection kutoka NSA anyway, ni kweli unahitaji kuwa na agent hatari wa nchi za nje ili kuzijua "siri" za Tanzania?

Maana tusije kufanya "majasusi" nonexistent kuwa scapegoat wakati systems zetu hazihitaji hata ujasusi kuzi penetrate, all you need is a script kiddie.
Mkuu ninakukubali kuna M-Tanzania alikuwa Jasusi wa Ki-Palestina

akaenda kupeleleza nchini Israil na hao hao Wa-Palestina wapo pia Majasusi wa Ki-Israil wakatoa habari kuwa anakuja

M-Bongo ametumwa na Wa-Palestina alipofika Aiport Israil wakamkamata na kumwambia wewe ni M-Tanzania

umetumwa na Wa-Palestina kuja kupeleleza hapa nchini Israil. Alijitahidi kuficha Wa-Israil wakamwambia sisi tunajuwa

yote. Na nia yako

uliyokuja nayo hapa wakamwambia tutakuapa information yote wanayotaka hao walio kutuma na sisi pia utufanyie kazi.

Akawakubalia Wa-Israil wakampa anayo yataka yule Mbongo kule alipotumwa akarudi huko kwa wa Palestina nchini

(Syria ilikuwa wakati huo) na huyo huyo Mbongo akawapa maelezo hao waliomtuma na akafanya tena kazi na Wa-

Israil kuwapa habari za Wa-Palestina. Ilipo gundulika kuwa anatoa habari za Wa-Palestina kuwapa Wa-Israil

akakamatwa na Wa-Palestina na akafungwa zaidi ya miaka 7 na

adhabu kali ndani ya jela za Ki Palestina nusura afe.Jamani msijaribu kabisa mambo ya Ujasusi ukikamatwa unauliwa . Kazi ya Ujasusi una chezea

maisha yako Mkuu Usijaribu kabisa ni mbaya sana.
 
Kuna majasusi mpaka wa kuchunguza wana ndoa.

Una maanisha ujasusi upi?
 
ujususi ni dhana pana na hufanyika ktk sector nyingi.mfano ulinzi,uchumi,siasa,dini,sayansi nk.kwa jinsi nilivyo muelewa mleta mda anauliza ujasusi unaofanyika ktk sector ya ulinzi.


A SPY is a person who find, analyse and report other county's infor without consent of that country (secretry) to his country for the benefit of his country.
 
Back
Top Bottom