Independent Prosecutor
Member
- Nov 14, 2015
- 9
- 19
Kwa hiyo una maanisha machizi watakuwa wengi mno πππNinawaza ni jinsi gani maisha yamebadilika na kwa jinsi ninavyokaa na vijana kuwasikiliza mawazo yao, ninapata majibu kuwa miaka 10 ijayo kutakuwa na ongezeko kubwa la watoto wa mitaani na vifo kutokana na changamoto ya Afya ya akili vitaongezeka sana.
Ndio, tatizo la afya ya akili linazidi kukuwa kwa kasi sana.Kwa hiyo una maanisha machizi watakuwa wengi mno πππ
Hahaha kwa nn mkuu unawachukia wakataa ndoa ? Mbona wamejiepusha na tatzo la akili tuNingekuwa raisi na power ningemtafuta a man behind the compaign of KATAA NDOA nimsweke ndani ndo chanzo cha yote haya
Umasikini ukizidi unamfanya mtu kuwa fukara na ufukara ukizidi unampelekea mtu kuwa na matatizo ya akiliKwa hiyo una maanisha machizi watakuwa wengi mno πππ
Issue ninayo ona inafaa hapa kwa yale niliyoyaona basi vijana wanatakiwa wapewe kipaimbele sana katika jamii zao, wasikilizwe, kwenye kuwasikiliza utapata cha kuwashauri, ninalosema nimeliona mataifa 18 ya ulaya ikiwemo Uingereza, nimekuja Tanzania nimeliona kwa ukubwa, hapa Marekani ndio habari kuu yani vijana wamekuwa tishio kwa siku za usoni..Ni kweli kabsa mkuu lakini unahisi nini kifanyike ili kuondoa hilo tatzo miongoni mwetu vijana maana changamoto ni nyingi sana
Sikubaliani na hilo, nimeona ni mfumo wa maisha ndio umeleta haya, kumekuwa na mabadiliko makubwa sana kwenye mfumo wa maisha ya sasa, kuanzia malezi ya nyumbani, elimu, gharama za maisha, utamaduni mpya, na zaidi Umaskini.Ningekuwa raisi na power ningemtafuta a man behind the compaign of KATAA NDOA nimsweke ndani ndo chanzo cha yote haya
Mengi ya kusikitisha na kuangamiza jamii zetukatika harakati za kuelekea Capitalism tutaona mengi...
Matatizo ya afya ya akili yanachukuliwa kama suala la kawaida ila ni janga kubwa na haribifu siku za usoni, tuna kila sababu ya kusimama kupunguza hili katika jamii zetu.. mauaji yataongezeka kutokana na hili, watu kujidhuru wenyewe,watu kuishi maisha mabaya zaidi kwa sababu ya kukata tamaa, yote haya tutayaona siku sii nyingiUmasikini ukizidi unamfanya mtu kuwa fukara na ufukara ukizidi unampelekea mtu kuwa na matatizo ya akili
Kweli tunaelekea pabaya sana siku hizi. Itabidi wazazi wafanye kitu kabla mambo hayajaharibika zaidi.Ninawaza ni jinsi gani maisha yamebadilika na kwa jinsi ninavyokaa na vijana kuwasikiliza mawazo yao, ninapata majibu kuwa miaka 10 ijayo kutakuwa na ongezeko kubwa la watoto wa mitaani na vifo kutokana na changamoto ya Afya ya akili vitaongezeka sana.
Kweli tunaelekea pabaya sana siku hizi. Itabidi wazazi wafanye kitu kabla mambo hayajaharibika zaidi.
Wafanye nn mkuuKweli tunaelekea pabaya sana siku hizi. Itabidi wazazi wafanye kitu kabla mambo hayajaharibika zaidi