Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

MKuuu KULE NDIO KULEE MAPITIO YAO SIJUI WALIBADILI VIONGOZI WAKAJA BA SHERIA KALI SANA ANAEKAMATWA NA MADAA WEWEE WOTE WAKAKIMBIA HIO NJIA HUYU FALA NAHISI ALIJISAHAU MASIKNI
Sasa Transit ukikamatwa si uzembe wako tu, huyo wenge ndo lilimponza.
 
Transist kitaifa kama Ethiopia wanamshikilia ivo, vitaifa vingine vya ajabu sana..........nchi aliyotoka na anayo kwenda imewapa jamaa Green light......hizi nchi Brazill, Mexico, Pakstan, Malaysia, ni waasisi na big manufacturer wa dawa.

Huyu mzee kameza kg 1.3 ni sawa na kilo moja na robo ivi, huu mzigo unavomeza unakuwa na masharti kwenye kula mpaka utapo fika kwa afya yake mbona shughuli.

Anaonekana kachoka vibaya sana mithili ya punda.......

Ila Tanga ni vinara kwa hii biashara, kina Yanga Omary walishatoka???? Tanga alisumbua sana, matajiri wengi wa Tanga wanapush hii cargo.......afu watu wanakuja kusema waislamu wanaongoza 😅😅😁😁 niwaambie tu ni kwa hapa Tanzania wao ndo wauzaji wakubwa.
 
A Tanzania national arrested at Bole Airport with 1.34 KG of cocaine on 18/04/2024 at 19:40 at Transit lounge At Bole International Airport In Addis Ababa Ethiopia Police have arrested a suspicious Passenger SADICK ABRAHAMAN ALLY , Tanzanian, 60 yearS Old, Born and Grew up in Tanga ,Passport number TAE 266469.

The passenger was travelling from Sao Paulo ( GRU ) transiting at Bole International airport to Entebbe International Airport on Flight ET 5O7 and then on flight ET 334 to EBB and took the suspicious passenger to X ray where indicated Positive and on interrogation he admitted to have swallowed about Kg of Cocaine . The passenger is beeing held by Ethiopia police for discharge of the Pellets and further Investigation and Legal action.

Punda amekataa kustaafu kazi yake, mwenye mzazi wake aende rumande za Addis Ababa kumpelekea sabuni na maji.

Mtoto wa Tanga kunani huyu
 
Hawa wazee wengine bana,huyu anaonekana ni drugs dogs wa zamani sana,kazi nyingine wafanye vijana
 
Back
Top Bottom