Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kutoka ukurasa wake wa facebook,Mtatiro ameandika kuwa kuanzia Jumatatu atakusanya saini za wajumbe wa bunge la katiba wanaopinga kuongezwa kwa posho na kisha kumwandikia barua Raisi Kikwete akimuomba asiafiki nyongeza hiyo.Mh.Mtatiro amesema zoezi hilo atakuwa analifanya kila muda wa mapumziko.Amesema siku ya Jumatano ndio ataunganisha sahihi hizo pamoja na hiyo barua na kuiwakilisha kwa mh.Raisi ambae ndio mwenye mamlaka ya kuongeza au kutoongeza hiyo posho.
Mh.Mtatiro ameongeza kuwa yuko teyari kutukanwa,kukejeliwa na hata kupewa majina mbali mbali ikiwa ni pamoja na kuambiwa anatafuta umaarufu.
Mtatiro amesema kuwa ni bora mara mia moja akatukanwa kuliko kujaza matumbo yao huku mwalimu akilipwa sh 300,000 kwa mwezi!
MY TAKE:
Anastahili pongezi kwa uamuzi huu.
Mh.Mtatiro ameongeza kuwa yuko teyari kutukanwa,kukejeliwa na hata kupewa majina mbali mbali ikiwa ni pamoja na kuambiwa anatafuta umaarufu.
Mtatiro amesema kuwa ni bora mara mia moja akatukanwa kuliko kujaza matumbo yao huku mwalimu akilipwa sh 300,000 kwa mwezi!
MY TAKE:
Anastahili pongezi kwa uamuzi huu.