Hehehehehehe wewe hilo shamba bado ni lakooo,wewe sio TIC...Sio tanzania wageni kibao wanamiliki ardhi bila shida...nliuza shamba langu arusha mateves kwa mzungu mkataba aliandika jina lake....mkewe ni mtanzania ila hakumuweka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehehehehe wewe hilo shamba bado ni lakooo,wewe sio TIC...Sio tanzania wageni kibao wanamiliki ardhi bila shida...nliuza shamba langu arusha mateves kwa mzungu mkataba aliandika jina lake....mkewe ni mtanzania ila hakumuweka
Diaspora karibu 90% wana ID za Tanzania na Passport za Tanzania.Mtanzania aliyeko Marekani na ni raia wa kule anaweza kuja kuridhi mali au viwanja vya baba yake aliyeko Tanzania?
Hii imekaaje kisheria?
Ndugu yake mangeMtoa mada anawaza Mali za wazazi tu
Kwani hujaona wazungu wana nyumba zao masaki na siyo raia?Mimi niko fit sana sisi tunajua kutafuta bro ni kweli alinituma niulizie maana ukweli tayari ana viwanja vyake huku sasa yuko kule kakaa miaka30 anataka kurudi bongo.home is best.
mtanzania kwa kuzaliwa hujaelewa nini hapo?Mbona una jichanganya mzee
Yani mtanzania halaf hapo hapo RAIA wa marekani?
bro tofautisha sheria na shortcutKwani hujaona wazungu wana nyumba zao masaki na siyo raia?
Nawafahamu wengi sana, tena pasipo kificho chochote wamerithi mali za wazazi wao,wanamiliki ardhi majengo nk! Ni sheria ya vitabuni tu! Nawafahamu vigogo wengi waliofariki na watoto wao wakarithi sehemu za urithi wao pasipo tatizo lolote!Hapa bongo hatuna uraia pacha kwa hiyo ukichukua uraia wa Marekani au nchi yoyote ile, automatically unakuwa umeukana uraia wa Tanzania.
Hivyo kama wewe si raia wa Tanzania utakuwa huna uwezo wa kumiliki ardhi (nyumba, mashamba, kiwanja n.k) ISIPOKUWA utaweza miliki kama muwekezaji tu. Yaani hiyo ardhi itakuwa inamilikiwa na TIC na wewe unakuwa kama mpangaji tu.
Kwa kumalizia huyo ndugu yako unayemuita Mtanzania raia wa Marekani hata weza kurithi hati miliki za mirathi yenye uhusiano na ardhi. Ila atapata mkwanja utokanao na kuuzwa kwa mali za mirathi ihusuyo ardhi. Period.
Namfahamu jamaa mmoja yuko Canada,sehemu ya urithi wake ilikua katika nyumba, aliirithi na kubadilisha Hati kwa jina lake, kaipangasha na mwanasheria wake anasimamia.Nawafahamu wengi sana, tena pasipo kificho chochote wamerithi mali za wazazi wao,wanamiliki ardhi majengo nk! Ni sheria ya vitabuni tu! Nawafahamu vigogo wengi waliofariki na watoto wao wakarithi sehemu za urithi wao pasipo tatizo lolote!
Wamerithi wengi ndugu yangu,siwezi kukupa orodha,Tanzania yetu ina sheria nyingi danganya toto! Watunga sheria wetu, na vigogo walioko Madarakani na wana watoto wao nje, unadhani hawataki watoto wao wapate matunda ya jasho lao kisa wako nje?Sio katika ardhi..hawezi kurithi mali ambayo inahusisha ardhi kama sio mtanzania.
Mentojo,uko Tanzania? Mojawapo ya kazi yangu katika shirika nililokuwa nikifanya kazi ilikuwa kuwatafutia nyumba za kupanga expatriates, nilikutana na watoto wa vigogo na watanzania wengi wenye nyumba Ada Estates, Mikocheni B, Upanga Masaki huku wakiwa ni raia wa nje, Sheria hiyo unayoisema ni butu,ikitekelezwa itawaumiza hao hao wapishaji.Sio katika ardhi..hawezi kurithi mali ambayo inahusisha ardhi kama sio mtanzania.
Miaka ya nyuma kabisa nilikutana na kisa hiki,Expatriate toka US alikutana na dada was kihindi ambaye ni real estate agent, akamwambia atamtafutia nyumba Oyster Bay ya kupanga, alichofanya dada huyo alienda serikali akahonga TBA akapangishwa hiyo nyumba, naye akaja kumpangisha huyo mzungu, ni kipindi hata Mkapa hajauza nyumba za serikali. Mchezo huo umefanyika sana,watu kama hao wana guts ya kumnyan'ganya Mtanzania wa kuzaliwa kisa kachukua uraia nje?Mentojo,uko Tanzania? Mojawapo ya kazi yangu katika shirika nililokuwa nikifanya kazi ilikuwa kuwatafutia nyumba za kupanga expatriates, nilikutana na watoto wa vigogo na watanzania wengi wenye nyumba Ada Estates, Mikocheni B, Upanga Masaki huku wakiwa ni raia wa nje, Sheria hiyo unayoisema ni butu,ikitekelezwa itawaumiza hao hao wapishaji.
Nadhani wanachanganya mambo, sipotezi urithi wangu kwa kubadili uraia, narisishwa mali za mzazi wangu kisheria za mirathi,mambo ya sheria za umilikaji wa ardhi ni jambo jingine,na kuna njia nyingi za kui bypass sheria hiyo kisheria...Kwani mimi mwenye mali hata nikiamua kuachia mali zangu mizimu au taasisi yoyote nani wa kunikataza ?
Umepotosha mkuu ama umejielekeza vibaya.Hapa bongo hatuna uraia pacha kwa hiyo ukichukua uraia wa Marekani au nchi yoyote ile, automatically unakuwa umeukana uraia wa Tanzania.
Hivyo kama wewe si raia wa Tanzania utakuwa huna uwezo wa kumiliki ardhi (nyumba, mashamba, kiwanja n.k) ISIPOKUWA utaweza miliki kama muwekezaji tu. Yaani hiyo ardhi itakuwa inamilikiwa na TIC na wewe unakuwa kama mpangaji tu.
Kwa kumalizia huyo ndugu yako unayemuita Mtanzania raia wa Marekani hata weza kurithi hati miliki za mirathi yenye uhusiano na ardhi. Ila atapata mkwanja utokanao na kuuzwa kwa mali za mirathi ihusuyo ardhi. Period.
Inawezekana kabisi mkuu na hii ndio njia PEKEE ambayo mtu asiye raia wa Tanzania atakua na uwezo wa kumiliki ardhi nchini. Ni kwa kupitia URITHI PEKEE mbali na hivyo apitie njia ya uwekezaji.Mtanzania aliyeko Marekani na ni raia wa kule anaweza kuja kuridhi mali au viwanja vya baba yake aliyeko Tanzania?
Hii imekaaje kisheria?
Bexb inawekana na inafanyika na serikali inajua linafanyika, ndio Maana according to Rais Samia alisema vitambulisho maalumu vitawapa hadhi ya kumiliki ardhi,kwa kuwa wanajua linafanyika.Inawezekana kabisi mkuu na hii ndio njia PEKEE ambayo mtu asiye raia wa Tanzania atakua na uwezo wa kumiliki ardhi nchini. Ni kwa kupitia URITHI PEKEE mbali na hivyo apitie njia ya uwekezaji.
Na aliisha ondolewa pale ardhi...Mleta mada ni mmakonde au mbena manga!
Swali gani hili Mkuu? Tumia utashi tu wa kawaida.
Hapa bongo hatuna uraia pacha kwa hiyo ukichukua uraia wa Marekani au nchi yoyote ile, automatically unakuwa umeukana uraia wa Tanzania.
Hivyo kama wewe si raia wa Tanzania utakuwa huna uwezo wa kumiliki ardhi (nyumba, mashamba, kiwanja n.k) ISIPOKUWA utaweza miliki kama muwekezaji tu. Yaani hiyo ardhi itakuwa inamilikiwa na TIC na wewe unakuwa kama mpangaji tu.
Kwa kumalizia huyo ndugu yako unayemuita Mtanzania raia wa Marekani hata weza kurithi hati miliki za mirathi yenye uhusiano na ardhi. Ila atapata mkwanja utokanao na kuuzwa kwa mali za mirathi ihusuyo ardhi. Period.