Mtathmini mpenzi wako, anafaa kuwa mke/mme?

Mtathmini mpenzi wako, anafaa kuwa mke/mme?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Kwa haraka haraka, muonekano wa mtu kimavazi, kimiondoko, kimaongezi, na alivyosuka kichwani; humtambulisha huyu ni mtu wa namna gani, na kupitia maeneo hayo unaweza pia kujua tabia ya muhusika.

Kwa hiyo kama wewe ni mwanaume na unatafuta mke, kwa haraka haraka anza na mavazi; kama anavaa vimini, vipedo, suruali za kubana, katoboa pua huyo hafai kuwa mke, pale pita na utembee; kwa sababu maisha ya ndoa si kupiga pushapu tu, ina mambo mengi zaidi.

Hivyo hivyo kwa wanawake ukiona mwanaume anatembea anajikisa, anajilamba lamba, anavaa vibukta vifupi, anajipendekeza pendekeza, na aongei kama mwanaume mwenye mamlaka; huyo piga chini ata kama ana hela, hakuna ramani hapo.​

boss.jpg
 
Vipi kuhusu undercover bad girls????
Kunawuga na post wall wana act like they descended from heaven!

Tutawajuaje mkuu?
Kwa haraka haraka, muonekano wa mtu kimavazi, kimiondoko, kimaongezi, na alivyosuka kichwani; humtambulisha huyu ni mtu wa namna gani, na kupitia maeneo hayo unaweza pia kujua tabia ya muhusika.

Kwa hiyo kama wewe ni mwanaume na unatafuta mke, kwa haraka haraka anza na mavazi; kama anavaa vimini, vipedo, suruali za kubana, katoboa pua huyo hafai kuwa mke, pale pita na utembee; kwa sababu maisha ya ndoa si kupiga pushapu tu, ina mambo mengi zaidi.

Hivyo hivyo kwa wanawake ukiona mwanaume anatembea anajikisa, anajilamba lamba, anavaa vibukta vifupi, anajipendekeza pendekeza, na aongei kama mwanaume mwenye mamlaka; huyo piga chini ata kama ana hela, hakuna ramani hapo.​

View attachment 2721442
 
Mwenye malalamiko ndio hafai kabisa, ni pasua kichwa
Nimetoka kufuta namba za pisi moja hapa. Inataka mda wote mchat tu, na akituma text haraka ijibiwe.

Text zenyewe hazina flow, utashangaa katuma text inasema, "Mambo!" Ukijibu atatuma tena "Niambie!".. Hapo ukikaa kimya au ukimwambia upo bize linakuja gazeti la sms za malalamiko!!! Arghhh...
 
Nimetoka kufuta namba za pisi moja hapa. Inataka mda wote mchat tu, na akituma text haraka ijibiwe.

Text zenyewe hazina flow, utashangaa katuma text inasema, "Mambo!" Ukijibu atatuma tena "Niambie!".. Hapo ukikaa kimya au ukimwambia upo bize linakuja gazeti la sms za malalamiko!!! Arghhh...
Mungu atusaidie kwa kweli
 
Back
Top Bottom