Mtazamo: Hatari kuu za kiusalama katika Taifa la Tanzania

Itoshe kusema alikuwa ni mgonjwa wa akili wa kiwango kikubwa sana..
 
Usisema "ikitokea" a 'imeshatokea' tyari mkuu.
 
Hii ni nchi ya kidekteta. Let assume tumepewa uhuru wa kuhoji matokeo mahakamani. Mahakama ipi yenye uwezo wa kutengua matokeo. Huyo atakaye tengua unless awe hapendi kuishi. Sifa hii inapatikana nchi flani flani tu nazo ni zile za kidekteta
 
Hii ni nchi ya kidekteta. Let assume tumepewa uhuru wa kuhoji matokeo mahakamani. Mahakama ipi yenye uwezo wa kutengua matokeo. Huyo atakaye tengua unless awe hapendi kuishi. Sifa hii inapatikana nchi flani flani tu nazo ni zile za kidekteta
Inaumiza Sana ila poa 2 mda si mda watajua nguvu ya umma
 
Hapa fisiemu watakuwa wanaku zoom tu, ili mradi kwa sasa wamo ndani ya sinia la biriani.....hawawezi kuamini neno liwalo lote......
 
Hapa fisiemu watakuwa wanaku zoom tu, ili mradi kwa sasa wamo ndani ya sinia la biriani.....hawawezi kuamini neno liwalo lote......
Wameziba maskio watakuja kushangaa siku moja
 
Nawasalimu wote.

Moja kwa moja kwenye mada, Kama kichwa Cha uzi Hapo juu kinavyojieleza kwamba huu Ni mtazamo wangu TU na Kama nimepotoka nitakubali kushauriwa na kukosolewa kwa staha na matusi yote poa.
Hii thread yako Kuna mwaka au miaka,itakuja kufufuliwa baada yakutokea moja ya hayo ambayo umetia Shaka nayo kaka angu
 
Hii thread yako Kuna mwaka au miaka,itakuja kufufuliwa baada yakutokea moja ya hayo ambayo umetia Shaka nayo kaka angu
Ninaamin hivyo kabisa
 
Nahisi kuna maagano ya yanapaswa kuvunjwa ili watu waelewe
 
Mungu siku akiamua haya yote si kitu. Gwaji me wanaopinga chanjo 'hawatashindwa' Gwaji ke ni megundua leo 'kumbe ukiwapa hel'

Na akae akijua sisi wengine si wahuni, hatulipwi.

Tafuta hii kideo clip 'Kaka wa Gwajima.... U - tube
Umemsikia leo gwaji me kwamba warembo hawana shida?
 
Umemsikia leo gwaji me kwamba warembo hawana shida?

Huyu Waziri anabahati hiyo clip yake aliyo jichanganya kwa kauli ya maneno kupandana na akajistukia haikutumika. Kimsingi imepotezewa kwa kulinda heshima ya watu flani flani. Ingawa pasi shaka hii piga ni kupige ya ukoo wa Gwajima ikiendelea iko siku itachezwa hapo kanisani ili watu wengi zaidi waisikie.
 
Siku watu Waliojichimbia mzizi chini"Deep state system" na vyombo vya dola vitakapo acha kupendelea na kulinda chama tawala, Tanzania itaendelea Kiuchumi na Kijamii na Kisiasa.

Tanzania ina kila kitu(Ardhi nzuri ,watu wengi, madini kila aina,bandari kuanzia Dar,Tanga,Kilwa,Lindi na Mtwara)kulinganisha na nchi majirani,na lakini hatusogei kiuchumi.
 
Kabisaaa
 
Kirusi kingine hatari kwa usalama wa Taifa letu Ni hi ofisi ya msajili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…