Anatafuta sifa
Wakumsifia tayari tupo. Heri nimsifie yule anayetafuta sifa kwa maslahi ya wengi kuliko yule afanyaye hivyo kwa maslahi ya wachache.
Atatusaidia kujua nani ni nani.
Anatafuta sifa
Anatafuta sifa
Wakumsifia tayari tupo. Heri nimsifie yule anayetafuta sifa kwa maslahi ya wengi kuliko yule afanyaye hivyo kwa maslahi ya wachache.
Wengi akina nani? Au we mkewe unamsaidia kupata kiki?
Ni vizuri kuwaza kwa kutumia akili za kichwani kabla hujaamua kuzungumza. mkewe pia ni mtu na akifanya hivyo ni jambo jema zaidi kuliko wale wanaowatuukuza wanaume wanamziki wa marekani kama usher raymond kwa kuweka picha zao kwenye profile zao kana kwamba wana ubia nao wa mambo yasio na maadili kwa taifa la tanzania.