Mtanzania mbaroni kwa tuhuma za ugaidi Mombasa

Mtanzania mbaroni kwa tuhuma za ugaidi Mombasa

Sio mkumbo, ishu ni kuwa kuna watu wengi wanaamini masuala ya msimamo mkali baada ya kufundishwa sana na baada ya kuamini hayo masuala wanaenda "kujifunza dini" wakienda huko wanapotea mazima.
Hiyo misimamo mikali siyo ya dini tu, bali hata ya kisiasa kama tunavyoona wafuasi wa CHADEMA wanavyotukana ovyo. Huo ni msimamo wa CHADEMA kuhakikisha wanaleta machafuko kwa njia za kigaidi ikiwa ni pamo0ja na kuvunja sheria. Yaani mfuasi wa CHADEMA hana tofauti na mfuasi wa ISIS, Alqaeda, AU taliban. Wao ni kukubali uchafu wowote asemao Mbowe.
 
Hiyo misimamo mikali siyo ya dini tu, bali hata ya kisiasa kama tunavyoona wafuasi wa CHADEMA wanavyotukana ovyo. Huo ni msimamo wa CHADEMA kuhakikisha wanaleta machafuko kwa njia za kigaidi ikiwa ni pamo0ja na kuvunja sheria. Yaani mfuasi wa CHADEMA hana tofauti na mfuasi wa ISIS, Alqaeda, AU taliban. Wao ni kukubali uchafu wowote asemao Mbowe.
apa umeenda mbali sana mzee,
 
Vita dhidi ya ugaidi vinazidi kuwa moto.....nashukuru sana wana uaslama wetu kwa kutokusinzia...

Mombasa. A 35 year old Tanzania national whose identity is yet to be revealed is among terror suspects arrested on Monday by Kenyan police in the coastal city of Mombasa, it has emerged.
Anti-terrorism police squad pounced on the Tanzanian and a 30 year old Kenya accomplice in a dramatic ambush at Mombasa’s Likoni Channel as they waited to board a ferry.
Police said the two suspects are Al-Shabab returnees with contacts in Mvita Mombasa and Kwale. Initial suspicion is that they planned to attack a police station in Mombasa on August 27, the death anniversary of fiery Sheikh Aboud Rogo.

The two were on Tuesday presented before an anti-terrorism magistrate’s court in Nairobi where the police were granted 21 days to complete investigations before charging them.
The suspect’s names will remain protected for purposes of investigation, according to the police.
The Tanzanian reportedly lived in Kenya before and in 2016 was among those involved in an ambush of Kombani Police Post in Kwale County. On January 2, they also allegedly attacked Tandoori Club in Diani, and also threw a grenade at a local police station.

The anti-terror unit is combing homes in Kwale for more accomplices linked to those in custody, after intelligence pointed to a house in Lungalunga where they were living.
The house also acted as a safe abode for weapons the ring had transported from the Democratic Republic of Congo through Tanzania’s Lungalunga border crossing before the Monday arrest.

Police believe the duo and their accomplices were radicalized by Mr Rogo who was gunned down in 2012 by unknown people in Mombasa. Intelligence reports have linked several youths who were radicalized by Mr Rogo are among those who have been unleashing terror in parts of the coast of Mozambique.
The new developments has put security agencies in the Coast region on high alert even as intelligence reports showed that Cabo Delgado in Mozambique had become the new frontier for radicalised youth, from the wider East and Central Africa region.


 
Hiyo misimamo mikali siyo ya dini tu, bali hata ya kisiasa kama tunavyoona wafuasi wa CHADEMA wanavyotukana ovyo. Huo ni msimamo wa CHADEMA kuhakikisha wanaleta machafuko kwa njia za kigaidi ikiwa ni pamo0ja na kuvunja sheria. Yaani mfuasi wa CHADEMA hana tofauti na mfuasi wa ISIS, Alqaeda, AU taliban. Wao ni kukubali uchafu wowote asemao Mbowe.
We km si mlitaka ugaidi ngoja uje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
labda ndo wanavyofundishwa huko wanakoendaga
MSIONGEE MSIVYOVIJUA.
HUKO NJE SUDAN,SAUDIA HAWAFUNDISHI UGAIDI WALA CHUKI.
BALI HAO NI BAADHI YA WAISLAM WASIOJITAMBUA WALIOPOFUSHWA NA UGUMU WA ITIKADI.
ILA UISLAM HAUFUNDISHI HAYO.
 
Anyongwe tu
Mombasa.

Wakati bado kukiwa na taharuki kutokana na tukio la mauaji ya watu watano wakiwemo askari polisi watatu lilitokea jirani na Ubalozi wa Ufaransa jijini Dar es Salaam, nchini Kenya vyombo vya usalama vinamshikilia raia wa Tanzania kwa tuhuma za ugaidi.

Mtanzania huyo ambaye mamlaka zimegoma kutaja jina lake, anashikiliwa akitajwa kuwa miongoni mwa watuhumiwa wawili wa ugaidi waliokamatwa wakati wakiwa kwenye harakati za kushambulia vituo vya usalama na maduka makubwa mjini Mombasa.

Habari zinaeleza kuwa watuhumiwa hao walikamatwa juzi katika kivuko cha Likoni majira ya asubuhi.

Hata hivyo, Polisi wamegoma kuelezea kwa undani kuhusu watuhimiwa hao huku wakieleza kuwa wanaendelea na uchunguzi.

Kwa mujibu wa polisi, watuhumiwa hao wanadaiwa walikuwa na dhamira ya kushambulia vituo viwili vya polisi na duka kubwa maarufu katika eneo la Nyali.

Taarifa za kipolisi zinadai kuwa kulikuwa na mpango wa kutekeleza shambulio hilo leo katika kuadhimisha tarehe ya kifo cha Sheikh Aboud Rogo, ambaye aliuawa Agosti 27, 2012 kwa tuhuma ya kuhusika na ugaidi.

Tukio lilivyokuwa

Taarifa zinaeleza kuwa watuhumiwa hao walizingirwa na wapelelezi kutoka Kikosi Maalum na Kitengo cha Polisi cha Kupambana na Ugaidi (ATPU) walipokuwa kwenye gari aina ya Toyota Probox nambari KCE 695U kabla ya kutekeleza shambulio hilo.

Maofisa hao waliwazingira na kuwavamia wawili hao wakati wakizozana na maofisa wa kivuko hicho kuhusu malipo ya kuvusha gari walilokuwa wakilitumia.

Baada ya kukamatwa waliingizwa kwenye gari la polisi huku wananchi wakishuhudia kisa hicho kama sinema. Mzozo ulitokea katika kivuko hicho wakati watuhumiwa hao walipogomea kufanya malipo kwa njia ya mtandao.

Mara baada ya kutiwa mbaroni, bunduki mbili za AK-47, simu za mkononi, risasi 150 na vitu vingine vilipatikana wakati maofisa hao wa usalama wakifanya upekuzi kwenye gari hilo la watuhumiwa.

Tayari watuhumiwa hao wamefikishwa mahakamani jijini Nairobi kujibu mashtaka yanayowakabili.


Chanzo: Mwananch
 
Back
Top Bottom