mbegubora29
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 513
- 338
Usingizi ni bora kuliko ujumbe huu acha watu walale.Amkeni amkenii kuna ujumbe hukuu
Au labda anaota.Usingizi ni bora kuliko ujumbe huu acha watu walale.
Na support hii comment na Tani moja ya CementSio wasichana wote waliosoma chuo hawafai kuolewa na sio wasichana wote walioishia darasa la 7 au kidato cha nne wanafaa kuolewa.
Ukiona pale unapowaza kuoa na ukaona bado unatumia nadharia ambazo zinafanya "simple generalisation", basi usioe kwanza bado unatakiwa kuyaona mengi zaidi
Acha uwoga mwanamke wako mwenyewe unashindwa kumcontrol elimu haina nafasi kwenye ndoa mnyooshe ukilegea we ndio atakunyoosha kingine tafuta pesa we unapiga hesabu za kukaanga mihogo.Mada iko nyepesi kabisa vijana wakiume tukimbilieni darasa la Saba au kidato Cha nne aliyeshindwa Kwan wengi wao ndo wake sahihi ukimkuta mwenye dini...
Wewe popo kweli aiseeeAcha uwoga mwanamke wako mwenyewe unashindwa kumcontrol elimu haina nafasi kwenye ndoa mnyooshe ukilegea we ndio atakunyoosha kingine tafuta pesa we unapiga hesabu za kukaanga mihogo. We unafkiri aliruka tu toka utotoni chuo afu kwako hapa katikati ameshatumika na watu kibao wenye fedha, wahuni, walevi ndio na wewe mcha mungu ukampata kwa hiyo ana experience kibao. Ukisusa sisi tunamla tena kiustadi [emoji39][emoji39]
Hahaha hamna mkuu tunapeana uzoefuWewe popo kweli aiseee
Ha hanha. Nimekuelewa saana mkuu Nam nilichikulia Kama utan tuHahaha hamna mkuu tunapeana uzoefu
Hata mie sijamaanisha wote ila wengi wao Ni viaz ndo maana wanatumika tu na hawaelekezi Kwan nao tyr Wana gpa katka maisha!Sio kweli kua wote hawafai kuolewa japo wengi wao mindset zao wanawaza mambo makubwa.
Na wewe pia usioe ukitegemea eti uyo mkeo afanye kazi ndo unafuu wa maisha upatikane. Mzebaba muoe mtoto wa watu sio aje kupata shurba apo kwako bali aje afurahi. Tafuta pesa uwe na kipato kizuri kama ataamua kukaanga hiyo mihogo ni yeye wala sio kwamba eti wewe umeahindwa kumudu kuendesha familia ko akusaidie.