Mtazamo hasi dhidi ya fani ya ualimu

masonda isdory

New Member
Joined
Mar 26, 2011
Posts
4
Reaction score
0
Kwa miaka mingi sasa fani ya ualimu imeonekana kuwa ni ya watu waliopata daraja la chini. Mnaionaje hii wadau?
 
kuna ukweli kidogo lakini si wote wanaosoma ualimu walipata daraja la chini, nakushauri fanya utafiti kwanza kabla hujaleta upupu wako hapa
 
unaposema ualimu,unakuwa too general,kuna chembechembe za ukweli,maana ili uwe mwl wa primary school unahitaji kupata kuanzia div iv ya pt 28 tu,kuna walimu wa sekondari o level ambao wao wana at least principals mbili kwa masomo ya a level,pia wapo walimu wa A level ambao hawa ni gradutes,wana criteria(perfomance)kama waandisi,lawyers,wahasibu etc.wameamua tu kusomea ualimu kwa sababu mbalimbali,kwa hiyo c walimu wote wana madaraja ya chini,ila kwa primary ni kweli wengi hawakufanya vzr,japo wapo wanaojiendeleza siku hizi,wanafikia hatua hata ya kuwa ma prof.nna mifano mingi tu!
 
Unahitaji kufanya utafiti kwanza mkuu! Wanaofundisha vyuo vikuu (maprofesa) unawaweka kundi gani!
 

Umesema vizuri, but mwisho wa siku ualimu kwa Tanzania ni last resort.......
 
BAED ni bachelor of arts in education,wanaosoma course hii wanasoma masomo mawili ya kufundishia kama kiswahili na geograph labda,na masomo ya education kiasi,lakini BED,ni bachelor of education,hii inaweza kuwa BED science ou BED arts,wasomi wa kozi hii wanasoma somo moja la kufundishia,na dozi kubwa ya masomo ya education
 
tatizo hapa sio kwa walimu tu pekee yake kila fani ina matatizo. watu wanapenda kusoma fani ambazo zinaunafuu kidogo kimaslahi baada ya kumaliza masomo. kama maslahi ya walimu yangekuwa mazuri basi kila mtu angependa kusomea aualimu na htimaye wle wenye pass za juu tu wangejoin huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…