Mtazamo binafsi: Wasichana wengi waliomaliza vyuo vikuu ni mizigo na hawafai kuolewa!

Mtazamo binafsi: Wasichana wengi waliomaliza vyuo vikuu ni mizigo na hawafai kuolewa!

Mada iko nyepesi kabisa vijana wakiume tukimbilieni darasa la Saba au kidato Cha nne aliyeshindwa Kwan wengi wao ndo wake sahihi ukimkuta mwenye dini

Msichana wa chuo kikuu anaamini ndo Ni smartphone na kuweka bando tu kucheki sinema.

Wanajua out Mara zawad eeeh za kitoto kbs lkn
Hawawez hata kukaanga mihogo maana wanataka biashara za vyumba vya kukodi.

Ushaur wangu
Vijana mkubali kufa na utam wako kulko kutfta mke wa chuo kikuu utajuta ndugu,waacheni hao waolewe na elimu zao!?
Suala la kuoa ni nyeti sana na zaidi mhusika ama wahusika, tunachofanya ni kutoa ushauri tu, mengine atajua mwenyewe kwani liko kibinafsi zaidi.

Kwa kuwa hakuna kigezo kimoja cha kuoa au kutaka kuolewa kwani unaweza ukasema ni Kijiji ndo pahala sahihi lakini bado pia ukaingia mkenge, unaweza kusema asiyezaa kabla bado ukajuta, unaweza ukasema asiye na elimu bado pia ukawa umeingia Chaka, unaweza ukasema mcha Mungu, nani anamjua mcha Mungu isipokuwa Mungu pekee?

Unasema mcha Mungu kumbe ni mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo,unaweza ukasema mweusi na mrefu bado ukakuta ni jehanamu.Suala la kuoa au kuolewa ni vema ukaomba sana Mungu, kibinadamu ni ngumu hasa katika nyakati hizi ambazo wazazi au walezi hawashiriki kuwachagulia wahusika wenza kwani jamii imebadilika sana.Vijana wapo mjini wakiwa wanafanya kazi kama sio vibarua huku wazazi wapo Kijiji na hata huko kijijini watu wako "so mobile".
ZAMA HIZI KUOA NI MTIHANI MGUMU KULIKO WA HESABU.
 
Mada iko nyepesi kabisa vijana wakiume tukimbilieni darasa la Saba au kidato cha nne aliyeshindwa Kwani wengi wao ndo wake sahihi ukimkuta mwenye dini.

Msichana wa chuo kikuu anaamini ndo ni smartphone na kuweka bando tu kucheki sinema.

Wanajua out Mara zawadi eeeh za kitoto kabisa lakini hawawezi hata kukaanga mihogo maana wanataka biashara za vyumba vya kukodi.

Ushauri wangu
Vijana mkubali kufa na utamu wako kuliko kutafuta mke wa chuo kikuu utajuta ndugu, waacheni hao waolewe na elimu zao!?
Ujumbe huu ni muhimu. Achaneni na wasichana walioko vyuo vikuu na walio maliza degree. Chukueni wanaosoma au waliomaliza Cheti au diploma.
 
Ulimwengu na tabia za watu zimebadilika njia sahihi ya kuoa ni bora uishi na mtu kwanza uyajue madhaifu yake kwanza ndipo ufanye maamuzi uendelee nae au hapana.Kuliko haya ya fresh mnachukuana tu mnafunga ndoa baadae unagundua tabia haziendani hii kuharibiana vyeti vya ndoa tu maana kama nyota haziendani hata mfungie ndoa mbinguni ni ngumu kuendelea kuishi na mtu anaekuumiza KILA siku.Huwezi lazimisha mafuta yachanganyane na maji.
 
Suala la kuoa ni nyeti sana na zaidi mhusika ama wahusika, tunachofanya ni kutoa ushauri tu, mengine atajua mwenyewe kwani liko kibinafsi zaidi.
Kwa kuwa hakuna kigezo kimoja cha kuoa au kutaka kuolewa kwani unaweza ukasema ni Kijiji ndo pahala sahihi lakini bado pia ukaingia mkenge, unaweza kusema asiyezaa kabla bado ukajuta, unaweza ukasema asiye na elimu bado pia ukawa umeingia Chaka, unaweza ukasema mcha Mungu, nani anamjua mcha Mungu isipokuwa Mungu pekee?unasema mcha Mungu kumbe ni mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo,unaweza ukasema mweusi na mrefu bado ukakuta ni jehanamu.Suala la kuoa au kuolewa ni vema ukaomba sana Mungu, kibinadamu ni ngumu hasa katika nyakati hizi ambazo wazazi au walezi hawashiriki kuwachagulia wahusika wenza kwani jamii imebadilika sana.Vijana wapo mjini wakiwa wanafanya kazi kama sio vibarua huku wazazi wapo Kijiji na hata huko kijijini watu wako "so mobile".
ZAMA HIZI KUOA NI MTIHANI MGUMU KULIKO WA HESABU.
Nakubali
 
Nilivyokuwa LAIYONI nilikuwa na wazo kama lako.

Lakini baada ya kutahiriwa govi na akili nikafahamu kuwa kumbe sio lazima Elimu kubwa iathiri tabia ya Mwanamke na kumpa kiburi

Wanawake hawafanani, wapo elimu ndogo lakini ni Washirikina na Wachawi.
 
Suala la kuoa ni nyeti sana na zaidi mhusika ama wahusika, tunachofanya ni kutoa ushauri tu, mengine atajua mwenyewe kwani liko kibinafsi zaidi.
Kwa kuwa hakuna kigezo kimoja cha kuoa au kutaka kuolewa kwani unaweza ukasema ni Kijiji ndo pahala sahihi lakini bado pia ukaingia mkenge, unaweza kusema asiyezaa kabla bado ukajuta, unaweza ukasema asiye na elimu bado pia ukawa umeingia Chaka, unaweza ukasema mcha Mungu, nani anamjua mcha Mungu isipokuwa Mungu pekee?unasema mcha Mungu kumbe ni mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo,unaweza ukasema mweusi na mrefu bado ukakuta ni jehanamu.Suala la kuoa au kuolewa ni vema ukaomba sana Mungu, kibinadamu ni ngumu hasa katika nyakati hizi ambazo wazazi au walezi hawashiriki kuwachagulia wahusika wenza kwani jamii imebadilika sana.Vijana wapo mjini wakiwa wanafanya kazi kama sio vibarua huku wazazi wapo Kijiji na hata huko kijijini watu wako "so mobile".
ZAMA HIZI KUOA NI MTIHANI MGUMU KULIKO WA HESABU.

Mke/Mume mwema hutoka kwa Mungu tu baaasi . Ukiona umefika wakati wa kutaka kuoa ama kuolewa hebu muombe Mungu wako akuongoze. Achana na hisia za kibinadamu, usichague kwa kuangalia vigezo vya kibinadamu utaangukia pua. Ukiweka kwenye mindset yako kuwa mwanamke asiyesoma ni bora kuliko aliyesoma na ukaenda kuchukua aliyeishia darasa la sita B , huyo nae anaweza kukupelekesha usiamini macho yako.
 
Demu akiwa chuo anaishi gheto na mwanaume for 3,4, 5 years wewe ambaye hujawahi kuwa na demu chuo au hata kuishi na demu gheto hata miezi mitatu ndio unakuja kumuoa, khaa!!, mwingine kila mwaka anaumaliza na boy tofauti na wanapika wanapakuwa na mimba anatoa za kutosha kama 6 mpaka anamaliza.

NB: Kuhusu kuoa walimu waliohitimu chuo, hakuna mabata kama waliosomea uwalimu, takataka kabisa. ukikutana na waliopangiwa shule wa ajira mpya unatafuna na muda wote anaweza kuhifaziwa tu.
 
Base ya tabia yeyeto ya mtu msingi uanzia nyumbani kwao.Mama ukaa mda mwingi na binti hivyo huweza mvunza hekima au ujinga.
Mzazi ndie mwenye kujenga au kuibomoa ndoa ya mtoto wake maana mtoto yeyeto ni mke au mme wa mtu mbeleni hivyo urithi kile mzazi alichopanda utotoni kuhusu ndoa.
Kama familia ni ya vurugu/utulivu watoto nao watakuwa na ndoa za vurugu/utulivu japo mtu binafsi anaweza akajishape mwenyewe kama akiamua.
 
Suala la kuoa ni nyeti sana na zaidi mhusika ama wahusika, tunachofanya ni kutoa ushauri tu, mengine atajua mwenyewe kwani liko kibinafsi zaidi.
Kwa kuwa hakuna kigezo kimoja cha kuoa au kutaka kuolewa kwani unaweza ukasema ni Kijiji ndo pahala sahihi lakini bado pia ukaingia mkenge, unaweza kusema asiyezaa kabla bado ukajuta, unaweza ukasema asiye na elimu bado pia ukawa umeingia Chaka, unaweza ukasema mcha Mungu, nani anamjua mcha Mungu isipokuwa Mungu pekee?unasema mcha Mungu kumbe ni mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo,unaweza ukasema mweusi na mrefu bado ukakuta ni jehanamu.Suala la kuoa au kuolewa ni vema ukaomba sana Mungu, kibinadamu ni ngumu hasa katika nyakati hizi ambazo wazazi au walezi hawashiriki kuwachagulia wahusika wenza kwani jamii imebadilika sana.Vijana wapo mjini wakiwa wanafanya kazi kama sio vibarua huku wazazi wapo Kijiji na hata huko kijijini watu wako "so mobile".
ZAMA HIZI KUOA NI MTIHANI MGUMU KULIKO WA HESABU.
Kuoa ili upate mtu sahihi angalia malezi ya huyo mtu kwao yalikuwaje na yeye tabia zake zikoje! Mwanamke anayefaa kuwa mke hutokea kwenye mazingira bora ya malezi. Binti ambaye amelelewa na mama mwenye hekima nae hurithi hekima kadri awavyo mtu mzima.

Asiwe tu mvivu bali anayejitambua na kupenda maendeleo huku akiwa na upendo thabiti kwako na kwa ndugu zako.Hili haliitaji degree wanawake hawa wapo katika nyanja zote hata waliosoma kidogo tu wana qualities hizi.

Mwanamke anayekuhimiza kuwajibika mpate maendeleo ndio mke mzuri na akupendaye na kukuheshimu!
 
Kwahiyo tushindwe kusoma na kuwa na hizo PHDs sababu hatutakua wife materials? Aargh mkuu tuache utani tabia ya mtu hategemei sana elimu yake mtu anaweza fika chuo ila akawa mstaarabu na yule std 7 akawa na tabia mbaya ajabu. Suala la mke na mume ni kuomba tu ukutane na mtu mnayependana bila kujali elimu na exposures.

Kwanza mwenye Elimu atakusaidia baadhi vitu kisomi zaidi mfano mimi financial services ntahakikisha pesa inatumika vizuri kwenye miradi ya maendeleo yetu ya baadaye na vizazi vyetu.(long term investments), pia ntahakikisha hutumii pesa vibaya kwenye pombe huko😂😂 utakua unaenda out na rafiki zako na laki 1 tu per month ukiimaliza ni hadi mwezi mwingine aisee😀. Pia ntakua nasaidia homeworks za watoto wakati ukioa std 7 means ukirudi home from work ndiyo uje kuwafundisha madogo si mama hajui sasa😉
 
Mada iko nyepesi kabisa vijana wakiume tukimbilieni darasa la Saba au kidato cha nne aliyeshindwa Kwani wengi wao ndo wake sahihi ukimkuta mwenye dini.

Msichana wa chuo kikuu anaamini ndo ni smartphone na kuweka bando tu kucheki sinema.

Wanajua out Mara zawadi eeeh za kitoto kabisa lakini hawawezi hata kukaanga mihogo maana wanataka biashara za vyumba vya kukodi.

Ushauri wangu
Vijana mkubali kufa na utamu wako kuliko kutafuta mke wa chuo kikuu utajuta ndugu, waacheni hao waolewe na elimu zao!?
Sema level zako ni standard seven na form four leaver FULL STOP acha habari za sijui smartphone, mara zawadi sijui syo wake wazuri.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kwahiyo tushindwe kusoma na kuwa na hizo PHDs sababu hatutakua wife materials? Aargh mkuu tuache utani tabia ya mtu hategemei sana elimu yake mtu anaweza fika chuo ila akawa mstaarabu na yule std 7 akawa na tabia mbaya ajabu. Suala la mke na mume ni kuomba tu ukutane na mtu mnayependana bila kujali elimu na exposures.

Kwanza mwenye Elimu atakusaidia baadhi vitu kisomi zaidi mfano mimi financial services ntahakikisha pesa inatumika vizuri kwenye miradi ya maendeleo yetu ya baadaye na vizazi vyetu.(long term investments), pia ntahakikisha hutumii pesa vibaya kwenye pombe huko[emoji23][emoji23] utakua unaenda out na rafiki zako na laki 1 tu per month ukiimaliza ni hadi mwezi mwingine aisee[emoji3]. Pia ntakua nasaidia homeworks za watoto wakati ukioa std 7 means ukirudi home from work ndiyo uje kuwafundisha madogo si mama hajui sasa[emoji6]

Hapo hapo kwenye kucontrol mapato matumizi ya mume ndipo wengi hawataki kusikia, watasema umewapanda kichwani unawaendesha.

Binafsi napenda nipate mke akili kubwa, awe msomi au average ila akili kubwa…. hao darasa la Saba labda waoane wenyewe kwa wenyewe.

Ni changamoto kuishi nao ikiwa watajihisi inferior and offended pale unapotaka kumwelekeza jambo, wengi wanahisi wamebahatisha kuolewa nawe hivyo watakuroga ili usiwaache.

Big brain comes first.[emoji1614][emoji276]
 
Kwahiyo tushindwe kusoma na kuwa na hizo PHDs sababu hatutakua wife materials? Aargh mkuu tuache utani tabia ya mtu hategemei sana elimu yake mtu anaweza fika chuo ila akawa mstaarabu na yule std 7 akawa na tabia mbaya ajabu. Suala la mke na mume ni kuomba tu ukutane na mtu mnayependana bila kujali elimu na exposures.

Kwanza mwenye Elimu atakusaidia baadhi vitu kisomi zaidi mfano mimi financial services ntahakikisha pesa inatumika vizuri kwenye miradi ya maendeleo yetu ya baadaye na vizazi vyetu.(long term investments), pia ntahakikisha hutumii pesa vibaya kwenye pombe huko[emoji23][emoji23] utakua unaenda out na rafiki zako na laki 1 tu per month ukiimaliza ni hadi mwezi mwingine aisee[emoji3]. Pia ntakua nasaidia homeworks za watoto wakati ukioa std 7 means ukirudi home from work ndiyo uje kuwafundisha madogo si mama hajui sasa[emoji6]
Hujani convince bado !!...Non University grls are always my priority
 
Hapo hapo kwenye kucontrol mapato matumizi ya mume ndipo wengi hawataki kusikia, watasema umewapanda kichwani unawaendesha.

Binafsi napenda nipate mke akili kubwa, awe msomi au average ila akili kubwa…. hao darasa la Saba labda waoane wenyewe kwa wenyewe.

Ni changamoto kuishi nao ikiwa watajihisi inferior and offended pale unapotaka kumwelekeza jambo, wengi wanahisi wamebahatisha kuolewa nawe hivyo watakuroga ili usiwaache.

Big brain comes first.[emoji1614][emoji276]
Pole Mkuu,

Non University girls....hata papuchi zao ziko tofauti kabisaa.

Niamini Mimi
 
Back
Top Bottom