Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hao lazima wamejiongeza pakubwa snWakati mishahara na posho za watumishi wa umma zikiongezwa, akili yangu inaniambia wakati wowote sasa au baade kidogo, tutanza kuona au kusikia habari ya wabunge kuogezewa posho na mishahara..
Hoja inaweza kuanzishwa na wabunge wenyewe au serikali yenyewe ndio ikfanya hivyo na hii itakuwa ni wakati wowote kabla ya 2025(probably katika Bajeti ijayo).
Muda utathibitisha.
Jamaa watalipana pakubwa snWenye nacho hujiongezeaa
Kwani kuna ubaya?Wakati mishahara na posho za watumishi wa umma zikiongezwa, akili yangu inaniambia wakati wowote sasa au baade kidogo, tutanza kuona au kusikia habari ya wabunge kuogezewa posho na mishahara..
Hoja inaweza kuanzishwa na wabunge wenyewe au serikali yenyewe ndio ikfanya hivyo na hii itakuwa ni wakati wowote kabla ya 2025(probably katika Bajeti ijayo).
Muda utathibitisha.
Tunakopa kulipa posho kumbeWakati mishahara na posho za watumishi wa umma zikiongezwa, akili yangu inaniambia wakati wowote sasa au baade kidogo, tutanza kuona au kusikia habari ya wabunge kuogezewa posho na mishahara..
Hoja inaweza kuanzishwa na wabunge wenyewe au serikali yenyewe ndio ikfanya hivyo na hii itakuwa ni wakati wowote kabla ya 2025(probably katika Bajeti ijayo).
Muda utathibitisha.
Na ikitokea hvo....bila shaka wata thibitisha ubinafsi wao
Watasabisha inflation kubwa snMichakato ya kuongeza posho hufanywa kwa siri sana na siri hiyo hutunzwa na Wabunge wa vyama vyote
Extra duty elfu 60 yote ya nini?Tunakopa kulipa posho kumbe
Hiyo ni automatic wala si jambo la kijiuliza ama kujifanya unapiga ramli.Wakati mishahara na posho za watumishi wa umma zikiongezwa, akili yangu inaniambia wakati wowote sasa au baade kidogo, tutanza kuona au kusikia habari ya wabunge kuogezewa posho na mishahara..
Hoja inaweza kuanzishwa na wabunge wenyewe au serikali yenyewe ndio ikfanya hivyo na hii itakuwa ni wakati wowote kabla ya 2025(probably katika Bajeti ijayo).
Muda utathibitisha.
Posho zimeongezwa balaaKuhusu mshahara kuongezwa kuna surprise inakuja wengi hadi sasa wamegoma kuelewa maana.
Pia hakuna posho iliyoongezwa, muda utasema
Ya extra duty..si mbaya pia inaongeza hamasa kwa mfanyakazi.Extra duty elfu 60 yote ya nini?
ccm ni majambaziWakati mishahara na posho za watumishi wa umma zikiongezwa, akili yangu inaniambia wakati wowote sasa au baade kidogo, tutanza kuona au kusikia habari ya wabunge kuogezewa posho na mishahara..
Hoja inaweza kuanzishwa na wabunge wenyewe au serikali yenyewe ndio ikfanya hivyo na hii itakuwa ni wakati wowote kabla ya 2025(probably katika Bajeti ijayo).
Muda utathibitisha.