ila kweli nmeamini beuty belongs to eyes of the beholder...Huyo mbona sura ya kawaida mamekup ndo yamemharibu kabisa, kope zimetaka kukutana.
Anazidiwa sura hata na Jokate, wema, lulu nk. Nk.
Na hao niliowataja sio kwamba ni visuuuu, sema tu ni maarufu.
Ukija mtaani watoto ni wakali kuliko hata hao masuperstar