Mtatiro: Kuna njama zinapangwa ili wajumbe wa bunge la Katiba waongezewe Posho

Mtatiro: Kuna njama zinapangwa ili wajumbe wa bunge la Katiba waongezewe Posho

ambaye ni Mzalendo naamuunge mkono zitto,ispokuwa wajumbe ambao si wabunge
 
Mambo mengi ya ajabu ajabu yamebaki kutokea Tannganyika pekee! Wanaona Watanzania watawafanya nini? Kama kuiba wanaiba mchana kweupe hakuna wakuchukua hatua, kama kuua wako tayari tena mchana kweupe nani atasimamia haki Tanganyika ilihali wananji pamoja na hao wanaoijifanya ni wenye nuru(wasomi) akili zao zimejaa giza. Hata wakipewa milioni kwa siku hakuna atakaye thubutu kuiacha wala atakayelamika wala kuchukua hatua. Hii ni nchi ya Mazombi hata awe nani bado ni zombie tu.
 
Yes mimi nipo namsikiliza bwana Idd Azan kila siku ngoja ateleze kisha arudi kitaa, labda aishie kwao huko Magomeni ila kinondoni asikatize....

Afadhari una uwezo wa kumpata hata mbunge wako mimi huyu Ngeleja hata akitoka Dodoma anaishia Kimara huku Sengerema unadhani nitampataje
 
Aache mbwembwe achukue hela hiyo. Hamna chochote kitakachobadilika aidha wakiongezewa au kupunguziwa hizo posho

Maisha ni hayahaya, mimi kwanza wengine baadaye
 
Najua tu kuwa kuna mijumbe mingine imefuata posho tu
 
.............Laki tatu tunazopata zinatosha kila kitu na CHENJI inabaki, zinatosha
kula, kulala, kumpa dereva na kuishi Dodoma................

Yaani nimecheka kweli hapo. Huyu huyu Mtatiro nimjuaye ameenda na dereva huko? Aseme ukweli bana. Yeye ameenda na nyumba ndogo na kila mtu aliyepo huko anajua


Simamia hoja bwana/Bibi mkubwa...acha blah blah!
 
Hivi kwenye rasimu ya katiba kulikuwa na kipengere kinachomtia hatian kiongoz alovurunda mara baada ya kumaliza muhula wake?
 
Ni kigezo gani mtatizo ametumia kuridhika na laki tatu? mbona hajakataa kiasi hicho kama alivyofanya ZITTO kama kweli ana uchungu na nchi hii?

wewe wamfuata zito,yeye alikataa posho akijua anapewa fedha na maccm ya kukisaliti chama chake.
 
Mkuu Mtatiro,amesema kweli lakini wananchi Watanzania hawawezi kufanya kama Kenya hata ikipitishwa posho ya Milioni moja kwa siku kwani unaweza kuishia kujeruhiwa na mabomu na kubambikwa kesi ya ugaidi wa kutaka kulipua bunge tukufu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
unajitafutia umaarufu kwenywe posho, hama kwanza cuf maana haikufai, njoo kwa makamanda
Kwahiyo unataka Watanzania wote wawe Chadema? haya Shibuda mnaye huko Chadema ana uthubutu wa kuongea haya kwa njaa aliyonayo?
 
Ni kigezo gani mtatizo ametumia kuridhika na laki tatu? mbona hajakataa kiasi hicho kama alivyofanya ZITTO kama kweli ana uchungu na nchi hii?

Aliyekwambia Zitto hachukui posho ni nani, hakuna mbunge asiyechukua posho, zitto ni mnafiki tu, na msaliti mkubwa, huyo Mtatilu naye ni mnafiki tu hana lolote, kwanza nafasi ya vyama kutoa wajumbe zilikuwa mbili, imekuaje yeye na Lipumba waende wote, na wote ni wa bara, anafikili tumesahau kuwa yeye na ccm ni kitu kimoja, aache unafiki.
 
Aliyekwambia Zitto hachukui posho ni nani, hakuna mbunge asiyechukua posho, zitto ni mnafiki tu, na msaliti mkubwa, huyo Mtatilu naye ni mnafiki tu hana lolote, kwanza nafasi ya vyama kutoa wajumbe zilikuwa mbili, imekuaje yeye na Lipumba waende wote, na wote ni wa bara, anafikili tumesahau kuwa yeye na ccm ni kitu kimoja, aache unafiki.
Mpunguze kuropoka kama huna uelewa na kile unachoandika, Mtatiro hakwenda bungeni kwa tiketi ya Cuf, wacha kukurupuka.
 
Kwani wakiongeza utaacha kuichukua?

Akili za kushikiwa bana,na mtatiro ameeleza hilo wabongo hata tufanyejwe utaona reaction zetu ndiyo kama zako,halafu babaako anajisifu mtaani kapeleka mtoto shule.
 
Mbona vituko wajumbe baada ya kukomaa kufanya kazi iliyowapeleka wanatafuta media attention tena, Mtatiro na wenzako fanyeni kazi iliyowapeleka huko
 
mkuu unataka kuwacharaza viboko kama vya shuleni kabisaa? kama ndo hivyo mimi nitamshughulikia mbunge wangu Ngeleja

Hivi yule DC aliyewacharanga waalimu viboko hayumo kwenye hili bunge....Anahitajika sana
 
Na mkiandamana basi wanawageukia walalahoi wenzetu (POLISI) watupige mabomu na kumwaga maji ya kuwasha mwiliniii!!Hahaa hahaaa Bongo bhana alafu wenyewe hata senti tano haiongezwi lakini na wenyewe wananruhusiwa kuwaibia na kuwadhulumu wananchi walalahoi wenzao!! Hasira zisipoisha watawatafuta kina CDM wawatandikee kufidia ile posho waliopewa wabunge na mawaziri wa Chama chetu!!
 
Ni kigezo gani mtatizo ametumia kuridhika na laki tatu? mbona hajakataa kiasi hicho kama alivyofanya ZITTO kama kweli ana uchungu na nchi hii?

zitto mbunge wa mahakama kakataa lini posho hii ya laki tatu?hata ile ya sitting alikuwa anaikataa kumbe alikuwa anachukua za tiss kwenye briefcase nyekundu na rushwa za mashirika ya umma,usitutajie msaliti humu.
 
Kwahiyo unataka Watanzania wote wawe Chadema? haya Shibuda mnaye huko Chadema ana uthubutu wa kuongea haya kwa njaa aliyonayo?

Siyo Shibuda tuu hata Godbless J Lema. hawezi kukataa posho hata ingekuwa milioni moja
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom