Mkuu heading na ulichokiandika vimenipa ugumu kukuelewa. Me nadhani mitizamo hapo ni mengi maana kumuelewa kipanya nako ni kipaji. Tiba inazama hata mimi sjafaham vizuri alikuwa anamaanisha nini?
Mkuu heading na ulichokiandika vimenipa ugumu kukuelewa..me nadhani mitizamo hapo Ni mengi maana kumuelewa KIPANYA nako Ni kipaji..TIBA INAZAMA HATA MIMI SJAFAHAM VIZURI ALIKUWA ANAMAANISHA NINI?
Ni ngumu sana kulizamisha wazo la Katiba mpya.. Ingawa watawala wanaiogopa Katiba mpya, lkn ndo TIBA ya changamoto nyingi zinazoonekana kulikwamisha Taifa kupiga hatua..
TIBA NI KATIBA.