Ukipata binti msomi muelewa means hutochoka maishaHao Hao ukiwatafuta baada ya mwaka au miaka miwili wakiwa mtaani
Unawakuta wako vizuri na wana sifa zote, so unagundua shida si wao ila
Shida ni mazingira waliyotoka kwahyo tusiwalaumu ila tuwape muda waku cope
Na pia sidhani kama yafaa kujumuisha wote,vilaza wako everywhere hata kule kimbiji
Kwa wasio hata na elimu ya darasa 1.
Verified and Certified hili lina ukweli.Kwa hii comment najiona mbali
Rudia kusoma nilchoandika,ndio mi ni msomi napenda logicBila shaka wewe ni mhitimu wa chuo, itakua imekuchoma sana. ALakini kwanini ikuchome, kwani wewe ni miongoni mwao?
Hahaha karibu sana tujenge hoja[emoji23][emoji1787][emoji1787], nakuunga mkono mkuu...Nitasomba maji lita 1000.
Rudia kusoma nilchoandika,ndio mi ni msomi napenda logic
Achana nae, ana kuprovoke ili muanze kusutana.Rudia kusoma nilchoandika,ndio mi ni msomi napenda logic
Niliona ananipotezea mda ndo maana sikuhangaika nayeAchana nae, ana kuprovoke ili muanze kusutana.