Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Mkuu, yani nimejikuta nakasirika bure nikikumbuka kodi zetu zinavyo fanyiwa anasa kila kona ya kantre.....
Naumia zaidi ninaposikia hadi mifumo ya ulipaji fedha kwa njia za mitandao pia zimechepushwa.....
Nilitaka kufa kabisa baada ya kusikiliza mrejesho kutoka kwa CAG, na wahusika wapo kitaa wanazidi kula bata hata hawajaitwa kuhojiwa...
Naumia zaidi ninaposikia hadi mifumo ya ulipaji fedha kwa njia za mitandao pia zimechepushwa.....
Nilitaka kufa kabisa baada ya kusikiliza mrejesho kutoka kwa CAG, na wahusika wapo kitaa wanazidi kula bata hata hawajaitwa kuhojiwa...