Mtasema tu na mtasema maneno yote kwa hii Yanga

samakinchanga

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2014
Posts
2,024
Reaction score
1,233
Huu uzi uwe maalum kwa wale wote wanaoidiss klabu ya Yanga na sasa waonapoona mafanikio watasema yote yaani wataukubali mziki mnene.

Jamaa wakifunga goli hata 5 wanakuja golini kwako kama nyuki yaani kifupi hawaridhiki sijui wamekuwa kama mbwa mwitu wakali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…