Mtanzania Mzalendo amiliki kiwanda cha kuunganisha mabasi

Design sio yake, ni assembly tu, parts zote zinabuniwa na kutengenezwa nje ya nchi.

Kama vile pikipiki au baiskeli zinatengenezwa nje zinakuja vipande kwenye maboksi na kuunganishwa hapa nchini.
Hapana mkuu, hio body ame- design kareem design kijana wa hapa hapa bongo anaefanya vizuri kwenye game na imetengenezewa hapa hapa bongo mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amini usiamini mmiliki hayumpo hapo
 
Anaunganisha gari za aina gani? Scania, Utong au Isuzu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…