Pia umemsahau cheusi mangala jembe la mkulu pale bungeni ambalo analitumia kuwavuruga chadema mle mjengoni, namzungumia TuliaUmewafikiria wanawake weusi waliopo mtaani hujamfikiria mkewe anajisikiaje? Maana kwa jinsi ninavyomuona sio mweupe yule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia umemsahau cheusi mangala jembe la mkulu pale bungeni ambalo analitumia kuwavuruga chadema mle mjengoni, namzungumia TuliaUmewafikiria wanawake weusi waliopo mtaani hujamfikiria mkewe anajisikiaje? Maana kwa jinsi ninavyomuona sio mweupe yule
MmmhhNdio maana mama yetu namaanisha yule mama wa zimbabwe aligoma kugombea kwa madai ya sexual harrasment, anadai alishachapwa vibao na mwenyekiti wa cahama tawala zimbabwe, na kuna wakati almanusura achaniqe hadi nguo maana mwenye kigoda alishindwa kuvumilia ule weupe alitaka auone live
Ila jamani zimbabwe kuna mambo, sisi weupe tuna tabu sana
Mimi ni mweusi, ila mtu akisifia weupe hata sijisikii vibaya....Cha ajabu mambo mengine huwa najisikia vibaya, sijui kwa nini sijawahi kuona weusi ni tatizo kama watu wengine wanavyotazama
Hayo ni mambo ya UTANI kwa ajili ya kusherehesha mikutano. Rais Magufuli ni binadamu kama binadamu wengine wote, suala la utani na kutania watu si kosa eti jamani?
Unashabikia ujingaaaaa! Mke wake anajisikiaje hapo pembeni?Hayo ni mambo ya UTANI kwa ajili ya kusherehesha mikutano. Rais Magufuli ni binadamu kama binadamu wengine wote, suala la utani na kutania watu si kosa eti jamani?
Muulize mwenye mke unatuuliza sisi humu JF?Unashabikia ujingaaaaa! Mke wake anajisikiaje hapo pembeni?
Mm ninachokumbuka aliwahi kumpa ithini kiongozi mmoja atumie hata Bangi ili kuongeza ukali nikajua we have unique presidentleo amewaambia mzae kama panya kwasababu matiti ya kunyonyesha mnayo.
Sasa vipi na ile mimba ya yule mtoto ilikuwa ni ya rais wa zimbabwe pia?Ndio maana mama yetu namaanisha yule mama wa zimbabwe aligoma kugombea kwa madai ya sexual harrasment, anadai alishachapwa vibao na mwenyekiti wa cahama tawala zimbabwe, na kuna wakati almanusura achaniqe hadi nguo maana mwenye kigoda alishindwa kuvumilia ule weupe alitaka auone live
Ila jamani zimbabwe kuna mambo, sisi weupe tuna tabu sana
Mbona mkewe black ss...mnafikiKila mtu ana chaguo lake, Kama wewe unapenda blak Magu anapenda white! hivyoo
Wewe jiulize mume wa yule mama (kama yupo) huwa anajisikiaje mkewe kuwa karibu na hilo jamaa ?Pamoja na kumuunga mkono Mkulu wetu kwa kiasi kikubwa katika maamuzi yake mengi, upenzi wangu haunizuii kuyasemea madhaifu yake kadhaa.
Mara kadha Mkulu akimtambulisha msaidizi wake (Makamu) amekuwa akimsifia kwa "weupe na uzuri". Kwangu hilo linanichefua kwani kwa hadhi na nafasi yake akitoa kauli inakuwa na athari kubwa kwa jamii.
Mathalan, kwa kauli kama hiyo huwa anajiuliza wanawake weusi wanajisikiaje? Bila shaka jambo hilo sio zuri kwani wengine huku mitaani hatuishi kuwajengea "confidence" wanawake weusi wajikubali na wasisumbuke kujichubua kwani uzuri hautafsiriwi kwa weupe au weusi wa mtu.
Tunatoa wito kwa walio karibu na Mkulu, kumshauri juu ya hilo kwani, hata kama anatania, matokeo yake kwa dada zetu ni maumivu mioyoni. Hongereni wanawake wote wa Tanzania, weusi kwa weupe, ninyi ni wazuri na tunawapenda.
Kwa kuwa Mkulu huwa anawasilisha kama "kautani", namshauri pia mama yetu naye amrekebishe kama "kautani" kwa kuwasifia weusi.
Ni hayo tu kwa leo.
Unapoteza muda kuandika yote haya. Ameshasema yeye ni msukuma na huo ndio udhaifu wao halafu huyo ni mzee wa miaka 60 utaanza vipi kumshauri masuala kama hayo ya wanawake weupe?.Pamoja na kumuunga mkono Mkulu wetu kwa kiasi kikubwa katika maamuzi yake mengi, upenzi wangu haunizuii kuyasemea madhaifu yake kadhaa.
Mara kadha Mkulu akimtambulisha msaidizi wake (Makamu) amekuwa akimsifia kwa "weupe na uzuri". Kwangu hilo linanichefua kwani kwa hadhi na nafasi yake akitoa kauli inakuwa na athari kubwa kwa jamii.
Mathalan, kwa kauli kama hiyo huwa anajiuliza wanawake weusi wanajisikiaje? Bila shaka jambo hilo sio zuri kwani wengine huku mitaani hatuishi kuwajengea "confidence" wanawake weusi wajikubali na wasisumbuke kujichubua kwani uzuri hautafsiriwi kwa weupe au weusi wa mtu.
Tunatoa wito kwa walio karibu na Mkulu, kumshauri juu ya hilo kwani, hata kama anatania, matokeo yake kwa dada zetu ni maumivu mioyoni. Hongereni wanawake wote wa Tanzania, weusi kwa weupe, ninyi ni wazuri na tunawapenda.
Kwa kuwa Mkulu huwa anawasilisha kama "kautani", namshauri pia mama yetu naye amrekebishe kama "kautani" kwa kuwasifia weusi.
Ni hayo tu kwa leo.
Mkuu yupo sawa, wanawake weupe ni wazuri bwana na hata huwa wana roho nzuri. Mkuu yupo sawa kabisaaaa.. ukute demu white alafu shape ya kibantu.. hatari mzeeePamoja na kumuunga mkono Mkulu wetu kwa kiasi kikubwa katika maamuzi yake mengi, upenzi wangu haunizuii kuyasemea madhaifu yake kadhaa.
Mara kadha Mkulu akimtambulisha msaidizi wake (Makamu) amekuwa akimsifia kwa "weupe na uzuri". Kwangu hilo linanichefua kwani kwa hadhi na nafasi yake akitoa kauli inakuwa na athari kubwa kwa jamii.
Mathalan, kwa kauli kama hiyo huwa anajiuliza wanawake weusi wanajisikiaje? Bila shaka jambo hilo sio zuri kwani wengine huku mitaani hatuishi kuwajengea "confidence" wanawake weusi wajikubali na wasisumbuke kujichubua kwani uzuri hautafsiriwi kwa weupe au weusi wa mtu.
Tunatoa wito kwa walio karibu na Mkulu, kumshauri juu ya hilo kwani, hata kama anatania, matokeo yake kwa dada zetu ni maumivu mioyoni. Hongereni wanawake wote wa Tanzania, weusi kwa weupe, ninyi ni wazuri na tunawapenda.
Kwa kuwa Mkulu huwa anawasilisha kama "kautani", namshauri pia mama yetu naye amrekebishe kama "kautani" kwa kuwasifia weusi.
Ni hayo tu kwa leo.
Unapoongea kama tasisi hakuna utanimnazidi na nyie... Kwahiyo hamuwezi kutofautisha masihala na ukweli?