fanya marekebisho ferooz feat prof j-starehe ndiyo no. 1 baada ya hapo unaweza kuzipanga hizo nyingine kwa mtiririko unaotaka ww1. wagosi wa kaya all song
2. uswahilini matola pengo
3.mangwear mikasi
4. mangwear ft jmo kimya kimya
5. ferooz ft pjay starehe
6. ngwear ft dark master she got gwan
7. solo thang ft profesa ,afande simu yangu
8. afande sele ft pjay,solo thang mtazamo
9. profesa jay ft qchila msinitenge
10. profesa jay ft juma nature ndio mzee
NtaitafutaKama ushawai isikia hii ngoma unaweza ukakubaliana na mm kuwa hii ngoma ni moja ya collable bora kabisa kuwahi kufanyika apa bongo
Hapa solo sang pale prof na katikati mfalme wa rhymes afende sele, hawa jamaa waliumiza vichwa sana wakat wanatengeneza hii ngoma sijawai kuichoka
Ushaona eeeh zilivuma kama mvua zen ziii zikapotea but mtazamo ukiisikiliza adi asa iv ni kama imetoka leokwa nyimbo yenye madini ni mtazamo na wala hakuna nyimbo kama hiyo tena,nyingine ni kali ila hazina madini.
Support youingekuwa vip?? mwana fa ft j moo... hii ilikuwa balaaa
nyimbo ilijibiwa na watu zaidi ya 10..
watu walitoka kimuziki kwa kuijibu ingekuwa vipi
Tatizo ingekuwa vipi huyo mwana FA aligeza kwa mwana mmoja wa kwa obamaingekuwa vip?? mwana fa ft j moo... hii ilikuwa balaaa
nyimbo ilijibiwa na watu zaidi ya 10..
watu walitoka kimuziki kwa kuijibu ingekuwa vipi
Wazee naoOfcoz Mtazamo itabaki kuwa the best collabo of all times na kipindi hicho mziki ndio kweli ulikuwa unaitwa mziki
Ingia waptrick utazipataNaxipatage bongo fleva za kale?