Mumlii
Senior Member
- Mar 14, 2021
- 169
- 232
Hiv umefkria ulichoandika ama ulikutana. Na mwanachuo mmoja tu ndo umeamua utusemee ,wakituacha utatuoa wewe ??? Dah kwakweli eeh mbegubora
tuMada iko nyepesi kabisa vijana wakiume tukimbilieni darasa la Saba au kidato cha nne aliyeshindwa Kwani wengi wao ndo wake sahihi ukimkuta mwenye dini.
Msichana wa chuo kikuu anaamini ndo ni smartphone na kuweka bando tu kucheki sinema.
Wanajua out Mara zawadi eeeh za kitoto kabisa lakini hawawezi hata kukaanga mihogo maana wanataka biashara za vyumba vya kukodi.
Ushauri wangu
Vijana mkubali kufa na utamu wako kuliko kutafuta mke wa chuo kikuu utajuta ndugu, waacheni hao waolewe na elimu zao!?