That’s nice utafundishwa vizuri ukiwa unafanya mafundisho ya ndoa relax muda ukifika utaelewa my statement..
nitafute binamuUnanisikiliza mimi tena na wewe ndio ulianza kuniita binamu
Soonnitafute binamu
Nidhamu? Heshima? Yaani mwanamke kusalitiwa na kunyanyaswa kwenye ndoa na mume wake ndo heshima hiyo au ndo nidhamu hiyo? Kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa.
duh pole yao ila mkuu soma mithali ya 31 yote alafu uniambie hata mwanaume kama nitahira atamnyanyasa.
Full kujichanganya. Mwanzo ulisema hutaki kujua wala kufuata chochote kinachotokana na tamaduni. Mara ghafla umepindua meza.Sijakataa maandiko ni tamaduni lakini hizo ndizo tamaduni Mungu anazotaka na siyo tamaduni zilizoanzishwa na mababu na kwenye maswala ya mfumo dume usifananishe maandiko na tamaduni
Kwa sababu maandiko hakuna sehemu yanamruhusu mwanaume kumpiga, kumyanyasa, kumsaliti mke au kuoa mke zaidi ya mmoja (kwa upande wa wakristo) lakini tamaduni zinaruhusu yote hayo tena zinataka mwanamke asifurahie ndoa bali ahakikishe mwanaume ndo anafurahia ndoa kwahiyo hivyo ndivyo mnavyotaka?
SawasawaDuniani ni kusaidiana wakuu,kunachangamoto ya wadada kutokuwa na wapenzi hasa wale wenye umri mkubwa(30+).Kutokana na upungufu wa Me,mi nilikuwa naona njia ya kuwasaidia ni kuingia makubaliano ya hiari...miezi 6 unakuwa kwa equation x,miezi sita mingine kwa mwingine n.k lakini hakuna kupiga mizinga.Mnaonaje hilo wakuu?
HahahaUsifikiri siijui hiyo mithali 31 naijua vizuri sana ila je na wanaume mnafuata maandiko au ndo mnataka wanawake tu ndo wayafuate? Mngekuwa mnafuata maandiko msingehalalisha kusaliti wake zenu na kuoa mke zaidi ya mmoja (kwa wakristo) kwahiyo mwanamke wa mithali 31 anamfaa mwanaume mwenye mke mmoja tu tena asiyemsaliti mkewe
Mkuu umewaza vizuri sana ila kabla hatujafika huko tutokomeze kwanza zero