Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Mkuu unarudi lini sasa?Mimi nipo Ujerumani ninakubaliana na wewe lakini kwa asilimia 50. Ni vizuri kuja nje na ni vizuri zaidi kama umekuja kusoma na kufanya kazi. Lakini ushauri wangu ni kuwa usibweteke ukafocus kwenye kuhamia nje moja kwa moja. Fanya kazi, save hela then rudi nyumbani. Exposure ulioipata huku itakusaidia sana nyumbani, kuna watu wana miaka ishirini Ujerumani lakini hawana nyumba wala investement yoyote. Yaani mtu anaona aibu kurudi nyumbani. Lakini waliorudi nyumbani wamepiga hatua kubwa sana. Nje ukikaa sana ufanye kazi miaka mitano maximum excluding miaka ya kusoma.
Au usharudi?
Wengi mnao semaga hivi, Hamjawahi kurudi...😄😄
Kama wengi waliorudi nyumbani wamesha piga hatua kubwa sana, Mbona wewe Hurudi?