To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Hivi upogo seriously? 🤣🤣🤣sisi tunaopenda walio tuzidi umri ndo tunateseka zaidi😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi upogo seriously? 🤣🤣🤣sisi tunaopenda walio tuzidi umri ndo tunateseka zaidi😅
serious kabisa😅Hivi upogo seriously? 🤣🤣🤣
Hujambo?sisi tunaopenda walio tuzidi umri ndo tunateseka zaidi😅
ntafutie mke ili idumu zaidi😅 nakataliwa tu na kila mtuHujambo?
Naona vicheko vyako tu.Hiyo furaha na idumu
🤭serious kabisa😅
Hakika mkuu. Eti unajisifu una manzi mkitoka outing anavaa nguo za mitego, bro huyo havai kwa ajili yako anavaa kuvuta attention za wanaume wengine
😍😍😍😍😍 Karibu sana cute😁😁😁
Wee ndo mana nakupenda.
Hutakufa kwa magonjwa yatokanayo na stress.
Mi mwenzio mshamba.
Nikulia😁.
Sili😁.
Siogi😁.
Ukiingia muamala wa hela nafyonza kisa nilidhani ni sms yake kumbe ni sms ya pesa tu😁.
Udumu sana miss To yeye
yaani unampa binti mimba ili umkomoe?? we mzee kumbe falaUko sahihi; kuna mmoja alinisumbua kweli, kuja kufuatilia alikuwa ametembea na msanii fulani, ila sikujali nikajua ni maisha tu.
Nilikuwa nikienda naye club, analazimisha avae kaptula fupi ya kuonyesha maungo yake, mpaka tukawa tunakorofishana.
kuna siku tuliingia kwenye shoo ya msanii fulani, ghafla nikamuona ameshabadilisha nguo ukumbini, na zile alizokuwa nazo amewapatia mabaunsa wamtunzie.
Nilichofanya, ilibidi nitumie mbinu za kibaharia, nikapandikiza zygote; sasa dogo ana miaka 2, mrembo sasa ndio amekuwa king'ang'anizi wa kuniomba tuonane kwa ajili ya shoo.
Kama una watoto naye watatu wanne hivi, mpatie uhuru wa kumiliki Asset zako; hiyo ndio faraja kwakeNishampanga, nataka nikachekeshe kwao, naenda kumchumbia upya... Ubweche tunaula upya..
Piga chini huyoNimetoka kufuta namba za pisi moja hapa. Inataka mda wote mchat tu, na akituma text haraka ijibiwe.
Text zenyewe hazina flow, utashangaa katuma text inasema, "Mambo!" Ukijibu atatuma tena "Niambie!".. Hapo ukikaa kimya au ukimwambia upo bize linakuja gazeti la sms za malalamiko!!! Arghhh...
Chukua chuma hichoHujambo?
Naona vicheko vyako tu.Hiyo furaha na idumu
Nilichofanya, ilibidi nitumie mbinu za kibaharia, nikapandikiza zygote; sasa dogo ana miaka 2, mrembo sasa ndio amekuwa king'ang'anizi wa kuniomba tuonane kwa ajili ya shoo.
Nampa brand ya Equation xyaani unampa binti mimba ili umkomoe?? we mzee kumbe fala
au sijaelewa??
unazingua babu, sema dah, kila mtu na maisha yakeNampa brand ya Equation x
Sukuma ndani kabla wachawi hawajaharibu mamboWangu anakidhi vigezo vyote
Watoto ni faraja, au we bado unatafuta wamama wakukulea 😀unazingua babu, sema dah, kila mtu na maisha yake
baki na mkeo unaharibu vibinti kwa nini😅Watoto ni faraja, au we bado unatafuta wamama wakukulea 😀
Huwa nashangaa sana, wengine wamewekeza mamilioni kwa wapenzi wao; wanakuja kuachana kwa fedheha ata mtoto wa kusingiziwa hakuna; hapo kuna tatizo. 'Be a real man'Hapo umemmaliza kabisa. Hawa viumbe ni kuishi nao kwa akili sana
Sikuzote wanamtawala mwanamume ambaye dhaifu
Mwanamume ambaye mwanamke hawezi kumtawala ndiye mwanamume ambaye sikuzote mwanamke hana ujanja kwake
Be that man
Yeye hana shida, anapambana na mambo ya msingi ya huko uzeenibaki na mkeo unaharibu vibinti kwa nini😅