Mtanzania wa kwanza ndani ya jarida la playboy marekani


.
.
Kwa jarida hili ndani inaonekana, kuna Picha za utupu ndo mana nilitaka nishangae, tazama nje vizuri
 
Kuna watoto wazuri wameumbwa
 


Mkuu unaCopy sana kwenye Blog za kibongo sio vibaya ila uwe una kautafiti maana hapa umetudanganya kweupe kabisa...

Halafu na hii style ya mademu kupiga picha na kubinua midomo kama MBUNI sijui imekaaje naona karibia kila m/Mke au ndio Swaga?
 
Na wewe unatia aibu!kusapoti pumba!ooppss nimesahau ka we pia muuza sura ��

lazima ukubali kila mtu na starehe yake ata kama uipendi mimi binafsi sipendi kuona watu wanavuta masigara,bangi,mirungi etc lakin kuna watu wanapenda.

na mimi ninavyopenda kuangalia movie za nigeria sana kuna watu hawapendi ,mkuu ndio dunia ilivyo usijali
 
Playboy ni mtandao wa ngono pornsite, nasty, nasty photos erotic images,uchafu mtupu
 
WADAU hawana huruma hata kidogo.

Muhurumieni mwenzenu
 
Kwa kawaida Playboy huwa hailipi anaye tokea kwenye magazine yao kama vile wasivyo lipwa wasanii wanao perform kwenye Awards shows na Super Bowl
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…