Mtazamo: Hatari kuu za kiusalama katika Taifa la Tanzania

Mtazamo: Hatari kuu za kiusalama katika Taifa la Tanzania

Magufuli aliletwa na Mungu makusudi ili Tanzania tufanye mabadiliko makubwa baada ya yeye kuondoka alijaribu Kila kitu sio kwamba akipenda la hasha Mungu alimtumia Kama somo kwetu ili tuangalie nyufa tuzizibe Ila kwakuwa system yetu na deep state ziko slow kufanya mageuzi wanasubiri mpaka damu imwagike. Kwa wenye akili magufuli alikuwa somo kamili kwa system na alert pia. Nitafafanua kwa mifano hai.

Mfano wa kwanza.

Kauli Tata kwamba nikulipe mshahara nikupe nyumba gari walinzi halafu umtangaze mpinzani. Je hapa kweli mtatuambia hakuna umuhimu wa katiba mpya?

Mfano wa pili.

Namna alivyotawala kibabe bila kujali taratibu Mila na desturi za taifa angeendelea kutawala miaka hata miwili angeipoteza sehemu hata ya system yenyewe.
Safi Sana tuendelee kushauri pengine ipo siku tutaeleweka ndugu
 
Ni mtazamo mzuri nimetoa Lkn kwa namna watanzania tulivyo wa ajabu Hawa maskini wenzetu wa upande wa teeth wanaweza kunitafuta waning'oe teeth duu!
ni madentist wazuri tu, watapangilia kinywa na nchi itakuwa sawia. mtazamo wako ni mzuri na useful kwao.
 
ni madentist wazuri tu, watapangilia kinywa na nchi itakuwa sawia. mtazamo wako ni mzuri na useful kwao.
Ninawakubali Sana hao madentist Lkn sometime nawaonea huruma Sana kwani mifumo inawafanya wafanye kazi zao kwa tabu Sana pia niwaombe teeth pamoja na changamoto hizo hebu ipendeni Sana nchi yetu tz kuliko ccm jamani
 
Ninawakubali Sana hao madentist Lkn sometime nawaonea huruma Sana kwani mifumo inawafanya wafanye kazi zao kwa tabu Sana pia niwaombe teeth pamoja na changamoto hizo hebu ipendeni Sana nchi yetu tz kuliko ccm jamani
waipende sana nchi yetu Tanzania.
 
Nawasalimu wote.

Moja kwa moja kwenye mada, Kama kichwa Cha uzi Hapo juu kinavyojieleza kwamba huu Ni mtazamo wangu TU na Kama nimepotoka nitakubali kushauriwa na kukosolewa kwa staha na matusi yote poa.

Kuna Mambo mawili ambayo huwa nayafikiria Sana lakini sipati majibu, na Mambo hayo ni:

(1) Mamlaka makubwa Sana ya RAIS kikatiba.

(2) Mamlaka makubwa ya tume ya uchaguzi ya Taifa

Mambo/ Mamlaka haya ipo siku na mda tutajutia na kujidharau sana watanzania, kwa kuruhusu kuishi juu ya makaburi haya.

Hivi watanzania na watawala wa Sasa mnawaza Nini? Binadamu wa Sasa na ulimwengu wa leo kweli tunaishi kwenye nchi ambayo Kuna watu wanaweza kufanya Jambo lolote bila kuthibitiwa, kuhojiwa Wala kushtakiwa.

RAIS na wale wenye Kinga ya kutoshitakiwa kwa makosa yoyote wafanyayo. Binadamu yeyote wa kizazi si wa kuaminiwa kwa kiwango hicho hata kidogo.

Magufuli alikuwa mfano mzuri Sana kwenye hili, na ccm mnaona hili Ni Jambo jema lakini hili Ni bomu lilikochumbani kwenu wenyewe na litawalipukia siku si nyingi.

Lakini pia tume ya Taifa ya uchaguzi kwamba ikishatangaza matokeo hairuhusiwa kupingwa wa kuhojiwa na yeyote ccm na watawala mnafurahia hili na kuona ndio kete ya ushindi lakini kumbukeni binadamu wa Leo si wa kuaminiwa kwa kiwango hicho hata kidogo,

Hilo Ni kaburi mnalofikiri mmewachimbia wengine lakini mtazikwa wenyewe kwenye kaburi hili siku si nyingi. Ninaomba kumalizia kwa kuweka maswali kadhaa ambayo Mara nyingi huwa najiuliza.

(1) Hivi itakuwaje siku pandikizi au adui yeyote wa Taifa letu akishika madaraka ya uraisi

(2) Hivi itakuwaje siku madaraka haya akipata kichaa,mwendawazimu, adui wa ccm akatumia Mamlaka haya kukifuta chama chenu?

(3) Hivi itakuwaje siku RAIS akaamua kuuza nchi au rasilimali za nchi atakavyo?

(4) Hivi itakuwaje siku mwenyekiti wa NEC kwa bahati mbaya, makusudi ama kwa kuhongwa au vyovyote vile akajitangazia mtu/ chama chochote kisichokuwa CCM kwamba kimeshinda uchaguzi?

Najua wachache watajigamba na kupinga kwamba haya hayataweza kutokea kwa vijisababu Kama tuna polisi majeshi na usalama wa Taifa lakini hoja hii imepungua nguvu Sana siku za karibuni hasa ukizingatia mifumo, miundo na sheria za uundwaji wa taasisi hizi.

Ninawaomba Sana CCM na watawala hayo Mamlaka haya si salama kwa nchi, CCM, watawala na watanzania na tuchukue hadhari kabla ya hatari hakuna aliye salama, kumbukeni maadui zetu wanatafuta mianya na wanaweza kuhonga yeyote tusiruhusu kwa nyakati flani kukabidhi uhai wa watanzania kwa mtu mmoja ambaye naye hajakamilika.

Haya Ni mawazo na mitazamo yangu TU jamani naomba kuelimishwa.

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ni mtazamo kutoka jamaa wa ighanuda[emoji16][emoji16][emoji16]
Toa rejea ya matukio ya kuhatarisha usalama wa nchi (URT) kutokana na mamlaka uliyoyataja kwenye kipindi sawa na umri wako.
 
Toa rejea ya matukio ya kuhatarisha usalama wa nchi (URT) kutokana na mamlaka uliyoyataja kwenye kipindi sawa na umri wako.
Magufuli katika Chaguzi zote za mwaka Jana serikali za mitaa na serikali kuu pia bwana jecha zanzibar ni rejea tosha ndugu
 
Nawasalimu wote.

Moja kwa moja kwenye mada, Kama kichwa Cha uzi Hapo juu kinavyojieleza kwamba huu Ni mtazamo wangu TU na Kama nimepotoka nitakubali kushauriwa na kukosolewa kwa staha na matusi yote poa.

Kuna Mambo mawili ambayo huwa nayafikiria Sana lakini sipati majibu, na Mambo hayo ni:

(1) Mamlaka makubwa Sana ya RAIS kikatiba.

(2) Mamlaka makubwa ya tume ya uchaguzi ya Taifa

Mambo/ Mamlaka haya ipo siku na mda tutajutia na kujidharau sana watanzania, kwa kuruhusu kuishi juu ya makaburi haya.

Hivi watanzania na watawala wa Sasa mnawaza Nini? Binadamu wa Sasa na ulimwengu wa leo kweli tunaishi kwenye nchi ambayo Kuna watu wanaweza kufanya Jambo lolote bila kuthibitiwa, kuhojiwa Wala kushtakiwa.

RAIS na wale wenye Kinga ya kutoshitakiwa kwa makosa yoyote wafanyayo. Binadamu yeyote wa kizazi si wa kuaminiwa kwa kiwango hicho hata kidogo.

Magufuli alikuwa mfano mzuri Sana kwenye hili, na ccm mnaona hili Ni Jambo jema lakini hili Ni bomu lilikochumbani kwenu wenyewe na litawalipukia siku si nyingi.

Lakini pia tume ya Taifa ya uchaguzi kwamba ikishatangaza matokeo hairuhusiwa kupingwa wa kuhojiwa na yeyote ccm na watawala mnafurahia hili na kuona ndio kete ya ushindi lakini kumbukeni binadamu wa Leo si wa kuaminiwa kwa kiwango hicho hata kidogo,

Hilo Ni kaburi mnalofikiri mmewachimbia wengine lakini mtazikwa wenyewe kwenye kaburi hili siku si nyingi. Ninaomba kumalizia kwa kuweka maswali kadhaa ambayo Mara nyingi huwa najiuliza.

(1) Hivi itakuwaje siku pandikizi au adui yeyote wa Taifa letu akishika madaraka ya uraisi

(2) Hivi itakuwaje siku madaraka haya akipata kichaa,mwendawazimu, adui wa ccm akatumia Mamlaka haya kukifuta chama chenu?

(3) Hivi itakuwaje siku RAIS akaamua kuuza nchi au rasilimali za nchi atakavyo?

(4) Hivi itakuwaje siku mwenyekiti wa NEC kwa bahati mbaya, makusudi ama kwa kuhongwa au vyovyote vile akajitangazia mtu/ chama chochote kisichokuwa CCM kwamba kimeshinda uchaguzi?

Najua wachache watajigamba na kupinga kwamba haya hayataweza kutokea kwa vijisababu Kama tuna polisi majeshi na usalama wa Taifa lakini hoja hii imepungua nguvu Sana siku za karibuni hasa ukizingatia mifumo, miundo na sheria za uundwaji wa taasisi hizi.

Ninawaomba Sana CCM na watawala hayo Mamlaka haya si salama kwa nchi, CCM, watawala na watanzania na tuchukue hadhari kabla ya hatari hakuna aliye salama, kumbukeni maadui zetu wanatafuta mianya na wanaweza kuhonga yeyote tusiruhusu kwa nyakati flani kukabidhi uhai wa watanzania kwa mtu mmoja ambaye naye hajakamilika.

Haya Ni mawazo na mitazamo yangu TU jamani naomba kuelimishwa.

😁😁😁😁Ni mtazamo kutoka jamaa wa ighanuda😁😁😁
Maelezo mazuri
Ufahamu nini kazi ya usalama wataifa? Hapa petu usalama wataifa ni kuwashughulikia wapinzani tuu.

Lakini ujue kuwa Raisi, na viongozi wote wa serikali pamoja na wabunge wanaweza kuhatarisha usalama wataifa.
mfano walimu kukosa mishahara ni unahatarisha usalama wataifa
Vijana kukosa kazi pia unahatarisha usalama wataifa
mfumuko wa bei au kuengeza tozo kunaweza kuhatarisha usalama wataifa.
Tume ya uchaguzi ndio number moja katika kuhatarisha usalama wa taifa

kwa hivyo yoyote atakae sababisha wanachi kunungunika ni hatari kwa usalama wataifa.

Kwa hivyo kama wangefahamu hivyo basi leo kusingekuwa na mafisadi au viongozi wanao kula mali ya umma na minunguniko ingepotea.

Lapili mahaka iwe huru kuweza kumshi taki yeyote yule kama ni kiongozi au mfanyabishara au tajiri.

Dpp awe huru kuwatia hatiani viongozi na wote wanao fanya makosas bila ya amri.

Baada ya hyo nauliza suali.
Kwani kila analosema Raisi huwa sharia?
Au hupitiwa na mwana sharia na kupl;ekwa bungeni, kuandikwa na kutiwa saini na yeye. hapo huwa sharia.

Mfano Mwendazake alisema watoto wakipata mimba wasirudi shuleni. Jee hii ilikuwa sharia ?

Mwana sheria wa serikali ndiye anayepaswa kueleza kama hii ni sahihi au sisahihi.

Tanzania tuna wtu waoga na wachumia tumbo.
 
Maelezo mazuri
Ufahamu nini kazi ya usalama wataifa? Hapa petu usalama wataifa ni kuwashughulikia wapinzani tuu.

Lakini ujue kuwa Raisi, na viongozi wote wa serikali pamoja na wabunge wanaweza kuhatarisha usalama wataifa.
mfano walimu kukosa mishahara ni unahatarisha usalama wataifa
Vijana kukosa kazi pia unahatarisha usalama wataifa
mfumuko wa bei au kuengeza tozo kunaweza kuhatarisha usalama wataifa.
Tume ya uchaguzi ndio number moja katika kuhatarisha usalama wa taifa

kwa hivyo yoyote atakae sababisha wanachi kunungunika ni hatari kwa usalama wataifa.

Kwa hivyo kama wangefahamu hivyo basi leo kusingekuwa na mafisadi au viongozi wanao kula mali ya umma na minunguniko ingepotea.

Lapili mahaka iwe huru kuweza kumshi taki yeyote yule kama ni kiongozi au mfanyabishara au tajiri.

Dpp awe huru kuwatia hatiani viongozi na wote wanao fanya makosas bila ya amri.

Baada ya hyo nauliza suali.
Kwani kila analosema Raisi huwa sharia?
Au hupitiwa na mwana sharia na kupl;ekwa bungeni, kuandikwa na kutiwa saini na yeye. hapo huwa sharia.

Mfano Mwendazake alisema watoto wakipata mimba wasirudi shuleni. Jee hii ilikuwa sharia ?

Mwana sheria wa serikali ndiye anayepaswa kueleza kama hii ni sahihi au sisahihi.

Tanzania tuna wtu waoga na wachumia tumbo.
Kwa Tanzania kauli ya rais Ni sheria
 
Nawasalimu wote.

Moja kwa moja kwenye mada, Kama kichwa Cha uzi Hapo juu kinavyojieleza kwamba huu Ni mtazamo wangu TU na Kama nimepotoka nitakubali kushauriwa na kukosolewa kwa staha na matusi yote poa.

Kuna Mambo mawili ambayo huwa nayafikiria Sana lakini sipati majibu, na Mambo hayo ni:

(1) Mamlaka makubwa Sana ya RAIS kikatiba.

(2) Mamlaka makubwa ya tume ya uchaguzi ya Taifa

Mambo/ Mamlaka haya ipo siku na mda tutajutia na kujidharau sana watanzania, kwa kuruhusu kuishi juu ya makaburi haya.

Hivi watanzania na watawala wa Sasa mnawaza Nini? Binadamu wa Sasa na ulimwengu wa leo kweli tunaishi kwenye nchi ambayo Kuna watu wanaweza kufanya Jambo lolote bila kuthibitiwa, kuhojiwa Wala kushtakiwa.

RAIS na wale wenye Kinga ya kutoshitakiwa kwa makosa yoyote wafanyayo. Binadamu yeyote wa kizazi si wa kuaminiwa kwa kiwango hicho hata kidogo.

Magufuli alikuwa mfano mzuri Sana kwenye hili, na ccm mnaona hili Ni Jambo jema lakini hili Ni bomu lilikochumbani kwenu wenyewe na litawalipukia siku si nyingi.

Lakini pia tume ya Taifa ya uchaguzi kwamba ikishatangaza matokeo hairuhusiwa kupingwa wa kuhojiwa na yeyote ccm na watawala mnafurahia hili na kuona ndio kete ya ushindi lakini kumbukeni binadamu wa Leo si wa kuaminiwa kwa kiwango hicho hata kidogo,

Hilo Ni kaburi mnalofikiri mmewachimbia wengine lakini mtazikwa wenyewe kwenye kaburi hili siku si nyingi. Ninaomba kumalizia kwa kuweka maswali kadhaa ambayo Mara nyingi huwa najiuliza.

(1) Hivi itakuwaje siku pandikizi au adui yeyote wa Taifa letu akishika madaraka ya uraisi

(2) Hivi itakuwaje siku madaraka haya akipata kichaa,mwendawazimu, adui wa ccm akatumia Mamlaka haya kukifuta chama chenu?

(3) Hivi itakuwaje siku RAIS akaamua kuuza nchi au rasilimali za nchi atakavyo?

(4) Hivi itakuwaje siku mwenyekiti wa NEC kwa bahati mbaya, makusudi ama kwa kuhongwa au vyovyote vile akajitangazia mtu/ chama chochote kisichokuwa CCM kwamba kimeshinda uchaguzi?

Najua wachache watajigamba na kupinga kwamba haya hayataweza kutokea kwa vijisababu Kama tuna polisi majeshi na usalama wa Taifa lakini hoja hii imepungua nguvu Sana siku za karibuni hasa ukizingatia mifumo, miundo na sheria za uundwaji wa taasisi hizi.

Ninawaomba Sana CCM na watawala hayo Mamlaka haya si salama kwa nchi, CCM, watawala na watanzania na tuchukue hadhari kabla ya hatari hakuna aliye salama, kumbukeni maadui zetu wanatafuta mianya na wanaweza kuhonga yeyote tusiruhusu kwa nyakati flani kukabidhi uhai wa watanzania kwa mtu mmoja ambaye naye hajakamilika.

Haya Ni mawazo na mitazamo yangu TU jamani naomba kuelimishwa.

😁😁😁😁Ni mtazamo kutoka jamaa wa ighanuda😁😁😁
hili bandiko ilibidi litengenezewe flemu
 
Magufuli aliletwa na Mungu makusudi ili Tanzania tufanye mabadiliko makubwa baada ya yeye kuondoka alijaribu Kila kitu sio kwamba akipenda la hasha Mungu alimtumia Kama somo kwetu ili tuangalie nyufa tuzizibe Ila kwakuwa system yetu na deep state ziko slow kufanya mageuzi wanasubiri mpaka damu imwagike. Kwa wenye akili magufuli alikuwa somo kamili kwa system na alert pia. Nitafafanua kwa mifano hai.

Mfano wa kwanza.

Kauli Tata kwamba nikulipe mshahara nikupe nyumba gari walinzi halafu umtangaze mpinzani. Je hapa kweli mtatuambia hakuna umuhimu wa katiba mpya?

Mfano wa pili.

Namna alivyotawala kibabe bila kujali taratibu Mila na desturi za taifa angeendelea kutawala miaka hata miwili angeipoteza sehemu hata ya system yenyewe.
tukujengee sanam wapi?
 
Back
Top Bottom