kidonto
JF-Expert Member
- Jan 5, 2014
- 1,961
- 2,918
Mdomoni, unameza Moja moja coz zinakua kama Size ya Pipi Kifua za zamani....!Zinamezwa kw anjia ya mdomo au zinaingizwa kwa njia ya haja kubwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdomoni, unameza Moja moja coz zinakua kama Size ya Pipi Kifua za zamani....!Zinamezwa kw anjia ya mdomo au zinaingizwa kwa njia ya haja kubwa?
Du, kama kweli basi kweli pesa ni konyo.. na mahoteli yake yamefunguliwa? Maana zilianza kuwa magofu..nimemkumbuka alikamatwaga na gram kama 250 hivi yeye na mkewe... walishaachiwaga kwa mchongo... wewe bwana hufatilii mambo🤣🤣🤣
Tanga+Mombasa tenaUle mkoa wa TANGA unachukuliwa poa sana sana lakini katika mikoa ina watu wana dili kharamu Tanga stop ,
Cha kushangaza sasa wale mafia wote wauza unga wa Tanga na madili meusi huwakosi kwenye manyumba ya ibada na huwa wanapewa mpaka kusalisha.
Kuna coment hapo juu mdau amesema kuna zoez la kupanuliwa assMdomoni, unameza Moja moja coz zinakua kama Size ya Pipi Kifua za zamani....!
Toeni conection watu tufanye kaziBongo yanabaki mashudu ya Tshillings mzigo wa maana unaenda kwenye Rand na kwa wanaofahamu ukiwa cut zaidi ya asilimia 78 hawachukui wanakuchukua wewe.Mchana nwema Kaka Mrangi.
Heroine haina bei kubwa.Aiseee kumbe.
Mbona hatari sana hii.
Heroine inafukuzana na dhahabu
Sasa Transit ukikamatwa si uzembe wako tu, huyo wenge ndo lilimponza.MKuuu KULE NDIO KULEE MAPITIO YAO SIJUI WALIBADILI VIONGOZI WAKAJA BA SHERIA KALI SANA ANAEKAMATWA NA MADAA WEWEE WOTE WAKAKIMBIA HIO NJIA HUYU FALA NAHISI ALIJISAHAU MASIKNI
Kupanuliwa ass ki vipi!?Kuna coment hapo juu mdau amesema kuna zoez la kupanuliwa ass
Hongera kwa kumpa jibu analostahikk maana alikua anataka kuleta udini na kunna mifano kibao ya wakristo wakubwa wanaouza na kutumia ngadaPablo escoba alikuwa imam wa msikiti
Mtoto wa Tanga kunani huyuA Tanzania national arrested at Bole Airport with 1.34 KG of cocaine on 18/04/2024 at 19:40 at Transit lounge At Bole International Airport In Addis Ababa Ethiopia Police have arrested a suspicious Passenger SADICK ABRAHAMAN ALLY , Tanzanian, 60 yearS Old, Born and Grew up in Tanga ,Passport number TAE 266469.
The passenger was travelling from Sao Paulo ( GRU ) transiting at Bole International airport to Entebbe International Airport on Flight ET 5O7 and then on flight ET 334 to EBB and took the suspicious passenger to X ray where indicated Positive and on interrogation he admitted to have swallowed about Kg of Cocaine . The passenger is beeing held by Ethiopia police for discharge of the Pellets and further Investigation and Legal action.
Punda amekataa kustaafu kazi yake, mwenye mzazi wake aende rumande za Addis Ababa kumpelekea sabuni na maji.