Mtazamo: Anguko la CCM litaanzia Zanzibar

Mtazamo: Anguko la CCM litaanzia Zanzibar

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Kwa mtazamo wangu, Raia wa Zanzibar wako more informed kuliko wa Tanganyika.

Uthibitisho ni wakati Zanzibar ni nchi ya Pili afrika kuwa na Television miaka ya sabini sisi tumeanza mambo hayo tena kwa tabu sana miaka ya 90. Exposure yao iko huu kuliko sisi. Information is power.

Sitegemei CCM kuangushwa Bara kabla haijaangushwa na kupokonywa dola visiwani. Siku mkiyaona hayo wapinzani changamkeni na kuviinua vichwa vyenu maana tamaa Yenu ya muda mrefu kuona mbuyu umeanguka itakuwa dhahiri.

Nini kifanyike: Nguvu kubwa ielekezwe Zanzibar huku nguvu ya huku barua ikiwa kwa ajili wa kuipruni tu CCM na kuifanya ichukiwe na wananchi kwa kuona madhara ya ywnyewe kuendelea kuwepo.

Kiukweli bila kuzuga maendeleo msawazo hapa nchini yatakuja siku CCM itakapo tawanywa na kufutika kama KANU. Kuna mambo ambayo kamwe hayatabadilika maana ili yabadilike inabidi CCM isiwepo.

Wapinzani nimewavujishia desa hilo nikiwa hapa shambani kwangu nabomoa banda la mbuzi. Wazo likanijia ghafla kama mafunuo ya kinabii.
 
Jipe moyo bro kamwe hicho kitu unachotegemea labda kitokee 2095 Hapo mimi na wewe tutakuwa tushakuwa mbolea
Wewe unafurahia chama kimoja kutawala nchi kwa miaka 60!? Utakuwa mtu wa ajabu na ndio maana waafrika tunashangaa kwanini hatuendelei na wewe unashangaa pia? Acha ujinga wa kushabikia ccm kwasababu tu unafaidika kibinafsi, kuna mamilioni wanateseka kwasababu ya mfumo wa ccm. Ujinga ni kitu hatari sana.
 
Jipe moyo bro kamwe hicho kitu unachotegemea labda kitokee 2095 Hapo mimi na wewe tutakuwa tushakuwa mbolea
Trend inaonyesha hakuna chama tawala duniani, au dikteta au kapuni itakayorndelea kushika usukani bila kutikiswa kwa ushindani Mkali. CCM haina miaka 15 mbele. Isipobomolewa itajibomoa. Hiki ninachoandika ni sayansi sio siasa.

Wapinzani nimewapa tip ya kutobolea
 
120219729_1238068133217608_9129575486335664148_n.jpg
 
Vibaraka wa Jamshed hakika hamtashinda
 
CCM wataondoka mapema kama tutapata wapinzani wa kweli na sio hawa wanaojipendekeza na kutegemea nguvu kutoka nje.
Upinzani wa kweli utatoka humu ndani maana kuna kizazi kilikoseshwa elimu kwa makusudi ila ni jambo la muda tu.
 
Kiukweli bila kuzuga maendeleo msawazo hapa nchini yatakuja siku CCM itakapo tawanywa na kufutika kama KANU. Kuna mambo ambayo kamwe hayatabadilika maana ili yabadilike inabidi CCM isiwepo.
 
Mpaka sasahivi ninavyoandika Zanzibar ambapo ndo mlango wa mabadiliko wapinzani wamebanwa mbavu hata awapumui.
 
Nikweli. Ili CCM Kuangushwa nilazima kwanza Zanzibar iangushwe.

Kwaiyo mwaka huu 2020 tukomae na Zanzibr... Alafu nchi iwekewe vikwazo kwelikweli zaidi ya vile vya Zimbabwe, wazungu watusaidiee kuwagombanisha wana CCM wao kwa wao kwa kuhakikisha wanazuia mali zao na mapesa yao waloyaficha nje . 2025 tumalizie huku .

Kwa ufupi Kuwaondosha CCM bara niama wavurugane wao kwa wao kwanza
 
Kiukweli bila kuzuga maendeleo msawazo hapa nchini yatakuja siku CCM itakapo tawanywa na kufutika kama KANU. Kuna mambo ambayo kamwe hayatabadilika maana ili yabadilike inabidi CCM isiwepo.
Ndio maana huwa nasema ivi...CHADEMA+ ACT hawapambani na CCM tu, bali wanapambana na Polisi., Usalama wa Taifa, na taasisi nyeti nyeti

Huyu Jiwe na CCM yake ni mapambo tu[emoji23]
 
Nikweli. Ili CCM Kuangushwa nilazima kwanza Zanzibar iangushwe.

Kwaiyo mwaka huu 2020 tukomae na Zanzibr... Alafu nchi iwekewe vikwazo kwelikweli zaidi ya vile vya Zimbabwe, wazungu watusaidiee kuwagombanisha wana CCM wao kwa wao kwa kuhakikisha wanazuia mali zao na mapesa yao waloyaficha nje . 2025 tumalizie huku .

Kwa ufupi Kuwaondosha CCM bara niama wavurugane wao kwa wao kwanza
I have one billion reasons to hate CCM
 
Kuiangusha CCM ni lazima uje na sera nzuri na zinazotekelezeka kwa ufanisi zaidi ya zinazotekelezwa na CCM. Lazima uwe mpenda Tanzania kuliko CCM inavyoipenda Tanzania na kuilinda kwa gharama zote.

Huwezi kuiangusha CCM kwa lugha za kuudhi majukwaani, lugha za kilaghai majukwaani, lugha za dharau majukwaani ( yaani unawaambia watanzania wanaoishi Kilimanjaro kuwa wakati wa ukoloni madaraka yalikuwa kwa wananchi, yaani unawadharau watanzania wenzetu hivi kweli!?) na huwezi kuiangusha CCM kwa kuanzisha uzi wa 'kimdebwedo' hivi hapa JF!!!

Mtani utakuwa umenielewa, siyo!? Ha ha ha haaaa!
 
CCM haipo sasa inaondoka vipi,wananchi wanafuraha sana kuona lengo la kuwaondoa mabepari linatimia.
 
Back
Top Bottom