samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
Huu uzi uwe maalum kwa wale wote wanaoidiss klabu ya Yanga na sasa waonapoona mafanikio watasema yote yaani wataukubali mziki mnene.
Jamaa wakifunga goli hata 5 wanakuja golini kwako kama nyuki yaani kifupi hawaridhiki sijui wamekuwa kama mbwa mwitu wakali.
Jamaa wakifunga goli hata 5 wanakuja golini kwako kama nyuki yaani kifupi hawaridhiki sijui wamekuwa kama mbwa mwitu wakali.