Mtatiro: Kuna njama zinapangwa ili wajumbe wa bunge la Katiba waongezewe Posho

Mtamile

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
2,838
Reaction score
1,274
Kupitia ukurasa wake facebook Mtatiro amesema hivi

SOURCE: Mtatiro Facebook
 
Kwani wakiongeza utaacha kuichukua?
 
Hiyo siyo NJAMA, wenyewe wanasema huo ndiyo mpango mzima. Watu wamekwenda kupiga KURA na kubadili matakwa ya wananchi, halafu wanataka mavumba ya kumwaga.
 
Naomba kwenye katiba hii wananchi tupewe nguvu kikatiba ya kujichukulia sheria mkononi pale tunapoona watawala wanatupuuza, na kwa kuanzia ni kwamba once watanyofoa mawazo ya wananchi (ambao ni wengi) kwenye rasmu hii waliokwenda kuiboresha wakirudi mtaani turuhusiwe kuwachapa bakora!
 
Kenge anapenda sana mayai na akiyakuta sehemu yuko tayari ashindwe kutembea lakini ayameze yote. Lakini ukimsogelea uwe makini anajua kujilinda sana kwa kutumia mkia wake. Kazi kwenu Watz.
 

mkuu unataka kuwacharaza viboko kama vya shuleni kabisaa? kama ndo hivyo mimi nitamshughulikia mbunge wangu Ngeleja
 
mkuu unataka kuwacharaza viboko kama vya shuleni kabisaa? kama ndo hivyo mimi nitamshughulikia mbunge wangu Ngeleja

Yes mimi nipo namsikiliza bwana Idd Azan kila siku ngoja ateleze kisha arudi kitaa, labda aishie kwao huko Magomeni ila kinondoni asikatize....
 
Ni kigezo gani mtatizo ametumia kuridhika na laki tatu? mbona hajakataa kiasi hicho kama alivyofanya ZITTO kama kweli ana uchungu na nchi hii?
 
matatiro, usijali bro, nyongeza ni sehemu ya rushwa ya sisiem ili agenda zake zipite.

pili kama nchi ikichukuliwa na upinzani masisiem watakuwa wafanya besara wakubwa kwani njama za kuua au kufilisi waliopo kwa kutumia ile mashine imeshasukwa. Kila mwenye mashine anatoza VAT. Bidhaa moja vat hata mara 4 sawa tu
 
Nimemchukia tu mtatiro kwa kutaja jina la chama changu makini. Nawajua wapenda posho kuwa ni akina Lema, Masawe, Lyimo nk wote hao wanajulikana ni wa chama gani
 
vizuri, tunasubiri kuona hili,labda safari hii hatua zitachukuliwa na wananchi!
 
Mkuu, mwambie akatae hiyo laki tatu kwani laki moja tu inamtosha.
 
Mambo mengi ya ajabu ajabu yamebaki kutokea Tannganyika pekee! Wanaona Watanzania watawafanya nini? Kama kuiba wanaiba mchana kweupe hakuna wakuchukua hatua, kama kuua wako tayari tena mchana kweupe nani atasimamia haki Tanganyika ilihali wananji pamoja na hao wanaoijifanya ni wenye nuru(wasomi) akili zao zimejaa giza. Hata wakipewa milioni kwa siku hakuna atakaye thubutu kuiacha wala atakayelamika wala kuchukua hatua. Hii ni nchi ya Mazombi hata awe nani bado ni zombie tu.
 
.............Laki tatu tunazopata zinatosha kila kitu na CHENJI inabaki, zinatosha
kula, kulala, kumpa dereva na kuishi Dodoma................

Yaani nimecheka kweli hapo. Huyu huyu Mtatiro nimjuaye ameenda na dereva huko? Aseme ukweli bana. Yeye ameenda na nyumba ndogo na kila mtu aliyepo huko anajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…