Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Hizo ni bei za crack...pele mwenyewe bei yake ni kama dhahabu.Mara ya mwisho nilisikia cha ukucha ilikiwa 2000 tena zamani kidogo na sio pure... sasa imagine kilo moja ina nusu kucha ngapi ndani yake? Ile ni starehe ya matajiri
Njoo pm nikusemeshe kitu.Nisamehe mkuu
hlf hawanaga makeleleHii ni Biashara ya Waislam wengi wa Dsm na Pwani
Matajiri wengi sana Waislam wa Pwani wanafanya biashara hii halafu hawakosi kuhudhuria misikitini ila sio wote
Huyu hana miaka 60 huyu ana miaka 70/80 alipaswa awe mwenyekiti wa jumuia au sheikh flani hvA Tanzania national arrested at Bole Airport with 1.34 KG of cocaine on 18/04/2024 at 19:40 at Transit lounge At Bole International Airport In Addis Ababa Ethiopia Police have arrested a suspicious Passenger SADICK ABRAHAMAN ALLY , Tanzanian, 60 yearS Old, Born and Grew up in Tanga ,Passport number TAE 266469.
The passenger was travelling from Sao Paulo ( GRU ) transiting at Bole International airport to Entebbe International Airport on Flight ET 5O7 and then on flight ET 334 to EBB and took the suspicious passenger to X ray where indicated Positive and on interrogation he admitted to have swallowed about Kg of Cocaine . The passenger is beeing held by Ethiopia police for discharge of the Pellets and further Investigation and Legal action.
Punda amekataa kustaafu kazi yake, mwenye mzazi wake aende rumande za Addis Ababa kumpelekea sabuni na maji.
Kuna nchi kama China hao wananyongwa haraka sana.umewahi kusikia wanafungwa hao?
Biashara ya WaislamNa unaambiwa huyu mzee ni mzoefu wa kazi hiyo,ashafungwafungwa sana
Ova
Wanakuwaga na mpunga mrefu.Hivi cocaine ina thamani kubwa kiasi hichi?
Kg Moja uilipie siti ya ndege, ule, ulale hotelini n.k.
Kg Moja sh.ngapi kwani?
Hahaha..Muislamu na dawa za kulevya haviachani
Escobar ni imam wa AzarelBiashara ya Waislam
I'm the proud to be the.....SADIKI ABRAHAMANI ☪️
Hahaha..
Ni kama kinu na mtwangio
✝️?I'm the proud to be the.....
Atamrudia Mungu akiwa nyuma ya nondo.Huyu mzee jau kweli, umri huo si kuwalea wajukuu na kumrudia Mungu