GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 161
HAKUNA NIKICHUKIACHO KAMA COPY AND PASTE.Hapa umesema
Sasa ndo maana thread za mahusiano zinaonekana haziko serious kabisa.
Kuna mwingine anaitwa Pape naye wale wale!
yaleyale ya ZE UTAMU yanakuja JF.
kuna haja ya ze utamu irudi kwakweli, lolz.