Mtanzania Simbu, ashika nafasi ya 5 mbio za Marathon Uingereza, Mkenya aongoza

Mtanzania Simbu, ashika nafasi ya 5 mbio za Marathon Uingereza, Mkenya aongoza

Jamani amejitahidi sana. Kuna mmoja alishinda Marathon hakukuwa hata na maofisa wa ubalozi kumpongeza wala mtu wa kumwambia kuwa ameshinda, jamaa amevuka utepe bado anakimbia, mpaka waandishi wa habari wakasema mwambieni ameshinda asikimbie tena, ilisikitisha sana.
 
This guy needs support, atatuletea fedha za kigeni nyingi sana,

Wizara husika imtafutie wadhamini, yaani anatakiwa waze kufukuza upepo 24/7.
yaani awekwe kwenye kambi ya ukweli, awe ni full kufukuza upepo tu hamna kingine, mpaka atuletee gold medal 3
Multichoice Tz ndo wanaom support sasa hivi (wanamdhamini).
 
kwani yeye ni faru john au faru fausta hadi atuletee fedha za kigeni
Mwanawane kumbe hujui faida ya kukimbia kwa nchi ehhh?

kila ushindi means anapata hela na kwa bongo means hela ya kigeni inaingia maana ni lazima aje kuitumia nyumbani (unless aishie kuitanulia paris) na kila endorsemenrt ni fursa kwake na kwa nchi pia (mahela yanamiminika tu)

akijenga nyumba, akilima,akikaa hotelini hela zoote hizo zitakuwa zimrtoka nje ya bongo na kuingia ndani
 
Nafasi zote tatu zingechukuliwa na waKenya tu. maana wao ndio waliobobea kwa mchezo huu
 
This guy needs support, atatuletea fedha za kigeni nyingi sana,

Wizara husika imtafutie wadhamini, yaani anatakiwa waze kufukuza upepo 24/7.
yaani awekwe kwenye kambi ya ukweli, awe ni full kufukuza upepo tu hamna kingine, mpaka atuletee gold medal 3
Nadhan Dstv wanamdhamin
 
kule kwa ma.zuzu wananyanganyana point tu. bora kushabikia riadha kuliko vile vioja vya TFF.
 
Back
Top Bottom