Tetesi: Mtanzania Mbaroni Kwa kuiibia Serikali ya Marekani Bilioni 8!

Ngano kg 25 unakuta kg 21
 
Mkuu umenichekesha sana,uliposema kuna wazungu muda wote wanawaza kupigana,kwa hyo ilibid uwe mpole wakitaka kupigana na wewe?
 
Wao kutwa wanatuibia kwa kulaghai viongozi wetu na kuwaua/kuwahujumu wanaokataa matakwa yao. Hebu wamuache huto tu bil 2 tu. Ila na sisi watz ni 'waizi' tunasema wabatu wenzetu wachaga wakati sote ni tabia yetu ya udokozi.
 
Kumbe nao wanaibiwa kwa kughushi!
Huu mchezo wa mambo ya afya Marekani wizi ni mwingi kuna wengine wanatengeneza ajali za uongo na kweli ili kufoji matiabau ya bima za uongo ila mara nyingi uwa wanakamatwa na ni jera hawana mchezo kwenye masuala ya BIMA na kuibia kwa njia ya health care
 
alivyopiga hiyo pesa angerudi zake bongo ajifiche
 

Tatizo nchi za wenzetu utawapiga cha juu weee, lakini at the end of the day watakudabua tu! [emoji1][emoji1]
 
Mwachache aozee jela,alipenda mwenyewe kufanya uhalifu,na acha anyongwe," in Magufuli's voice".
 
karibia na mitaa ya De mag Hotel.
Nishapapata ni opposite na mzee kilaba
Njia kama unakwenda buibui uwanjani Karibia na dem mug...
Ok .....ndomana ujenzi ulikuwa unakwenda kwa kasi asubuhi na usiku sahv kama wamesimama vile ....
Ngj ntafanya uchangzi zaidi
Nikiwa kwenye vikao Vyangu hpo uwanjani pembeni na dem mug

Ova
 
Uko sahihi, jamaa kanuna na nyumba nyingine maeneo ya pale pale. Tuishie hapa mkuu, isijeonekana tunachimba sana. Haha.
 
Uko sahihi, jamaa kanuna na nyumba nyingine maeneo ya pale pale. Tuishie hapa mkuu, isijeonekana tunachimba sana. Haha.
Sema kama ndy huyo f@l@ alikuwa na nyodo sana ....ila ngja nithibitishe kuthibitisha ni dk 4 tu

Ova
 
Sema kama ndy huyo f@l@ alikuwa na nyodo sana ....ila ngja nithibitishe kuthibitisha ni dk 4 tu

Ova
Thibitisha kwanza mkuu, isijekua tunamuonea huyo ndugu. Ila kwa taarifa za mdau hapa jamvini, anasema anandugu yake ni mwanasheria yupo dar. Huyo jamaa nae ni mwanasheria na majina ya mwisho yanafanana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…