Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,218
huyu mtu atakuwa na siri nyingi za wale waliomtuma. kurudi kwake Tanzania kunaweza kumfanya asiaminike na waajili wake. endapo ikatokea kujulikana na TISS kwamba huyu mtu alikuwa ni kibaraka wa "wakubwa" itakuwaje?
kajuaje au ndio yeye mwenyewe nini