Tupo hapa mbezi Luis tayari kwa maandamano mkuuVipi mmeandamana leo?., Wabunge mnalipwa milioni 12 kwa mwezi na marupurupu kibao na hamkumbukagi mnakotoka nani wa kuandamana apigwe kwa ajili yenu?.. Huwa sielewi nani anawadanganya upinzani mnakubalika kwa wananchi. Watanzania ni watu tofauti na mnavyodhani. Waweza kuongea pumba wakashangilia Ila siku ya kuandamana huwaoni. Yote aliyofanya JPM yanaonekana nyie endeleeni kupiga kelele mitandaoni, mtaandamana kwenye Keyboards tu na vi smart phone vyenu.
Hii sura siku zijazo, itakuwa alama ya utengano katika Taifa letu. Itakuwa ni sura iliyoliletea aibu Taifa letu.WATU WANATAKA SERA SIO MATUSI NA KEJELI KWA YALE YALIYOFANYWA NA SERIKALI.
AHADI CCM IMETIMIA SASA TUNAENDA KUTEKELEZA OCTOBER 28
JPM AMETOSHA [emoji818]
View attachment 1551755
Siku mama yako,mwanao, dada yako,mzazi wako,ndugu yako,n.k , akipata madhara ya maandamano, ndio utakuwa na heshimaJana Lissu wenu kasanda mnaanza kuwaza maandamano. Na bado kichapo cha 28/10/2020
Chanzo kikubwa ni Magufuli. Mtu mmoja tu anaweza kuangamiza Taifa au kuliokoa Taifa.Huu ushenzi wa ccm ni hatari kwa taifa nafikiri wote wanaobariki jambo hili kuanzia na magu wana mambo ya kujibu hata baada ya miaka mingi.
Taifa la Tanzania mitandaoni limeanza kuangamia siku nyingi sana, kipindi cha JK kuna waliosema bora yafanyike mapinduzi ya kijeshi JK nchi imemshinda. Kaja Bulldozer kanyoosha nchi mnaanza kulalamika tena. Hakuna rangi mtaacha kuiona mwaka huu na pesa za kampeni hamna. Mtabaki kuandamana mitandaoni na chizi wenu Lissu. Mtaani shughuli za maendeleo zinaendelea hazijasimama na maisha yanasonga.Chanzo kikubwa ni Magufuli. Mtu mmoja tu anaweza kuangamiza Taifa au kuliokoa Taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
HIVI NANI ATAJALI KAMA WANANCHI HAWATAHUDHURIA MIKUTANO YA KAMPENI? NA NANI ATAWARUHUSU WAANDAMANE HATA HIYO KWA AMANI? KWANZA WANANCHI WENYEWE WANAO UJASIRI WA KUANDAMANA? WANAO UJASIRI WA KUIAMBIA DOLA KWAMBA NO THIS IS ENOUGH?Kwa yanayoendelea,wananchi wanapata picha kuwa hakuna tena uchaguzi na hivyo hakuna maana yoyote ya kushiriki mikutano ya kampeni kwani hakuna tena kinachoitwa uchaguzi kwa maana ya uchaguzi kwa sifa zake.
Hivyo,wananchi hawa wataamasika zaidi kuitikia wito wa maandamano ya amani kuliko kwenda kwenye mikutano ya kampeni ya vyama vya siasa kwasababu mpaka sasa mikutano hii imeshapoteza maana kutokana na idadi kubwa ya wagombea wa upinzani katika ngazi zote isipokuwa uraisi kuenguliwa, huku zoezi hilo likionekana kuendelea licha ya muda wa kufanya hivyo kisheria kuwa umepita.
Wananchi hawatakuwa na hamasa ya kuhudhuria mikutano ya kampeni bali mioyo yao itaguswa zaidu na wito wa kuandamana kwa amani kudai uchaguzi ulio huru na wa haki na kiudai wagombea wa upinzani walioenguliwa warudishwe.
Huku ndiko tunakoelekea.
KIMSINGI NCHI HAIJANYOSHWA, ILA IMEPELEKWA KIBRA!Taifa la Tanzania mitandaoni limeanza kuangamia siku nyingi sana, kipindi cha JK kuna waliosema bora yafanyike mapinduzi ya kijeshi JK nchi imemshinda. Kaja Bulldozer kanyoosha nchi mnaanza kulalamika tena. Hakuna rangi mtaacha kuiona mwaka huu na pesa za kampeni hamna. Mtabaki kuandamana mitandaoni na chizi wenu Lissu. Mtaani shughuli za maendeleo zinaendelea hazijasimama na maisha yanasonga.
Hata nchi zingine mambo yalianza hivi hivi kutokana na viburi vya watawala na wafuasi wao.Maandamano for what?. Anza kuandamana wewe mwenyewe, sio watanzania.
Mkuu, salary slip, wakati mwingine nyuzi zako zinakuwa za kukata tamaa sana, na unakigharimu chama chako. Uzi wako wajuzi ulipelekea uzinduzi wa kampeni kuwa compromised na kuanza kuongelea suala waenguliwa, ambalo suala hili lingefanyika asubuhi badala ya jioni ile. Be careful na nyuzi zako zenye dalili za kukata tamaa, just my ushauri.Kwa yanayoendelea,wananchi wanapata picha kuwa hakuna tena uchaguzi na hivyo hakuna maana yoyote ya kushiriki mikutano ya kampeni kwani hakuna tena kinachoitwa uchaguzi kwa maana ya uchaguzi kwa sifa zake.
Hivyo, wananchi hawa wataamasika zaidi kuitikia wito wa maandamano ya amani kuliko kwenda kwenye mikutano ya kampeni ya vyama vya siasa kwasababu mpaka sasa mikutano hii imeshapoteza maana kutokana na idadi kubwa ya wagombea wa upinzani katika ngazi zote isipokuwa uraisi kuenguliwa, huku zoezi hilo likionekana kuendelea licha ya muda wa kufanya hivyo kisheria kuwa umepita.
Wananchi hawatakuwa na hamasa ya kuhudhuria mikutano ya kampeni bali mioyo yao itaguswa zaidu na wito wa kuandamana kwa amani kudai uchaguzi ulio huru na wa haki na kudai wagombea wa upinzani walioenguliwa warudishwe.
Kwa mtazamo wangu,huku ndiko tunakoelekea kutoka na ukweli kuwa mpaka swala la uchaguzi limeshapoteza maana na hata hamasa miongoni mwa wananchi.
Nikisoma comment za mtu mweusi nacheka sana...yaani mtu mweusi wanasahau kua ili Serikali iweze kufanya chochote lazma mwananchi alike kodi,lazma mwananchi alinde amani ila sasa ikifika muda wa Siasa utasikia Rais A kafanya hivi au vile...Kweli mtu mweusi ni mweusi basiVipi mmeandamana leo?., Wabunge mnalipwa milioni 12 kwa mwezi na marupurupu kibao na hamkumbukagi mnakotoka nani wa kuandamana apigwe kwa ajili yenu?.. Huwa sielewi nani anawadanganya upinzani mnakubalika kwa wananchi.
Watanzania ni watu tofauti na mnavyodhani. Waweza kuongea pumba wakashangilia Ila siku ya kuandamana huwaoni. Yote aliyofanya JPM yanaonekana nyie endeleeni kupiga kelele mitandaoni, mtaandamana kwenye Keyboards tu na vi smart phone vyenu.
Na mimi nimeliona hili!Kwa yanayoendelea,wananchi wanapata picha kuwa hakuna tena uchaguzi na hivyo hakuna maana yoyote ya kushiriki mikutano ya kampeni kwani hakuna tena kinachoitwa uchaguzi kwa maana ya uchaguzi kwa sifa zake.
Hivyo, wananchi hawa wataamasika zaidi kuitikia wito wa maandamano ya amani kuliko kwenda kwenye mikutano ya kampeni ya vyama vya siasa kwasababu mpaka sasa mikutano hii imeshapoteza maana kutokana na idadi kubwa ya wagombea wa upinzani katika ngazi zote isipokuwa uraisi kuenguliwa, huku zoezi hilo likionekana kuendelea licha ya muda wa kufanya hivyo kisheria kuwa umepita.
Wananchi hawatakuwa na hamasa ya kuhudhuria mikutano ya kampeni bali mioyo yao itaguswa zaidu na wito wa kuandamana kwa amani kudai uchaguzi ulio huru na wa haki na kudai wagombea wa upinzani walioenguliwa warudishwe.
Kwa mtazamo wangu,huku ndiko tunakoelekea kutoka na ukweli kuwa mpaka sasa swala la uchaguzi limeshapoteza maana na hamasa miongoni mwa wananchi.
Wananchi wajue jukumu la kudai mageuzi , haki , Ni lao kupitia nguvu ya umma , viongozi wa vyama wao ni waonyesha njia tu , watanzania wajixndae kwa nguvu ya umma ndio kiboko ya madikteta wote duniani.Kwa yanayoendelea,wananchi wanapata picha kuwa hakuna tena uchaguzi na hivyo hakuna maana yoyote ya kushiriki mikutano ya kampeni kwani hakuna tena kinachoitwa uchaguzi kwa maana ya uchaguzi kwa sifa zake.
Hivyo, wananchi hawa wataamasika zaidi kuitikia wito wa maandamano ya amani kuliko kwenda kwenye mikutano ya kampeni ya vyama vya siasa kwasababu mpaka sasa mikutano hii imeshapoteza maana kutokana na idadi kubwa ya wagombea wa upinzani katika ngazi zote isipokuwa uraisi kuenguliwa, huku zoezi hilo likionekana kuendelea licha ya muda wa kufanya hivyo kisheria kuwa umepita.
Wananchi hawatakuwa na hamasa ya kuhudhuria mikutano ya kampeni bali mioyo yao itaguswa zaidu na wito wa kuandamana kwa amani kudai uchaguzi ulio huru na wa haki na kudai wagombea wa upinzani walioenguliwa warudishwe.
Kwa mtazamo wangu,huku ndiko tunakoelekea kutoka na ukweli kuwa mpaka sasa swala la uchaguzi limeshapoteza maana na hamasa miongoni mwa wananchi.
You've a pointKwa yanayoendelea,wananchi wanapata picha kuwa hakuna tena uchaguzi na hivyo hakuna maana yoyote ya kushiriki mikutano ya kampeni kwani hakuna tena kinachoitwa uchaguzi kwa maana ya uchaguzi kwa sifa zake.
Hivyo, wananchi hawa wataamasika zaidi kuitikia wito wa maandamano ya amani kuliko kwenda kwenye mikutano ya kampeni ya vyama vya siasa kwasababu mpaka sasa mikutano hii imeshapoteza maana kutokana na idadi kubwa ya wagombea wa upinzani katika ngazi zote isipokuwa uraisi kuenguliwa, huku zoezi hilo likionekana kuendelea licha ya muda wa kufanya hivyo kisheria kuwa umepita.
Wananchi hawatakuwa na hamasa ya kuhudhuria mikutano ya kampeni bali mioyo yao itaguswa zaidu na wito wa kuandamana kwa amani kudai uchaguzi ulio huru na wa haki na kudai wagombea wa upinzani walioenguliwa warudishwe.
Kwa mtazamo wangu,huku ndiko tunakoelekea kutoka na ukweli kuwa mpaka sasa swala la uchaguzi limeshapoteza maana na hamasa miongoni mwa wananchi.
HATUNA MUDA HUO WA MAANDAMANOKwa yanayoendelea,wananchi wanapata picha kuwa hakuna tena uchaguzi na hivyo hakuna maana yoyote ya kushiriki mikutano ya kampeni kwani hakuna tena kinachoitwa uchaguzi kwa maana ya uchaguzi kwa sifa zake.
Hivyo, wananchi hawa wataamasika zaidi kuitikia wito wa maandamano ya amani kuliko kwenda kwenye mikutano ya kampeni ya vyama vya siasa kwasababu mpaka sasa mikutano hii imeshapoteza maana kutokana na idadi kubwa ya wagombea wa upinzani katika ngazi zote isipokuwa uraisi kuenguliwa, huku zoezi hilo likionekana kuendelea licha ya muda wa kufanya hivyo kisheria kuwa umepita.
Wananchi hawatakuwa na hamasa ya kuhudhuria mikutano ya kampeni bali mioyo yao itaguswa zaidu na wito wa kuandamana kwa amani kudai uchaguzi ulio huru na wa haki na kudai wagombea wa upinzani walioenguliwa warudishwe.
Kwa mtazamo wangu,huku ndiko tunakoelekea kutoka na ukweli kuwa mpaka sasa swala la uchaguzi limeshapoteza maana na hamasa miongoni mwa wananchi.
Ni wewe sio sisi.HATUNA MUDA HUO WA MAANDAMANO