Mtazamo upoje kuhusu ajira?

Mtazamo upoje kuhusu ajira?

Na hili ndo linawatesa sana vijana wengi sasa hivi, kutaka kuwa na freedom, freedom ya nini kama huingizi hela? Kuna mmoja aliacha kazi yenye mshahara mkubwa kama 2M akataka kuwa free.

Akajiingiza kwenye kilimo sasa hivi anajificha kama kindege haonekani mtaani wala haijulikani analala wapi, mambo yamemvurugikia kabisa, fanyeni kazi ufree utawaponza vijana!
[/QUOTEkushindwa kwake ni sehemu ya kupigania wazo lake naimani kama hata kata tamaa na akapata washauri wazurii ana uwezo wa kuinuka na kupambana wengine hapo alipo ame juwa Mara 100 za kushindwa kwenye biashara ya kilimo wewe umegundua nn.. Mtie moyo na usimvunje moyo ubovu watanzania wengi tuna weka macho na masikio kwa wenzetu washindwe ili tuwa cheke na kuwa sema pemben na waki fanikiwa tuna anza kuwatazama vibaya
 
Na hili ndo linawatesa sana vijana wengi sasa hivi, kutaka kuwa na freedom, freedom ya nini kama huingizi hela? Kuna mmoja aliacha kazi yenye mshahara mkubwa kama 2M akataka kuwa free.

Akajiingiza kwenye kilimo sasa hivi anajificha kama kindege haonekani mtaani wala haijulikani analala wapi, mambo yamemvurugikia kabisa, fanyeni kazi ufree utawaponza vijana!
Huyo bado hajafeli kama personally haja admit his own failue., wanasema hata Roma haikujengwa ndani ya siku moja, unaemdharau leo, utamsalimia kwa heshima. it takes time to build a fortune.

Presha wanayokupa watu waotamani kuona umefanikiwa ndio mara nyingi inayowakatisha tamaa vijana wengi. badili fikra ndugu, badala ya kumcheka mpe moyo kuzifuata ndoto zake no matter hw and what it takes., sio lazma afate interest ya majority.
 
huyo bado hajafeli kama personally haja admit his own failue., wanasema hata Roma haikujengwa ndani ya siku moja, unaemdharau leo, utamsalimia kwa heshima. it takes time to build a fortune. Presha wanayokupa watu waotamani kuona umefanikiwa ndio mara nyingi inayowakatisha tamaa vijana wengi. badili fikra ndugu, badala ya kumcheka mpe moyo kuzifuata ndoto zake no matter hw and what it takes., sio lazma afate interest ya majority.
Nampea moyo wapi na nishasema haonekani mtaani anajificha, tatizo sio kujiajiri tatizo ni namna watu wanavyodanganyana kuacha kazi kizembe na kwenda kujiajiri alafu kudharau walioajiriwa utafikiri wakishajiajiri wateja wao ni waliojiajiri wenzao kumbe tunategemeana, wote tukiwa wajasiriamali nani atanunua kazi zetu wakati wateja wengi ni hao waajiriwa?
 
Na hili ndo linawatesa sana vijana wengi sasa hivi, kutaka kuwa na freedom, freedom ya nini kama huingizi hela? Kuna mmoja aliacha kazi yenye mshahara mkubwa kama 2M akataka kuwa free.

Akajiingiza kwenye kilimo sasa hivi anajificha kama kindege haonekani mtaani wala haijulikani analala wapi, mambo yamemvurugikia kabisa, fanyeni kazi ufree utawaponza vijana!
mnapenda kuona mtu amefanikiw tu'
kweny husle' mnakejeli'
siku akifanikiw sur mnawek wapi.
yajayo hatuyafahm'
kufahm umefany maamuz sahh au umekosea
step ktk kutoka kuajiriw
haliditerminiw na suceess au falier ya awamu moja au mbili'
all in all we should be careful during making transition
 
mnapenda kuona mtu amefanikiw tu'
kweny husle' mnakejeli'
siku akifanikiw sur mnawek wapi.
yajayo hatuyafahm'
kufahm umefany maamuz sahh au umekosea
step ktk kutoka kuajiriw
haliditerminiw na suceess au falier ya awamu moja au mbili'
all in all we should be careful during making transition
Ndo umeongea nini sasa?
 
Back
Top Bottom